Je, Kuna mkakati wa kuwatisha viongozi wa nchi hii?

Je, Kuna mkakati wa kuwatisha viongozi wa nchi hii?

CWR2016

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2017
Posts
2,773
Reaction score
6,349
Wana JF na Watanzania,

Kuna kundi limejitanabaisha humu kama wao ndio waamuzi wakuu wa hatma ya nchi.

Huko nyuma mwandishi mmoja wa kundi hilo amekuwa akiandika na kuyaita maandishi yake kama "maono", badae akaanza kusema anawasilisha yaliyopitishwa "mezani", badae alivyopata kuaminika hasa hapa JF anajitambulisha na kujibu thread kama sehemu ya akiitacho yeye "thestate". ;/0101...

Mwandishi huyu wa kundi hili amekuwa akiandika makala mfululizo, akisema mpango wa kufanya hiki, mpango wa kumuondoa yule, n.k
Japo anajifanya kusema kimafumbo ila hata "paka" anang'amua maana ya mafumbo yake.

Kilichofanya aaminike hapa JF ni baadhi ya bashiri zake zilizoenda "walivyopanga".

Kwanza niwaambie Watanzania, hakuna mpango wa '0101...' unaoahirishwa. Eti leo lipangwe jambo flani, halafu badae waje waseme tumeahirisha jambo hilo, tunatazamia. Hakuna '0101...' yenye akili ndogo kama hiyo.
Yani eti '0101...' iwe inakurupuka, ipitishe jambo then irudi nyuma! Haipo! Never.
Kama msomaji wangu, hiyo '0101...' inakutatiza, weka "thestate" anayotumia huyo mwandishi wao.

Sasa huyu mwandishi wao 'TA' ni mwakilishi wa kundi flani ambalo halitaki vyovyote vile 'maslahi' yao binafsi yaguswe. Kinachowapa nguvu ni kwamba wana link maslahi yao na maslahi ya jabali flani la taifa kubwa, na hata baadhi ya mipango hutokea huko.
Ukisoma maandishi yao, ni kwamba sasa hivi kundi hili limeshawatisha viongozi wote wakubwa waliopo, P, VP, PM, PS, S, CJ, n.k

Of course wamewaambia kwamba wao hawagusiki, na wanawapa mifano ya huko nyuma.

Mimi sitetei uozo wa kiongozi yeyote, lakini nachokataa na naamini ni hatari, kuwa na kundi flani ktk nchi eti linahodhi maslahi na kuamua ili mambo yao binafsi na watu wao yaende.

Sasa nikuulize 'TA' mwandishi wa kundi hili.
Unajua kwamba lile jabali la nchi ile kubwa, linamtumia 'JM' anayeongoza nyumba ile muhimu?!
Je, mnajua jabali hilo la nchi hiyo kubwa linataka 'JM' agawanye nyumba ile, na ziwe nyumba tatu?! Halafu wao wakabidhiwe nyumba mbili, tubaki na moja?!
Je, mnajua steji ya kwanza ya mkakati huo imeshatekelezwa vema na ndg 'JM'?
Jabali lile la nchi kubwa, linamjua vyema 'JM', lilishawahi mlea wkt flani, na linajua tamaa yake.
Leo linamtumia 'JM' kuhakikisha nyumba ile inakuwa vipande vitatu, na wao wapewe viwili.

Huyu 'JM' ni sehemu yenu mnaojiita "thestate".
Ni kundi ambalo mkihakikishiwa maslahi yenu hamna shida kabisa.

Taifa ndio linalopoteza. Nyie akina 'TA' ni maslahi tu.

Subiri muone hilo jabali la nchi ile kubwa linachokifanya kupitia "JM", Taifa linaenda kutolewa meno. Eti nyie "thestate" mpo...!

Asomaye JF na ang'amue, hakuna '0101...' wa kukesha huku mtandaoni.
Pole Taifa.
 
Hao ni wapumbavu na wajinga .Hao ni watu wenye akili Kama za kuku.Hivi Kama Mwalimu Nyerere angekuwa na akili za kipumbavu Kama hao wapumbavu wa Msoga leo hii ,Taifa lingekuwepo?Hizo ni akili za kuku tu.

Kwa kuwa Mwalimu alijua hata uchukue Mali zote ,uwe na majumba ya thamani trillion kumi.Kufa utakufa tu na utayaacha yote.

Aidha niwakumbushe kuwa hata wakiviacha hivyo vitu kwa wajukuu wao.Ipo siku ,Mungu ataleta kiongozi mzalendo kwenye nchi hii.Kama alivyofanya kwa Angola.

Watanyanganywa vyote ,vvyote ,vyote .Narudia tu ,wanachofanya ,ni upumbavu na ujinga wenye akili ya kuku.
 
Ukiangalia wanaojiita wenye nchi background yao hata haileweki

Ni kwamba wameamua kula nchi pmj na USA
Ukishirikiana na USA hata uboronge kiasi gani nyumbani hutapigiwa kelele

Eti mzee makamba ndiye awe mwenye chama hivi ni vichekesho huyu mzee makamba aliyebebwa na mkapa kwenye ukuu wa mkoa akiwa taabani kiuchumi hapo ndio alianza ufisadi kujitarisha na mkapa akimfumbia macho
Hao ni wapumbavu na wajinga .Hao ni watu wenye akili Kama za kuku.Hivi Kama Mwalimu Nyerere angekuwa na akili za kipumbavu Kama hao wapumbavu wa Msoga leo hii ,Taifa lingekuwepo?Hizo ni akili za kuku tu.Kwa kuwa Mwalimu alijua hata uchukue Mali zote ,uwe na majumba ya thamani trillion kumi.Kufa utakufa tu na utayaacha yote.Aidha niwakumbushe kuwa hata wakiviacha hivyo vitu kwa wajukuu wao.Ipo siku ,Mungu ataleta kiongozi mzalendo kwenye nchi hii.Kama alivyofanya kwa Angola.Watanyanganywa vyote ,vvyote ,vyote .Narudia tu ,wanachofanya ,ni upumbavu na ujinga wenye akili ya kuku.
 
Ukiangalia wanaojiita wenye nchi background yao hata haileweki

Ni kwamba wameamua kula nchi pmj na USA
Ukishirikiana na USA hata uboronge kiasi gani nyumbani hutapigiwa kelele

Eti mzee makamba ndiye awe mwenye chama hivi ni vichekesho huyu mzee makamba aliyebebwa na mkapa kwenye ukuu wa mkoa akiwa taabani kiuchumi hapo ndio alianza ufisadi kujitarisha na mkapa akimfumbia macho
Unakaribia KUZAA maana hizi Mimba za CHUKI dalili zake Ni MAJUNGU MWANZO MWISHO
 
Hakuna anayewatisha labda mnajishtukia tu, aliyewaweka atawaondoa pia, Jew hana rafiki ni swala la muda tu Jew atageuka mambo yakibadilika, na karibia yanaiva, USA Christian Conservative ikiingia madarakani, na hiyo ni Game changer!
 
Hao ni wapumbavu na wajinga .Hao ni watu wenye akili Kama za kuku.Hivi Kama Mwalimu Nyerere angekuwa na akili za kipumbavu Kama hao wapumbavu wa Msoga leo hii ,Taifa lingekuwepo?Hizo ni akili za kuku tu.Kwa kuwa Mwalimu alijua hata uchukue Mali zote ,uwe na majumba ya thamani trillion kumi.Kufa utakufa tu na utayaacha yote.Aidha niwakumbushe kuwa hata wakiviacha hivyo vitu kwa wajukuu wao.Ipo siku ,Mungu ataleta kiongozi mzalendo kwenye nchi hii.Kama alivyofanya kwa Angola.Watanyanganywa vyote ,vvyote ,vyote .Narudia tu ,wanachofanya ,ni upumbavu na ujinga wenye akili ya kuku.

Kuna wakati ukimiliki kila kitu cha dunia unagundua ni ubatili tu...maana utakufa tu.

Ni sawa na kujenga lijumba likuubwa la ghorofa halafu ukizeeka huwezi kupanda hizo ngazi na unabaki ukiwa babu na mchumba wako Bibi na house girly pamoja na shamba boy matokeo yake lijumbwa linakuwa kama gofu tu...

Tuishi kiasi maana duniani tunapita tu, unaweza ukaimiliki Tanzania yoote halafu unakuta Ulivyoumbwa na mwenyezi Mungu zile basic zake huziepuki, Utazeeka, utaumwa kama wengine, utajisaidia choo kinachonuka, utatoka jasho, utakufa na kufukiwa na kuachwa humo kaburini peke yako...

Tupendane tulipende Taifa letu na kila tukifanyacho tufanye kwa ajili ya Taifa letu maana tutakufa na Taifa litabaki na wengine..
USA wanatenda kwa manufaa ya Taifa lao kunufaisha Taifa lao, sisi tunatenda kujinufaisha na maslahi ya matumbo yetu...
 
Bonge la nyundo hilo!sidhani kama TA atakuja kutoa MAELEKEZO tena!japo HUWA hajibu kabisa humu jukwaani alijaribu kidogo KWENYE ule uzi wake wa oparesheni imesitishwa na ule wa Raisi ambae hajawahi kugombea ilitokea marekani itatokea na huku!!nadhani wameshaandaa mbadala wa KILA andiko lao!naona juzi wamekuja na majina mawili ya vijana wajawo japo kuna Wana maono wamekuja kivingine kabisa humu jukwaani na mambo ya Biblia na Mungu Nyumba yaani ni kana kwamba the state hawatofanikiwa mission ZAO bali Mungu aleiumba Tanganyika na Badae Tanzania NDIE mwamuzi wa mwisho!!!WAKUU HILI JUKWAAA NAJUTA KULIFAHAMU NA NASHINDWA KU LEFT NA ADDICTED SANA LAKINI NIMEGUNDUA NI JUKWAA HATARI NA LA KIJASUSI KULIKO TUNAVODHANI HUMU TUNA JADILIAMBO MAKUBWA SANA YA KUISHI AU KIFO NA HATMA ZA MAISHA YA WATU!!NIMEGUNDUA TUNAISHI KATIKA KIPINDI CHA UPEPO MKALINWA KIJASUSI TANGU TUPATE UHURU HAPA NCHINI!!!KUNA UWEZEKANO HUMU ZINAFANYIKA VETTING KIMYA KIMYA BILA SISI KUJUA!!!NGOJA TUONE!!!
 
Ukiangalia wanaojiita wenye nchi background yao hata haileweki

Ni kwamba wameamua kula nchi pmj na USA
Ukishirikiana na USA hata uboronge kiasi gani nyumbani hutapigiwa kelele

Eti mzee makamba ndiye awe mwenye chama hivi ni vichekesho huyu mzee makamba aliyebebwa na mkapa kwenye ukuu wa mkoa akiwa taabani kiuchumi hapo ndio alianza ufisadi kujitarisha na mkapa akimfumbia macho
Yule Mze ana majungu kishenzi na mwanaye yuko hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom