Je, Kuna mkakati wa kuwatisha viongozi wa nchi hii?

Je, Kuna mkakati wa kuwatisha viongozi wa nchi hii?

Hao ni wapumbavu na wajinga .Hao ni watu wenye akili Kama za kuku.Hivi Kama Mwalimu Nyerere angekuwa na akili za kipumbavu Kama hao wapumbavu wa Msoga leo hii ,Taifa lingekuwepo?Hizo ni akili za kuku tu.

Kwa kuwa Mwalimu alijua hata uchukue Mali zote ,uwe na majumba ya thamani trillion kumi.Kufa utakufa tu na utayaacha yote.

Aidha niwakumbushe kuwa hata wakiviacha hivyo vitu kwa wajukuu wao.Ipo siku ,Mungu ataleta kiongozi mzalendo kwenye nchi hii.Kama alivyofanya kwa Angola.

Watanyanganywa vyote ,vvyote ,vyote .Narudia tu ,wanachofanya ,ni upumbavu na ujinga wenye akili ya kuku.
Ndio wanamaliza kabisa ile mizizi ya nchi ili waneemeke wao na vijukuu vyao tu
 
Kwa kawaida vita (cold war) kati ya wazalendo na wanyonyaji huwa haziishi. Ni tangu enzi na enzi. Hupoa kwa muda ila badae hurudi tena.

Wazalendo wakishindwa basi wanyonyaji huanza kupambana wao kwa wao mpaka wazalendo wakiinuka tena.

Mfano unalionaje suala la bandari?

.......The League..….
Of course.

Ni vita isiyokoma.

Inaacha makundi na maumivu mengi sana.

Ktk sakata la bandari, wazalendo wakiishiwa nguvu tu, watamalizwa kabisa, na itachukua miongo na miongo kuja kuchomoza tena
 
Back
Top Bottom