Je, Kuna mkakati wa kuwatisha viongozi wa nchi hii?

Je, Kuna mkakati wa kuwatisha viongozi wa nchi hii?

Wana JF na Watanzania,

Kuna kundi limejitanabaisha humu kama wao ndio waamuzi wakuu wa hatma ya nchi.

Huko nyuma mwandishi mmoja wa kundi hilo amekuwa akiandika na kuyaita maandishi yake kama "maono", badae akaanza kusema anawasilisha yaliyopitishwa "mezani", badae alivyopata kuaminika hasa hapa JF anajitambulisha na kujibu thread kama sehemu ya akiitacho yeye "thestate". ;/0101...

Mwandishi huyu wa kundi hili amekuwa akiandika makala mfululizo, akisema mpango wa kufanya hiki, mpango wa kumuondoa yule, n.k
Japo anajifanya kusema kimafumbo ila hata "paka" anang'amua maana ya mafumbo yake.

Kilichofanya aaminike hapa JF ni baadhi ya bashiri zake zilizoenda "walivyopanga".

Kwanza niwaambie Watanzania, hakuna mpango wa '0101...' unaoahirishwa. Eti leo lipangwe jambo flani, halafu badae waje waseme tumeahirisha jambo hilo, tunatazamia. Hakuna '0101...' yenye akili ndogo kama hiyo.
Yani eti '0101...' iwe inakurupuka, ipitishe jambo then irudi nyuma! Haipo! Never.
Kama msomaji wangu, hiyo '0101...' inakutatiza, weka "thestate" anayotumia huyo mwandishi wao.

Sasa huyu mwandishi wao 'TA' ni mwakilishi wa kundi flani ambalo halitaki vyovyote vile 'maslahi' yao binafsi yaguswe. Kinachowapa nguvu ni kwamba wana link maslahi yao na maslahi ya jabali flani la taifa kubwa, na hata baadhi ya mipango hutokea huko.
Ukisoma maandishi yao, ni kwamba sasa hivi kundi hili limeshawatisha viongozi wote wakubwa waliopo, P, VP, PM, PS, S, CJ, n.k

Of course wamewaambia kwamba wao hawagusiki, na wanawapa mifano ya huko nyuma.

Mimi sitetei uozo wa kiongozi yeyote, lakini nachokataa na naamini ni hatari, kuwa na kundi flani ktk nchi eti linahodhi maslahi na kuamua ili mambo yao binafsi na watu wao yaende.

Sasa nikuulize 'TA' mwandishi wa kundi hili.
Unajua kwamba lile jabali la nchi ile kubwa, linamtumia 'JM' anayeongoza nyumba ile muhimu?!
Je, mnajua jabali hilo la nchi hiyo kubwa linataka 'JM' agawanye nyumba ile, na ziwe nyumba tatu?! Halafu wao wakabidhiwe nyumba mbili, tubaki na moja?!
Je, mnajua steji ya kwanza ya mkakati huo imeshatekelezwa vema na ndg 'JM'?
Jabali lile la nchi kubwa, linamjua vyema 'JM', lilishawahi mlea wkt flani, na linajua tamaa yake.
Leo linamtumia 'JM' kuhakikisha nyumba ile inakuwa vipande vitatu, na wao wapewe viwili.

Huyu 'JM' ni sehemu yenu mnaojiita "thestate".
Ni kundi ambalo mkihakikishiwa maslahi yenu hamna shida kabisa.

Taifa ndio linalopoteza. Nyie akina 'TA' ni maslahi tu.

Subiri muone hilo jabali la nchi ile kubwa linachokifanya kupitia "JM", Taifa linaenda kutolewa meno. Eti nyie "thestate" mpo...!

Asomaye JF na ang'amue, hakuna '0101...' wa kukesha huku mtandaoni.
Pole Taifa.
Mkuu na tayari kuna Uzi umefika wa TA kuwa Zina baki MBILI kama ilivyo Sasa!!!Mbona wewe una sema tatu!!?au umechanganya!!?
 
JM ndio yule hesabu ajuhi?

Nawakumbusha wakiiba wajue na ku ficha la sivyo itakuwa kama Angola.

Tatizo la hawa vijana wanajiita the state wanasahau wazazi wao wanaowategemea LIFE EXPECTATION(span) inawatupa mkono.
 
Mimi ninachojua ni hawatafanikiwa. Waache wajitutumue lakini mwisho wao umeshajulikana. Na huyo kipara akae akijua hao wanaomtumia hawatakuwepo kipindi wazalendo wanamhenyesha kurudisha pesa alizowaibia watanzania, na atazitoa kupitia matundu yote mwilini mwake. Mungu ibariki Tanzania.
 
Wana JF na Watanzania,

Kuna kundi limejitanabaisha humu kama wao ndio waamuzi wakuu wa hatma ya nchi.

Huko nyuma mwandishi mmoja wa kundi hilo amekuwa akiandika na kuyaita maandishi yake kama "maono", badae akaanza kusema anawasilisha yaliyopitishwa "mezani", badae alivyopata kuaminika hasa hapa JF anajitambulisha na kujibu thread kama sehemu ya akiitacho yeye "thestate". ;/0101...

Mwandishi huyu wa kundi hili amekuwa akiandika makala mfululizo, akisema mpango wa kufanya hiki, mpango wa kumuondoa yule, n.k
Japo anajifanya kusema kimafumbo ila hata "paka" anang'amua maana ya mafumbo yake.

Kilichofanya aaminike hapa JF ni baadhi ya bashiri zake zilizoenda "walivyopanga".

Kwanza niwaambie Watanzania, hakuna mpango wa '0101...' unaoahirishwa. Eti leo lipangwe jambo flani, halafu badae waje waseme tumeahirisha jambo hilo, tunatazamia. Hakuna '0101...' yenye akili ndogo kama hiyo.
Yani eti '0101...' iwe inakurupuka, ipitishe jambo then irudi nyuma! Haipo! Never.
Kama msomaji wangu, hiyo '0101...' inakutatiza, weka "thestate" anayotumia huyo mwandishi wao.

Sasa huyu mwandishi wao 'TA' ni mwakilishi wa kundi flani ambalo halitaki vyovyote vile 'maslahi' yao binafsi yaguswe. Kinachowapa nguvu ni kwamba wana link maslahi yao na maslahi ya jabali flani la taifa kubwa, na hata baadhi ya mipango hutokea huko.
Ukisoma maandishi yao, ni kwamba sasa hivi kundi hili limeshawatisha viongozi wote wakubwa waliopo, P, VP, PM, PS, S, CJ, n.k

Of course wamewaambia kwamba wao hawagusiki, na wanawapa mifano ya huko nyuma.

Mimi sitetei uozo wa kiongozi yeyote, lakini nachokataa na naamini ni hatari, kuwa na kundi flani ktk nchi eti linahodhi maslahi na kuamua ili mambo yao binafsi na watu wao yaende.

Sasa nikuulize 'TA' mwandishi wa kundi hili.
Unajua kwamba lile jabali la nchi ile kubwa, linamtumia 'JM' anayeongoza nyumba ile muhimu?!
Je, mnajua jabali hilo la nchi hiyo kubwa linataka 'JM' agawanye nyumba ile, na ziwe nyumba tatu?! Halafu wao wakabidhiwe nyumba mbili, tubaki na moja?!
Je, mnajua steji ya kwanza ya mkakati huo imeshatekelezwa vema na ndg 'JM'?
Jabali lile la nchi kubwa, linamjua vyema 'JM', lilishawahi mlea wkt flani, na linajua tamaa yake.
Leo linamtumia 'JM' kuhakikisha nyumba ile inakuwa vipande vitatu, na wao wapewe viwili.

Huyu 'JM' ni sehemu yenu mnaojiita "thestate".
Ni kundi ambalo mkihakikishiwa maslahi yenu hamna shida kabisa.

Taifa ndio linalopoteza. Nyie akina 'TA' ni maslahi tu.

Subiri muone hilo jabali la nchi ile kubwa linachokifanya kupitia "JM", Taifa linaenda kutolewa meno. Eti nyie "thestate" mpo...!

Asomaye JF na ang'amue, hakuna '0101...' wa kukesha huku mtandaoni.
Pole Taifa.
Au ni yule anajidai Kuna 'the deep state'😆
 
Wana JF na Watanzania,

Kuna kundi limejitanabaisha humu kama wao ndio waamuzi wakuu wa hatma ya nchi.

Huko nyuma mwandishi mmoja wa kundi hilo amekuwa akiandika na kuyaita maandishi yake kama "maono", badae akaanza kusema anawasilisha yaliyopitishwa "mezani", badae alivyopata kuaminika hasa hapa JF anajitambulisha na kujibu thread kama sehemu ya akiitacho yeye "thestate". ;/0101...

Mwandishi huyu wa kundi hili amekuwa akiandika makala mfululizo, akisema mpango wa kufanya hiki, mpango wa kumuondoa yule, n.k
Japo anajifanya kusema kimafumbo ila hata "paka" anang'amua maana ya mafumbo yake.

Kilichofanya aaminike hapa JF ni baadhi ya bashiri zake zilizoenda "walivyopanga".

Kwanza niwaambie Watanzania, hakuna mpango wa '0101...' unaoahirishwa. Eti leo lipangwe jambo flani, halafu badae waje waseme tumeahirisha jambo hilo, tunatazamia. Hakuna '0101...' yenye akili ndogo kama hiyo.
Yani eti '0101...' iwe inakurupuka, ipitishe jambo then irudi nyuma! Haipo! Never.
Kama msomaji wangu, hiyo '0101...' inakutatiza, weka "thestate" anayotumia huyo mwandishi wao.

Sasa huyu mwandishi wao 'TA' ni mwakilishi wa kundi flani ambalo halitaki vyovyote vile 'maslahi' yao binafsi yaguswe. Kinachowapa nguvu ni kwamba wana link maslahi yao na maslahi ya jabali flani la taifa kubwa, na hata baadhi ya mipango hutokea huko.
Ukisoma maandishi yao, ni kwamba sasa hivi kundi hili limeshawatisha viongozi wote wakubwa waliopo, P, VP, PM, PS, S, CJ, n.k

Of course wamewaambia kwamba wao hawagusiki, na wanawapa mifano ya huko nyuma.

Mimi sitetei uozo wa kiongozi yeyote, lakini nachokataa na naamini ni hatari, kuwa na kundi flani ktk nchi eti linahodhi maslahi na kuamua ili mambo yao binafsi na watu wao yaende.

Sasa nikuulize 'TA' mwandishi wa kundi hili.
Unajua kwamba lile jabali la nchi ile kubwa, linamtumia 'JM' anayeongoza nyumba ile muhimu?!
Je, mnajua jabali hilo la nchi hiyo kubwa linataka 'JM' agawanye nyumba ile, na ziwe nyumba tatu?! Halafu wao wakabidhiwe nyumba mbili, tubaki na moja?!
Je, mnajua steji ya kwanza ya mkakati huo imeshatekelezwa vema na ndg 'JM'?
Jabali lile la nchi kubwa, linamjua vyema 'JM', lilishawahi mlea wkt flani, na linajua tamaa yake.
Leo linamtumia 'JM' kuhakikisha nyumba ile inakuwa vipande vitatu, na wao wapewe viwili.

Huyu 'JM' ni sehemu yenu mnaojiita "thestate".
Ni kundi ambalo mkihakikishiwa maslahi yenu hamna shida kabisa.

Taifa ndio linalopoteza. Nyie akina 'TA' ni maslahi tu.

Subiri muone hilo jabali la nchi ile kubwa linachokifanya kupitia "JM", Taifa linaenda kutolewa meno. Eti nyie "thestate" mpo...!

Asomaye JF na ang'amue, hakuna '0101...' wa kukesha huku mtandaoni.
Pole Taifa.
Aiseh kea hiyo 0101 haiwezi kuja mitandaoni kutoa taarifa yeyote sio!?

Yaani kina TA ni wasanii tu si Ndio!!

Kama ni hivyo hao 0101 wanapaswa kumtumia mtumishi wa kawaida KABISA ambaye ni mzalendo wa kweli kulikomboa TAIFA yaani watumie asie Mwanasiasa wala hajulikani kaibuka tu kutoka Kijiji I huko kusikojulikana akitumikia wananchi na kupewa kijiti kwa chama chochote!!

Inaonekana wanasiasa WALIOWENGI ni corrupted TAYARI!!Sasa apatikane mtu huyo afanye kweli!!
 
Mimi ninachojua ni hawatafanikiwa. Waache wajitutumue lakini mwisho wao umeshajulikana. Na huyo kipara akae akijua hao wanaomtumia hawatakuwepo kipindi wazalendo wanamhenyesha kurudisha pesa alizowaibia watanzania, na atazitoa kupitia matundu yote mwilini mwake. Mungu ibariki Tanzania.
UNACHOJUA HAWATOFANIKIWA!!!?Ina maana una info kamili kuhusu wao si Ndio!!?

Sasa hao kina TA ,unakubaliana na mleta mada kuwa ni 0101 feki wanaotuandaa Ili kuratibu operation zao kinyume na 0101 halisi!!?

Nijibu tafadhali!!
 
Aiseh kea hiyo 0101 haiwezi kuja mitandaoni kutoa taarifa yeyote sio!?

Yaani kina TA ni wasanii tu si Ndio!!

Kama ni hivyo hao 0101 wanapaswa kumtumia mtumishi wa kawaida KABISA ambaye ni mzalendo wa kweli kulikomboa TAIFA yaani watumie asie Mwanasiasa wala hajulikani kaibuka tu kutoka Kijiji I huko kusikojulikana akitumikia wananchi na kupewa kijiti kwa chama chochote!!

Inaonekana wanasiasa WALIOWENGI ni corrupted TAYARI!!Sasa apatikane mtu huyo afanye kweli!!
"Classified info" huwa hazi leak hadi wenyewe baada ya miaka mingi kupita, waamue kuzitoa tena vipande vichache tu.

Ndio maana akajiita "TA". Nakushauri tumia akili yako vyema.
Hilo kundi wao ndio wanaoamini kuwa na akili na kwamba si binadamu wa kawaida. Na wao ndio wanastahili kuongoza na sio kuongozwa. Wanaamini wana uwezo wa kuwaambia huu udongo ni pesa, nanyi mkafuata.

0101 inapambana lakini je itaweza baada ya muda gani, na hali ya Taifa itakuwaje wkt huo?!
 
"Classified info" huwa hazi leak hadi wenyewe baada ya miaka mingi kupita, waamue kuzitoa tena vipande vichache tu.

Ndio maana akajiita "TA". Nakushauri tumia akili yako vyema.
Hilo kundi wao ndio wanaoamini kuwa na akili na kwamba si binadamu wa kawaida. Na wao ndio wanastahili kuongoza na sio kuongozwa. Wanaamini wana uwezo wa kuwaambia huu udongo ni pesa, nanyi mkafuata.

0101 inapambana lakini je itaweza baada ya muda gani, na hali ya Taifa itakuwaje wkt huo?!
Tunapitia kipindi kigumu sana kama Nchi.

Shida kubwa inakuja pale Rais wa Nchi anapofariki akiwa madarakani.
 
Tunapitia kipindi kigumu sana kama Nchi.

Shida kubwa inakuja pale Rais wa Nchi anapofariki akiwa madarakani.
Matamshi ya juzi ya Kikwete na Makamba, ni mfululizo wa mengi yaliyo nyuma ya pazia.
 
"Classified info" huwa hazi leak hadi wenyewe baada ya miaka mingi kupita, waamue kuzitoa tena vipande vichache tu.

Ndio maana akajiita "TA". Nakushauri tumia akili yako vyema.
Hilo kundi wao ndio wanaoamini kuwa na akili na kwamba si binadamu wa kawaida. Na wao ndio wanastahili kuongoza na sio kuongozwa. Wanaamini wana uwezo wa kuwaambia huu udongo ni pesa, nanyi mkafuata.

0101 inapambana lakini je itaweza baada ya muda gani, na hali ya Taifa itakuwaje wkt huo?
Naendelea kusisitiza, huyu anayejiita "TA" ni genge lile lile la JK Na Makamba.
Maandishi yake humu huwa ni "diversion" au "maandalizi" ya yaliyo nyuma ya pazia.
 
Aiseh kea hiyo 0101 haiwezi kuja mitandaoni kutoa taarifa yeyote sio!?

Yaani kina TA ni wasanii tu si Ndio!!

Kama ni hivyo hao 0101 wanapaswa kumtumia mtumishi wa kawaida KABISA ambaye ni mzalendo wa kweli kulikomboa TAIFA yaani watumie asie Mwanasiasa wala hajulikani kaibuka tu kutoka Kijiji I huko kusikojulikana akitumikia wananchi na kupewa kijiti kwa chama chochote!!

Inaonekana wanasiasa WALIOWENGI ni corrupted TAYARI!!Sasa apatikane mtu huyo afanye kweli!!
"Labda mambo yakiharibika sana"

Rais Samia wewe hutakufa, kwa sababu wazuri hawafi, ndio maana Jakaya na Kina bado wapo.
 
Back
Top Bottom