Je, Kuna mkakati wa kuwatisha viongozi wa nchi hii?

Kwahiyo namba moja anakwamisha maslahi ya kundi hilo? Mbona hali halisi haithibitishi hili mkuu?
Wamemtisha, ambacho sina hakika amewajibu vipi.
Ndio sasa wanasema wamemuweka ktk kipindi cha matazamio.
Inafikirisha sana.
 
Wamemtisha, ambacho sina hakika amewajibu vipi.
Ndio sasa wanasema wamemuweka ktk kipindi cha matazamio.
Inafikirisha sana.
NAONA wamepandisha majina mawili jukwaani kuwa MMOJA wapo anaandaliwa kuchukua kijiti baada ya mama!Sasa mtifuano HUO unaweza kuzaa chaguo la tati lisilo tarajiwa ambalo NDIO hilo la Mungu kama wasemavyo kina Rabbon HUMU jukwaani hatmaye tukapata mtumishi wa Mungu kitalani na nchi ikaongozwa kiroho na sio kishetani kama ilivozoeleka!!
 
Wamemtisha, ambacho sina hakika amewajibu vipi.
Ndio sasa wanasema wamemuweka ktk kipindi cha matazamio.
Inafikirisha sana.
Wanaoitwa Sukuma Gang ndio wamemtisha?
 
Wale masheikh wawili ?
 
Tutaachiwa ipi?
1. Generation?
2. Transmission?
3. Distribution?
 
Ila kama kundi la Edward lilizimwa, utatu wa watu wenye pesa Edward, RA na JC(nyoka mwenye makengeza) ulizimwa, sembuse kijikundi cha vitoto ndio kiisumbue Taifa na maslahi yake?
 
Ila kama kundi la Edward lilizimwa, utatu wa watu wenye pesa Edward, RA na JC(nyoka mwenye makengeza) ulizimwa, sembuse kijikundi cha vitoto ndio kiisumbue Taifa na maslahi yake?
Lile la Edward lilisambaratishwa tu. Sema mzee Edo ndo wamemchosha.
Unaamini hiki kijikundi cha vitoto hakijajipanga?!
 
Wanatumia akili sana kutuchanganya, yani inabidi utulize akili sana. Wana mbinu flani wanazitumia. Moja, kusoma upepo, mfano kumsogeza flani waone mnasemaje. Mbili, kutomzungumzia kabisa wanayemtaka. Tatu, kujifanya wanapingana na mastermind wao, kumbe ndiye msuka mipango yote.

Tuombe hilo la makundi kuibuka, yaibuke kweli tena makali sana, ili tupitishe asiye na makundi. Japo hii mijamaa ikijipanga kula pamoja, haigombani kabisa.
Tuombe...
 
Tutaachiwa ipi?
1. Generation?
2. Transmission?
3. Distribution?
Kwenye mipango ya 1, na 2 ....fuatilia vizuri. Kuna mabadiliko makubwa sana hadi saivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…