Je, kuna Mkazi yeyote yule wa Jimbo la Kawe aliyeanza kuzishuhudia ahadi lukuki za maendeleo za Mbunge Askofu Gwajima?

ka aliahidi na hafanyi ..huenda ata pale madhabahuni hujinenea moyonii
"wajinga ndo waliwaoo"
 
Huyu jamaa aliwahi kuhojiwa kuhusu maendeleo ya kawe 'akasema maendeleo sio lazima yawe ya kuonekana mana yeye bado anawatembelea watu kujua shida zao'
 
Kwa hivo kabisa Krav nawewe uliafiki kuamini kabisa maneno hayo kutoka kwenye kinywa cha anayejiita mwanasiasa akisaka tonge?

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Duh
 
Ukimuamini Askofu Rashid Gwajima utaamini kuwa Afghanistan iko Latin America.
 
Kwa hizi kauli zake, Kawe mjiandae kuchagua mbunge mwingine.
 
Askofu Gwajima, katika ahadi zako ulituhaidi vijana wa kawe kuwa utatupeleka jimbo la Birminghama Marekani ili tukabadilishane ujuzi na vijana wa huko kwaajili ya manufaa ya kawe,

vile vile mbali na hilo ulituhaidi kutupatia chuo cha uvuvi,

sasa tunaona siku zinaenda tu umekalia kisabengo kushadadia vitu usivyokua hata na ujuzi navyo,

tunaomba utupe tamko vijana wako wa kawe tuendelee kujiandaa, ni lini hasa safari ya Birmingham itakua tayari
 
Tafuta hela mkuu mawazo yabadilike..uanze kuwaza mambo mengineyo
 
Oyaaa panga nguo kabisa safari imeiva, muda wowote vijana wa jimbo la ufufuo na uzima mnaondoka ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…