Je, kuna Mkazi yeyote yule wa Jimbo la Kawe aliyeanza kuzishuhudia ahadi lukuki za maendeleo za Mbunge Askofu Gwajima?

Je, kuna Mkazi yeyote yule wa Jimbo la Kawe aliyeanza kuzishuhudia ahadi lukuki za maendeleo za Mbunge Askofu Gwajima?

Askofu Gwajima, katika ahadi zako ulituhaidi vijana wa kawe kuwa utatupeleka jimbo la Birminghama Marekani ili tukabadilishane ujuzi na vijana wa huko kwaajili ya manufaa ya kawe,

vile vile mbali na hilo ulituhaidi kutupatia chuo cha uvuvi,

sasa tunaona siku zinaenda tu umekalia kisabengo kushadadia vitu usivyokua hata na ujuzi navyo,

tunaomba utupe tamko vijana wako wa kawe tuendelee kujiandaa, ni lini hasa safari ya Birmingham itakua tayari
View attachment 1886301
Mmekula FFAMBA bab kubwa! jimbo la birmingham ke ke ke! Aliwalaghai na sasa anavuliwa ubunge mmenyujwa hayoooooooo! checheme hhhoyyyee
 
Askofu Gwajima, katika ahadi zako ulituhaidi vijana wa kawe kuwa utatupeleka jimbo la Birminghama Marekani ili tukabadilishane ujuzi na vijana wa huko kwaajili ya manufaa ya kawe,

vile vile mbali na hilo ulituhaidi kutupatia chuo cha uvuvi,

sasa tunaona siku zinaenda tu umekalia kisabengo kushadadia vitu usivyokua hata na ujuzi navyo,

tunaomba utupe tamko vijana wako wa kawe tuendelee kujiandaa, ni lini hasa safari ya Birmingham itakua tayari
View attachment 1886301
Tapeli tu huo.

Waumini wake wamdai na zile pesa za treni alizodai amashakusanya tayari kuwanunulia treni .......... !!
 
Askofu Gwajima, katika ahadi zako ulituhaidi vijana wa kawe kuwa utatupeleka jimbo la Birminghama Marekani ili tukabadilishane ujuzi na vijana wa huko kwaajili ya manufaa ya kawe,

vile vile mbali na hilo ulituhaidi kutupatia chuo cha uvuvi,

sasa tunaona siku zinaenda tu umekalia kisabengo kushadadia vitu usivyokua hata na ujuzi navyo,

tunaomba utupe tamko vijana wako wa kawe tuendelee kujiandaa, ni lini hasa safari ya Birmingham itakua tayari
View attachment 1886301
Yeye mwenyewe hajawahi kufika
 
Ngoja amalizane na chanjo kwanza
 
Back
Top Bottom