mafiakisiwani
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 833
- 616
Waoga waoga kama wanaishi ugenini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maneno ya waziri alisema kwa kifurushi kisicho Isha muda GB1 itauzwa kuanzia 2,000 mpaka 9,000GB 1 Kwa Tsh 9000 hyo haipo! Tushawah nunua Tsh 500 Kwa mb 70 Ila sa hv tunanunua TSH 500 Kwa mb 500. Hzo ni propaganda tu
Nchi yetu banaWakati dunia inafurahia matokeo ya teknolojia kurahisisha maisha huku kwetu inaonekana kero kwa wateule. Na wanajipanga kuzipiga pini WhatsApp call na Messenger call kisa zinawazuia kupata mapato yanayotokana na utumiaji wa mitandao kupiga international calls.
Hawa jamaa wanawaza mapato tu!
Tujiandae tuNdio sheria hiyo inakuja kuanzia april
Mb 1 itauzwa kati ya sh. 2 hadi 9
Hii imetolewa ufafanuzi, haipo kama ilivyonukuliwa na gazeti la mwananchi.Wakati dunia inafurahia matokeo ya teknolojia kurahisisha maisha huku kwetu inaonekana kero kwa wateule. Na wanajipanga kuzipiga pini WhatsApp call na Messenger call kisa zinawazuia kupata mapato yanayotokana na utumiaji wa mitandao kupiga international calls.
Hawa jamaa wanawaza mapato tu!
HahahahahaBAHATI MBAYA KUMBE HANA NYWELE...NDIO MAANA.
Ndugulile ulionekana una akili lakini ghafla umekabidhi ufahamu na kubaki na ujinga.
Bora kwa maana ni kitendo cha aibuHii imetolewa ufafanuzi, haipo kama ilivyonukuliwa na gazeti la mwananchi.