Yaan jamaa kila wakikaa chin wanawazs tu tukakusanye mzigo na sio wap tukaboreshe maisha yaan asikufiche mtu hskuna kitu gharama km international call vocha itabid uweke 5000 kwenda mbele sasa wakaona hx internet call zinabana sn sasa wameamua moja kuzifutilia mbal na sio kudhusha gharama za international call hii ndio sababu serikal huwa inazuiwa isifanye biashara hawajuu biashara wanatumia mamlaka kufunga biashara zengine ilibak yy tu tunarud enz xa ujamaaaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.