Je, kuna mtu yeyote aliyefanikiwa kumrejesha mpenzi wake wa zamani(ex)? Ulifanyaje?

Je, kuna mtu yeyote aliyefanikiwa kumrejesha mpenzi wake wa zamani(ex)? Ulifanyaje?

Unatakiwa ukubaliane na uhalisia kwamba mliachana.Usipende kugeukageuka nyuma utageuka mnara wa chumvi iliyoharibika.Ulisahau nini kwake?
Kupiga nilipiga lakini tulitofautiana kidogo tu(distance relationship). Kwani mambo hayawez kua fresh tukianza upya?
 
Wee turudiahe majeshi tuu mwanawane....kama kukamatika ndio tulishakamatika hatuna ujanja kwa hawa warembo wetu. Ah mie wacha kwanza nimtumie buku 20 hapa la lunch alafu nisindikize na sms za bby come back
Man kwako mambo safi😀
Labd nitume 50 nione km nikimkaribisha kwangu atakuja. Manake kuja tuu kazi
 
Tatizo unaweza kutoa mbinu za medani hapa kumbe uyo ex wako ndo mwanamke wangu. Nakuwa nimekurahisishia njia ya kunipora Tonge.
Yupo single mkuu. Hahaha mbona unanitisha....mwaga madini
 
Wakuu nadhani mko poa

Katika maisha ya mahusiano, kuna wakati mnatofautiana au zinatokea changamoto mpk kupelekea kuachana au kutengana. Kumrudia mpenzi wangu wa zamani(my ex) Huu haukuwa mpango wangu, siku zote nilikubali hali halisi na kuendelea kuishi maisha yangu bila wao(katika mahusiano yote niliyopitia).

Waliponiacha, niliheshimu maamuzi yao, nilitulia na kuwatakia kila la kheri. Kisha sikuwasiliana nao, lakini kwa nia kuendelea kuishi maisha yangu bila wao kuwa sehemu ya maisha yangu ya baadaye. Kwa sababu nilionyesha kutokujali, kujitenga na kuwa tayari kuendelea.

Tatizo kuna ex wangu mmoja natamani kurudisha mahusiano yangu kwake. Najiskia kumpenda sana, najutia kumuacha, sasaivi amekua mzuri sana🤭 na tayari tunawasiliana. Tatizo hataki mahusiano na mimi tena. Wewe ulitumia mbinu gani kumrudisha ex wako? Uligharamika kiasi gani? Mahusiano yalidumu?
Kawa mzuri sababu ya sperm zenye rotuba anazopewa na matunzo,, wwe shida ziko Hadi kwa sperm
 
Hatua za kumrudisha ex wako
Wape wauni pesa wa mteke
Alafu wewe unajifanya unaenda kumuokoa

Alafu kaa kimia tu majibu atakupa mwenyewe

Njia ya pili tafuta Germany sex drop
Mpe ishu rafiki yake amuwekee ndani ya maji au cha kula chochote
Majibu utayapata
 
Ngoja nikupe hii njia na huyo hit and run mzabzab 🤣🤣🤣🤣.
Unapoachana na mpenzi wako, ukianza kumsumbua mrudiane, kikawaida anapata bichwa na atakuringia tu. Mwingine hakutaki tena, vile unamsumbua ndiyo unazidi kuharibu.
Cha kufanya fata njia ya No contact rule... Hii ni hivi mkiachana usimtext, usimpigie, usimwangalie kwenye mtandao wowote wa kijamii. Kata mawasiliano naye, ya aina yoyote.

Sehemu anazopenda kwenda usiende, ili tu kuepusha kukutana naye. No contact rule huchukua siku 30 - 60. Fanya hivi halafu utaleta mrejesho...
 
Ngoja nikupe hii njia na huyo hit and run mzabzab 🤣🤣🤣🤣.
Unapoachana na mpenzi wako, ukianza kumsumbua mrudiane, kikawaida anapata bichwa na atakuringia tu. Mwingine hakutaki tena, vile unamsumbua ndiyo unazidi kuharibu.
Cha kufanya fata njia ya No contact rule... Hii ni hivi mkiachana usimtext, usimpigie, usimwangalie kwenye mtandao wowote wa kijamii. Kata mawasiliano naye, ya aina yoyote.

Sehemu anazopenda kwenda usiende, ili tu kuepusha kukutana naye. No contact rule huchukua siku 30 - 60. Fanya hivi halafu utaleta mrejesho...
This is the dumbest advise ever🤣🤣🤣🤣🤣
Sii ungeniambia tuu nitafute hela ningekuelewa🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom