Je, kuna mtu yeyote aliyefanikiwa kumrejesha mpenzi wake wa zamani(ex)? Ulifanyaje?

Je, kuna mtu yeyote aliyefanikiwa kumrejesha mpenzi wake wa zamani(ex)? Ulifanyaje?

Hatua za kumrudisha ex wako
Wape wauni pesa wa mteke
Alafu wewe unajifanya unaenda kumuokoa

Alafu kaa kimia tu majibu atakupa mwenyewe

Njia ya pili tafuta Germany sex drop
Mpe ishu rafiki yake amuwekee ndani ya maji au cha kula chochote
Majibu utayapata
Hii umewahi kuiapply?
Nawaza tu usije kushangaa wahun uliowapa kibunda wanakuja kumsanua😀😀. Hii nzuri km ni nje ya mji
 
Aise ata mie ngoja nipate tips hapa. Kuna mwanamke natamani sana nirudishe majeshi ila dah kama kaniwekea kauzibe ila sometimes ana respond vizuri tukichat....tupeni mbinu wajuzi wa mambo
...Shinda Sportspesa zawadi ya kwanza ya Shilingi Bilioni Moja![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Ngoja nikupe hii njia na huyo hit and run mzabzab 🤣🤣🤣🤣.
Unapoachana na mpenzi wako, ukianza kumsumbua mrudiane, kikawaida anapata bichwa na atakuringia tu. Mwingine hakutaki tena, vile unamsumbua ndiyo unazidi kuharibu.
Cha kufanya fata njia ya No contact rule... Hii ni hivi mkiachana usimtext, usimpigie, usimwangalie kwenye mtandao wowote wa kijamii. Kata mawasiliano naye, ya aina yoyote.

Sehemu anazopenda kwenda usiende, ili tu kuepusha kukutana naye. No contact rule huchukua siku 30 - 60. Fanya hivi halafu utaleta mrejesho...
Daah Bantu lady shukrani sana.
Nilianza na gia kubwa ya kumtafuta mara kwa mara. Kwahy inabid nipunguze kuonesha namtaka sana sio? Sema kusubiri kwa muda huo ntapata tabu sana
 
Wakuu nadhani mko poa

Katika maisha ya mahusiano, kuna wakati mnatofautiana au zinatokea changamoto mpk kupelekea kuachana au kutengana. Kumrudia mpenzi wangu wa zamani(my ex) Huu haukuwa mpango wangu, siku zote nilikubali hali halisi na kuendelea kuishi maisha yangu bila wao(katika mahusiano yote niliyopitia).

Waliponiacha, niliheshimu maamuzi yao, nilitulia na kuwatakia kila la kheri. Kisha sikuwasiliana nao, lakini kwa nia kuendelea kuishi maisha yangu bila wao kuwa sehemu ya maisha yangu ya baadaye. Kwa sababu nilionyesha kutokujali, kujitenga na kuwa tayari kuendelea.

Tatizo kuna ex wangu mmoja natamani kurudisha mahusiano yangu kwake. Najiskia kumpenda sana, najutia kumuacha, sasaivi amekua mzuri sana🤭 na tayari tunawasiliana. Tatizo hataki mahusiano na mimi tena. Wewe ulitumia mbinu gani kumrudisha ex wako? Uligharamika kiasi gani? Mahusiano yalidumu?
Bado hujapata pesa ya kutosha kumshawishi akurudie, achana naye, tafuta pesa atakuja mwenyewe.
 
kurudia mapenzi wa zamani nisawa ira kuna mambo mawili 1 kama ana kupenda ww naww unampenda ludiana nae ila kama hakupendi achana nae pia tumia njia ya vishawishi yani jipendekeze kwake uwe mutumwa wa mapenzi kwani alishankusoma tabia zako naww ulisha musoma kwa hivyo hapo inabidi mmoja awe mutumwa kwa walio pitia wana lijua hilo
 
Mi wamejaribu kurudi ila wameshindwa, ni mmoja tu ndo nipo naye hadi sasa sema alitumia nguvu ya pesa kunivuta, Mara ya kwanza alikuwa bahili balaa
 
Back
Top Bottom