Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii umewahi kuiapply?Hatua za kumrudisha ex wako
Wape wauni pesa wa mteke
Alafu wewe unajifanya unaenda kumuokoa
Alafu kaa kimia tu majibu atakupa mwenyewe
Njia ya pili tafuta Germany sex drop
Mpe ishu rafiki yake amuwekee ndani ya maji au cha kula chochote
Majibu utayapata
...Shinda Sportspesa zawadi ya kwanza ya Shilingi Bilioni Moja![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Aise ata mie ngoja nipate tips hapa. Kuna mwanamke natamani sana nirudishe majeshi ila dah kama kaniwekea kauzibe ila sometimes ana respond vizuri tukichat....tupeni mbinu wajuzi wa mambo
Naisifu mvua.Jamaa unanikatisha tamaaa. Uliwah rudi kwa ex mambo yakaenda vibaya nn?
Sinaga ex mimi😂🤣🤣wewe ulieanza nae mliachana au ulimove on?
Daah Bantu lady shukrani sana.Ngoja nikupe hii njia na huyo hit and run mzabzab 🤣🤣🤣🤣.
Unapoachana na mpenzi wako, ukianza kumsumbua mrudiane, kikawaida anapata bichwa na atakuringia tu. Mwingine hakutaki tena, vile unamsumbua ndiyo unazidi kuharibu.
Cha kufanya fata njia ya No contact rule... Hii ni hivi mkiachana usimtext, usimpigie, usimwangalie kwenye mtandao wowote wa kijamii. Kata mawasiliano naye, ya aina yoyote.
Sehemu anazopenda kwenda usiende, ili tu kuepusha kukutana naye. No contact rule huchukua siku 30 - 60. Fanya hivi halafu utaleta mrejesho...
Yameshawakuta ya kuwakuta huko ndio mnawakumbuka eeh!! 🤣🤣🤣🤣Wee turudiahe majeshi tuu mwanawane....kama kukamatika ndio tulishakamatika hatuna ujanja kwa hawa warembo wetu. Ah mie wacha kwanza nimtumie buku 20 hapa la lunch alafu nisindikize na sms za bby come back
Bado hujapata pesa ya kutosha kumshawishi akurudie, achana naye, tafuta pesa atakuja mwenyewe.Wakuu nadhani mko poa
Katika maisha ya mahusiano, kuna wakati mnatofautiana au zinatokea changamoto mpk kupelekea kuachana au kutengana. Kumrudia mpenzi wangu wa zamani(my ex) Huu haukuwa mpango wangu, siku zote nilikubali hali halisi na kuendelea kuishi maisha yangu bila wao(katika mahusiano yote niliyopitia).
Waliponiacha, niliheshimu maamuzi yao, nilitulia na kuwatakia kila la kheri. Kisha sikuwasiliana nao, lakini kwa nia kuendelea kuishi maisha yangu bila wao kuwa sehemu ya maisha yangu ya baadaye. Kwa sababu nilionyesha kutokujali, kujitenga na kuwa tayari kuendelea.
Tatizo kuna ex wangu mmoja natamani kurudisha mahusiano yangu kwake. Najiskia kumpenda sana, najutia kumuacha, sasaivi amekua mzuri sana🤭 na tayari tunawasiliana. Tatizo hataki mahusiano na mimi tena. Wewe ulitumia mbinu gani kumrudisha ex wako? Uligharamika kiasi gani? Mahusiano yalidumu?
Na uhame kwenu,This is the dumbest advise ever[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sii ungeniambia tuu nitafute hela ningekuelewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ushapigwa na kitu kizito eeh!! Pambana🤣🤣🤣🤣Mkuu umeongea km unazoom nilipoangukia. Naachaje kumkumbuka😀😀
Bado sijaanza mimi😂No hii inaezekanaje? Ulieanza nae ndo upo nae?
Hakuna aijuae kesho yamtuSULUHISHO PEKEE LA KUEPUKANA NA Xs NI KU MOVE ON.
NAKUAPIA KURUDIANA NA X MAPENZI HAYAWEZ KUWA SAWA KAMA MWANZO