Kupiga nilipiga lakini tulitofautiana kidogo tu(distance relationship). Kwani mambo hayawez kua fresh tukianza upya?Unatakiwa ukubaliane na uhalisia kwamba mliachana.Usipende kugeukageuka nyuma utageuka mnara wa chumvi iliyoharibika.Ulisahau nini kwake?
Man kwako mambo safi😀Wee turudiahe majeshi tuu mwanawane....kama kukamatika ndio tulishakamatika hatuna ujanja kwa hawa warembo wetu. Ah mie wacha kwanza nimtumie buku 20 hapa la lunch alafu nisindikize na sms za bby come back
Ah ata mie magetoni hataki kuja yaani tunapanga aje au tukutane basi dah dakika za mwisho utasikia, nimepatwa na dharura ndio imeisha hiyoMan kwako mambo safi😀
Labd nitume 50 nione km nikimkaribisha kwangu atakuja. Manake kuja tuu kazi
Mambo ni kukubaliana.Siyo mmoja awe kama analazimishwa.Akikubali mrudiane atakutesa.Tafuta penzi/upendo mpya.Kubali ukweli.Kupiga nilipiga lakini tulitofautiana kidogo tu(distance relationship). Kwani mambo hayawez kua fresh tukianza upya?
Huyo mwanamke kishakujua ni chovya chovya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mzabzab harudi ng'oo 😎Aise ata mie ngoja nipate tips hapa. Kuna mwanamke natamani sana nirudishe majeshi ila dah kama kaniwekea kauzibe ila sometimes ana respond vizuri tukichat....tupeni mbinu wajuzi wa mambo
Kwa nini?mamaee zenu
Kawa mzuri sababu ya sperm zenye rotuba anazopewa na matunzo,, wwe shida ziko Hadi kwa spermWakuu nadhani mko poa
Katika maisha ya mahusiano, kuna wakati mnatofautiana au zinatokea changamoto mpk kupelekea kuachana au kutengana. Kumrudia mpenzi wangu wa zamani(my ex) Huu haukuwa mpango wangu, siku zote nilikubali hali halisi na kuendelea kuishi maisha yangu bila wao(katika mahusiano yote niliyopitia).
Waliponiacha, niliheshimu maamuzi yao, nilitulia na kuwatakia kila la kheri. Kisha sikuwasiliana nao, lakini kwa nia kuendelea kuishi maisha yangu bila wao kuwa sehemu ya maisha yangu ya baadaye. Kwa sababu nilionyesha kutokujali, kujitenga na kuwa tayari kuendelea.
Tatizo kuna ex wangu mmoja natamani kurudisha mahusiano yangu kwake. Najiskia kumpenda sana, najutia kumuacha, sasaivi amekua mzuri sana🤭 na tayari tunawasiliana. Tatizo hataki mahusiano na mimi tena. Wewe ulitumia mbinu gani kumrudisha ex wako? Uligharamika kiasi gani? Mahusiano yalidumu?
Kwenraaaa zako huko 🤣🤣🤣Huyo mwanamke kishakujua ni chovya chovya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mzabzab harudi ng'oo 😎
Says alot about ur taste in men🤔🤔🤔Sipashagi makabichi🏃
Akirudi nawatowa dinner ile Romatic dinner 😜😜😜😜@mzabzabKwenraaaa zako huko 🤣🤣🤣
Atarudi tuu nitacha chovya chovya nikishafanikiwa kumrudisha
Mhm ututoe dinner kwa mapenzi gani uliyonayo...kwendraaa huko. Kwanza utanitia majaribuni tuu nianze kuwaza 3some bure🤣🤣🤣🤣Akirudi nawatowa dinner ile Romatic dinner 😜😜😜😜@mzabzab
This is the dumbest advise ever🤣🤣🤣🤣🤣Ngoja nikupe hii njia na huyo hit and run mzabzab 🤣🤣🤣🤣.
Unapoachana na mpenzi wako, ukianza kumsumbua mrudiane, kikawaida anapata bichwa na atakuringia tu. Mwingine hakutaki tena, vile unamsumbua ndiyo unazidi kuharibu.
Cha kufanya fata njia ya No contact rule... Hii ni hivi mkiachana usimtext, usimpigie, usimwangalie kwenye mtandao wowote wa kijamii. Kata mawasiliano naye, ya aina yoyote.
Sehemu anazopenda kwenda usiende, ili tu kuepusha kukutana naye. No contact rule huchukua siku 30 - 60. Fanya hivi halafu utaleta mrejesho...