Je, kuna mwanaume asiyechepuka?

Kila mtu timamu anatamani haya ila inategemea na mke uliye naye
 
Wanawake wengi sikuhizi hawawezi kutoa huduma pale unapohitaji! Aidha akuzungushe wee akukate mood kabisa. We have a very short term endurance katika haya maswala. Ukiwa ignored 2-3 times in a row you actually start seeking for relief outside
 
Wanawake wengi sikuhizi hawawezi kutoa huduma pale unapohitaji! Aidha akuzungushe wee akukate mood kabisa. We have a very short term endurance katika haya maswala. Ukiwa ignored 2-3 times in a row you actually start seeking for relief outside
Absolutely kiongozi! Unakuja na mood ya kunyandua, unaambiwa "nimechoka au sijisikii", inajirudia hivyo mara kibao at the end mtu anaona isiwe tabu, after all nyapu si zipo kibao.
 
Naweza kusema ni suala la mda
 
Kuna vyupi siku hizi ni noma sana, yaani totozi za siku hizi usichepuke wewe ni nani?
Unakuta toto imekuvalia 🔞
Pita sokoni, pita madukani, kwenye daladala, super market, hospitali, na kila mahali totoz kama zote hivi. Sisemi bar maana mtasema huko men kafuata mwenyewe.
 
Mie pia sichepuki ila tu mwanamke anashindwa kuhimili vishindo vyangu so anaanza usumbufu wa K inapelekea lazima nikachakate papuchi ingine nje
Mchane ukweli kwamba anakubania,na hivyo hamu yako haiishi kwahio hio inaweza kusababisha ukashawishika kutoka nje ya reli.
Mwanzo anaweza kuwa mkali lakini akikaa mwenyewe ataiona hatari iliyopo mbele yake atajirekebisha
 
Mchane ukweli kwamba anakubania,na hivyo hamu yako haiishi kwahio hio inaweza kusababisha ukashawishika kutoka nje ya reli.
Mwanzo anaweza kuwa mkali lakini akikaa mwenyewe ataiona hatari iliyopo mbele yake atajirekebisha
Analijua hilo
 
Ukiangalia mwanamke anatongozwa na wanaume wengi kwa siku ,
Kuliko mwanaume anavyotongoza kwa siku.

Hii inamaanisha mwanamke anachepuka zaidi kuliko mwanaume.

Ukweli mchungu.

Sababu hata huyo mwanaume anayechepuka anachepuka na.mke wa mtu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…