Je, kuna uhakika wa Mwigulu Nchemba kurudi Iramba?

Hakuna maskini ambae ni jeuri


Watu wa huko iramba ni mapomole tu
 
Chawa
 
Ataongoza mawe labda. Mark my words, Mwigulu, January na Kigwa, hawatakaa kuwa namba 1 wa nchi hii. Hii nchi ina watu wanafanya kazi usiku na mchana. Haupewi tu namba 1 kirahisi rahisi.
 
Ataongoza mawe labda. Mark my words, Mwigulu, January na Kigwa, hawatakaa kuwa namba 1 wa nchi hii. Hii nchi ina watu wanafanya kazi usiku na mchana. Haupewi tu namba 1 kirahisi rahisi.
kama kikwete alipewa, hao nao wanaweza kupewa!
kumpa kikwete lilikua ndio hitimisho la anguko letu.........
heshima yetu ilipotea kuanzia hapo,
 
kama kikwete alipewa, hao nao wanaweza kupewa!
kumpa kikwete lilikua ndio hitimisho la anguko letu.........
heshima yetu ilipotea kuanzia hapo,
Kikwete hakupewa, alinyimwa wakati anastahili kuliko yeyote. Kwa sababu ya uvumilivu wake, akaja kula mbivu. Hao wengine hawastahili kabisa. Kuna Mengi huyajui kabisa kwenye hii nchi, kaa kwa kutulia.
 
Wabunge wa sisiemu hawashindwagi katika chaguzi weweeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…