Je, kuna uhusiano gani kati ya kwenda hijja na harakati za uganga ama tiba za kisuna?

Je, kuna uhusiano gani kati ya kwenda hijja na harakati za uganga ama tiba za kisuna?

Kwa mtazamo wangu wa kawaida na wa kibinadamu.
Kule ni miongon mwa sehemu za kuchuma dhambi sasa namna zichumwavyo ndo sijajua ila ntafuatilia na ntakuja na mada hiyo one day.
Weng wakija wanakuja na majina mapya then wanakuja na uganga juu yake. Kiufupi wanaenda kama kumkiri shetaniii vlee maana kama unaenda then unarud ukiwa mganga naona linaweza kuwa jibu sahihi sana.
Wana wa adamu tunapotezwa sana tena sanaa tamaa na vitisho vya shetan ndivyo vinnatuharibia maisha ya ufalme wa mbinguni
,,,,,Mkuu inaonyesha una elimu pana sana kuhusu dhambi inavyochumwa kule hijja.
,,,,Na hayo majina mapya ni yapi hayo mkuu?
,,,,,,,Na ni nini kinawafanya wawe wanganga wakati wametoka ktk ibada TAKATIFU.
Lete Nondo Mkuu.
 
Mbona FaizaFox amefafanua vizuri tena kwa vifungu kwamba Qur'an iliungwa ungwa na akina Abbakari na hatimaye tukapata kitabu kamili. Kwani vifungu alivyovitoa Dada Faiza havina mashiko ndani ya Qu'ran?
 
Wote wezi tu. Unafikiri wajanja wajanja ni wale wanaoitwa "wachungaji" tu?

Wajinga ndio waliwao.

Hao wote na hayo yote uliyoyasema hayapo katika mafundisho ya Uislam.


Uislam umeamrisha watu wasome na ndiyo maana Uislam ukatoa mabingwa wa kila fani. Kwenye medicine tuna Ibn Sinna aka Avicenna. Kwenye sayansi zingine tunao kina Alkhwaarizim aka Algorithm. Tunao Al Jabr (Aljebra).

Sifahamu kwanini wazungu waliwabadili majina yao na kuyafanya yasieleweke kuwa ni ya Waislam?Jiulize wewe kwanini?
Unanikosha sana mama ake ...miaka yote upo full nondo
 
Mbona FaizaFox amefafanua vizuri tena kwa vifungu kwamba Qur'an iliungwa ungwa na akina Abbakari na hatimaye tukapata kitabu kamili. Kwani vifungu alivyovitoa Dada Faiza havina mashiko ndani ya Qu'ran?
 
Soma Qur'an, imekuja kwa ajili ya watu wote.
quran haina msaada kwa maisha ya mwanadama,

soma biblia inakupa historia yote ya ulimwengu,qur waachie waganga wa kienyeji

Utabiri wa Biblia juu ya mambo ambayo yangetokea baadaye, unathibitisha uvuvio wa Biblia, mambo hayo yanapotokea.

Angalia mifano ifuatayo:​

A. Kuinuka na kuanguka kwa falme nne zilizotawala dunia:
Babeli, Umedi na Uajemi, Uyunani na Rumi. (Danieli 2,7,8.)
1648341203888.png


B. Koreshi kuwa Mpiganaji ambaye angeiteka Babeli. “Haya ndiyo BWANA amwambiayo Koreshi, masihi (mtiwa mafuta) wake, ambaye nimemshika mkono wake wa kuume, ili kutiisha mataifa mbele yake, nami nitalegeza viuno vya wafalme; ili kufungua milango mbele yake, hata malango hayatafungwa. Nitakwenda mbele yako, na kupasawazisha mahali palipoparuza; nitavunja vipande vipande milango ya shaba, na kukata kata mapingo ya chuma; nami nitakupa hazina za gizani, na mali zilizofchwa za mahali pa siri, upate kujua ya kuwa mimi ni BWANA, nikuitaye kwa jina lako, naam, Mungu wa Israeli.” Isa. 45:1-3.

C. Baada ya kuangamizwa, Babeli isingekaliwa tena. “Na Babeli, huo utukufu wa falme, uzuri wa kiburi cha Wakaldayo, utakuwa kama Sodoma na Gomora hapo Mungu alipoiangamiza.” “Haya! juu ya mlima usio na miti inueni bendera, wapazieni sauti zenu, wapungieni mkono, kwamba waingie katika malango ya wakuu.” (Isa. 13:19,2). “Na Babeli utakuwa magofu, makao ya mbwa-mwitu, ajabu, na mazomeo, pasipo mtu wa kukaa huko.” Yer. 51:37.

D. Misri kutokuwa na amri tena kati ya Mataifa. “Nami nitawarejeza Wamisri walio katika hali ya kufungwa, nami nitawarudisha hata nchi ya Pathrosi, hata nchi ya kuzaliwa kwao; na huko watakuwa ufalme duni. Utakuwa duni kuliko falme zote, wala hautajifunua tena juu ya Mataifa; nami nitawapunguza, ili wasitawale tena juu ya Mataifa.” Eze. 29:14,15. “Nami nitaikausha mito, na kuiuza nchi, na kuitia katika mikono ya watu wabaya; nami nitaifanya nchi kuwa ukiwa, na watu wote walio ndani yake, kwa mkono wa wageni; mimi, BWANA, nimenena neno hili.” Eze. 30:12,13.

E. Majanga ya kushtua dunia na hofu kadiri tunavyoelekea siku za mwisho. “Tena, kutakuwa na ishara katika jua, na mwezi, na nyota; na katika nchi dhiki ya Mataifa wakishangaa kwa uvumi wa bahari na msukosuko wake; watu wakivunjika mioyo kwa hofu, na kwa kutazamia mambo yatakayoupata ulimwengu. Kwa kuwa nguvu za mbinguni zitatikisika.” Lk. 21:25,26.

F. Kuporomoka kwa maadili katika siku za mwisho. “Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako na nyakati za hatari. Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio saf, wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema, wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu; wenye mfano wa utauwa, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao.” 2 Tim. 3:1-5.

G. Unabii juu ya matukio katika maisha ya Yesu. “Akaanza kutoka Musa na manabii wote, akawaeleza katika Maandiko yote mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe.” Lk. 24:27. “Kwa maana aliwashinda Wayahudi kabisa kabisa mbele ya watu wote, akionyesha kwa maneno ya Maandiko ya kuwa Yesu ni Kristo.” Mdo. 18:28. Kwa kuwa wakati huo Agano Jipya lilikuwa halijaandikwa, ni wazi kuwa Maandiko yanayozungumziwa hapa ni Agano la Kale. Utabiri wa Agano la Kale juu ya Masihi ulikuwa dhahiri na ulitimizwa na Yesu wa Nazareti kiasi cha kumfanya Yesu mwenyewe na Apolo kuutumia kuwathibitishia Wayahudi kuwa Yesu alikuwa ndiye Masihi.

1642851703389.png


1642851745110.png



Moja kati ya uthibitisho mkuu kwamba Biblia si kitabu cha kawaida tu kilichoandikwa na watu wema, ni uwezo wake wa kubadili maisha ya watu. Inaweza kumbadilisha mtu mwovu kabisa na kumfanya kuwa Mkristo mwaminifu. Inaweza kumfanya mtu asiye mwaminifu, kutaka kurejesha alichochukua, au kusahihisha uongo aliosema. Ni uwezo gani wa ajabu ulio katika kitabu hiki unaobadilisha kiajabu matamanio na makusudi ya watu? Ni uwezo wa kufanya miujiza wa Roho wa Mungu anayefanya kazi kupitia kitabu hiki kutuonyesha Mwana–Kondoo wa Mungu aichukuaye dhambi ya ulimwengu.
 
,,,,,,, unathibitishaje hilo unalolisema hapa?
unaweza kuweka vifungu vinavyoonyesha kuwa Qu'ran haina msaada wowote kwa binadamu?
vifungu kutoka wapi, yaan ni sawa mwiz ajitaje mwiz,ukweli quran sio kitabu cha MUNGU
 
,,,,,,, unathibitishaje hilo unalolisema hapa?
unaweza kuweka vifungu vinavyoonyesha kuwa Qu'ran haina msaada wowote kwa binadamu?
TUNAPOICHUNGUZA QUR'AN

Mada yetu itatokana na aya Quran 2:34 ambayo kwa mtu makini sana anaweza kupata maswali mengi na mengine yakamtoa katika usingizi wa madanganyo naam , kumbuka Yesu anasema kupitia Mtume Yohana kuwa tunapaswa kuzichunguza roho (aina yoyote ya mafundisho ya kiroho kutoka chanzo chochote ) maana udanganyifu upo
👇

1 Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.
1 Yohana 4:1
Hebu tuisome aya kwa mtiririko mzuri na aya zinazofuatia ili tujifunze na waislamu nini nilikusudia katika swali langu la siku tatu zilizopita
👇

Quran 2:34.
Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri.
👆

Aya hii imeacha utata nao ni huu
⬇

i) Mungu aliwaamrisha Malaika wamsujudie Adamu wakati tunajua fika Mungu anataka kusujudiwa Yeye peke yake hapo kuna kitu cha kutazamwa sana
ii) Malaika wote wakamsudia isipokuwa Ibilisi , yeye alikataa na akajivuna na hivyo akawa katika makafiri (hii inamaanisha Ibilisi si kiumbe wa kwanza kuasi) katika imani ya waislamu maana neno makafiri maana yake ni hii
👉
"asiyefuata maelekezo ya Mungu au aliye kinyume na Mungu"
Katika aya ya Quran 18:50 imeandikwa baada ya Ibilisi kugoma kumsujudia Adamu akawa miongoni mwa makafiri maana yake ni kwamba tayari viumbe waliokuwa wakimpinga Mungu walikuwepo sasa jaribu kuwatafuta ni viumbe gani maana Adamu alikuwa hajaasi
⬇

Quran 18:50.
Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je! Mnamshika yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu mno badala hii kwa wenye kudhulumu.
Ukiisoma aya hiyo kwa umakini unagundua kumbe Ibilisi alikuwa ni jini ila amri ya kusujudu waliagizwa Malaika ila Ibilisi akatiwa hatiani kwa kugoma kwake.
Je, ni sahihi kumwadhibu mtu kwa kosa lisilo mhusu? Yaani waambiwe madaktari wote walete vyeti wewe ni mwalimu nae ubebe cheti na ukikataa kuleta utiwe hatiani
Adhabu hii haikuwa na logic na aya ya 18:50 inazaa utata zaidi kuwa:-
i) Ibilisi alikuwa jini aliyeishi na Malaika (kivipi mie na wewe hatuna majibu)
ii) Huko peponi kwa Mungu wa waislamu ndiko alikoumbiwa Ibilisi na Adamu huku makafiri wengine wakiwa hawatajwi ni akina nani na walikuwa wapi
Je,ni wanadamu au majini peke yake? Na kama ni majini majini yote yaliasi lini na ilikuwaje jini moja tu ndilo lionekane huko likiwa halijaasi mengine hayatajwi yalikuwa wapi wala kuasi kwao ni kupi!?
Usichoke twende kwenye point
Juzi niliuliza swali
👇

"BUSTANI YA EDENI ILIKUWA WAPI(ILIKUWA DUNIANI AU MBINGUNI?)
Mwislamu mmoja akajibu kuwa Bustani husika(ya Edeni) ilikuwa mbinguni nami nikakubali sawa ili tukutane kwenye mada hii vizuri ,hebu tujisomee aya zaidi kutoka Quran 2 hiyo hiyo zikielezea kilichoendelea
👇

Quraan 2:35
Na tulisema: Ewe Adam! Kaa wewe na mkeo katika Bustani, na kuleni humo maridhawa popote mpendapo, lakini msiukaribie mti huu tu; mkawa katika wale walio dhulumu.
Take a note: Baada ya Ibilisi kuwa kafiri na kuwa miongoni mwa makafiri ambao hawajulikani ni viumbe gani Mungu aliendelea na Mipango yake kwa Adam na mkewe ,akawapa bustani na akawaambia ikiwa wataukaribia mti (ambao hautajwi) watakuwa kati ya wale waliodhulumu maana yake ni kuwa waliodhulumu walikuwepo mbinguni nje ya Ibilisi kama tulivyoona hapo juu sasa kitu cha kufikirisha kwa kina kikawa ni hiki, naomba usome kwa umakini
👇

36.
Lakini Shet'ani aliwatelezesha hao wawili na akawatoa katika waliyo kuwamo, na tukasema: Shukeni, nanyi ni maadui nyinyi kwa nyinyi. Katika ardhi yatakuwa makaazi yenu na starehe kwa muda.
👆

Shetani (ambaye) hatajwi ni kiumbe gani aliwatelezesha (aliwafanya Adamu na mkewe wavunje amri ya Mungu ) akawa amefanikiwa kuwatoa humo bustanini kisha mungu wa waislamu akawaambia washuke (watoke mbinguni huko ) na watambue wazi watabaki kuwa maadui yaani Shetani na Adamu na mkewe watakuwa maadui ,
Nilipouliza swali nilitaka tu nijue somo hili kama waislamu washalifikiria vizuri na majibu yao yalikuwa ndiyo yanazalisha utata zaidi maana kama Bustani ya Edeni ilikuwa mbinguni , shetani akawadanganya akina Adam na mkewe hukohuko means kumbe Shetani alikuwa akiishi mbinguni kwa muda mrefu tena huku akiwa kafiri (yaani Mungu alikuwa anaishi na kafiri Ibilisi hukohuko mbinguni)
FIKIRI KWA KINA SASA
➡
Shetani alikuwa anaishi mbinguni yeye na Malaika na Mungu hadi akaenda kuwadanganya watu humohumo mbinguni na baada ya hapo ndipo Mungu akawatimua huko mbinguni Shetani na Allah wana ushirika? Maana muasi alikaa na Mungu mbinguni hadi akaleta mambo ya ajabu zaidi na Mungu yupo anamtazama.
➡
Upi ulikuwa ni mpango wa Mungu juu ya kuiumba dunia maana baada tu ya kuasi kwa Adamu na mkewe ndipo wakaletwa duniani kama adhabu.Yaani kwa kifupi kama Adamu asingeasi basi Shetani, Mungu na Wanadamu wote wangekuwa wanaishi pamoja mbinguni.Umeelewa utata huo?
➡
Aliyewadanganya Adamu na na mkewe ni Shetani, hatuambiwi Ibilisi ambaye nae aliwekwa miongoni mwa makafiri alipotelea wapi maana walifukuzwa watu watatu tu Shetani (kafiri mmojawapo) kati ya makafiri wengi waliokuwa mahali pasipotajwa ,Adam na mkewe.
ADAM AKAFUNDISHWA KUOMBA MSAMAHA NA AKAKUBALIWA TOBA
👇

37.
Kisha Adam akapokea maneno kwa Mola wake Mlezi, na Mola wake Mlezi alimkubalia toba yake; hakika Yeye ndiye Mwingi wa kukubali toba na Mwenye kurehemu.
👆

Yaani Mungu aliyekosewa akamfundisha Adamu namna ya kuomba msamaha Adamu akaomba msamaha akakubaliwa ila bado akatimuliwa mbinguni.Ipi ilikuwa sababu ya Adamu kuendelea kupewa adhabu sawa na Shetani wakati ameshaomba msamaha? (Fikiria mwenyewe) kuna uhakika upi kuwa hata wewe mwislamu utasameheka mbele za Allah kama tu Adam aliyefundishwa hata namna ya kuomba na akafanya hivyo aliishia kutupwa duniani ?
Kumbe duniani tuko katika adhabu wapendwa kwa mujibu wa Allah kumbe sisi ni waasi A-Z nje ya hapo tungekuwa tupo mbinguni sasa na ninaposema uhakika wa uzima haupo upande wa waislamu warejee tu kesi ya Adamu na Shetani kwa urahisi
Aya hii haikupi uhakika wa maneno ya Allah
⬇

38.
Tukasema: Shukeni nyote; na kama ukikufikieni uwongofu utokao kwangu, basi watakao fuata uwongofu wangu huo haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika.
👆

Mungu anawatimua afu anawaambia kama uongofu utakuja kwenu kutoka kwangu ufuateni wakati huo Adamu alishaomba msamaha palepale mbinguni akakubaliwa toba yake ila akatimuliwa kama kawaida.Je, huo ni msamaha kweli?Kwangu huu si msamaha .
Mambo muhimu zaidi kuyajua yanapaswa kuwa ni :-
Inawezekana kabisa mbinguni kwa Allah bado kuna makafiri wengi tu maana hakuna aya inayoonesha makafiri wa mwanzo kabla ya Ibilisi kuwa kafiri walikuwa wanaishi wapi ila kafiri mmojawapo ndiye huyo alikuja kumdanganya Adam na mkewe na hao watatu wakatupwa duniani kama adhabu that means walikuwa wanaishi mbinguni na ikiwa Ibilisi ndiye shetani basi itakuwa hivi
👇

1.Ibilisi aligoma kutii amri ya Allah , akawa kafiri ila bado akawa yupo mbinguni tu na akaamua kuwadanganya Adam na mkewe ndipo akatimuliwa kuja duniani
2.Ibilisi yeye ana jinsi mbili yaani Ke na Me maana majini mengine yanayonenwa katika Quran 72 yalitoka wapi wakati jini lilikuwa moja huko mbinguni na lilitimuliwa huku duniani lilipata vipi uzao?
3.Ibilisi aliye jini aliweza vipi kuishi na Malaika kama ni viumbe tofauti ?
4.Ikiwa shetani aliyemdanganya Adamu na mkewe si Ibilisi basi Ibilisi anaishi na Allah peponi huko sasa ipi ni kesho ya waislamu maana kwetu Ibilisi ni shetani mwenyewe
👇

9 Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye.
Ufunuo wa Yohana 12:9
TAFAKARI
 
quran haina msaada kwa maisha ya mwanadama,

soma biblia inakupa historia yote ya ulimwengu,qur waachie waganga wa kienyeji

Utabiri wa Biblia juu ya mambo ambayo yangetokea baadaye, unathibitisha uvuvio wa Biblia, mambo hayo yanapotokea.

Angalia mifano ifuatayo:​

A. Kuinuka na kuanguka kwa falme nne zilizotawala dunia:
Babeli, Umedi na Uajemi, Uyunani na Rumi. (Danieli 2,7,8.)
View attachment 2166431

B. Koreshi kuwa Mpiganaji ambaye angeiteka Babeli. “Haya ndiyo BWANA amwambiayo Koreshi, masihi (mtiwa mafuta) wake, ambaye nimemshika mkono wake wa kuume, ili kutiisha mataifa mbele yake, nami nitalegeza viuno vya wafalme; ili kufungua milango mbele yake, hata malango hayatafungwa. Nitakwenda mbele yako, na kupasawazisha mahali palipoparuza; nitavunja vipande vipande milango ya shaba, na kukata kata mapingo ya chuma; nami nitakupa hazina za gizani, na mali zilizofchwa za mahali pa siri, upate kujua ya kuwa mimi ni BWANA, nikuitaye kwa jina lako, naam, Mungu wa Israeli.” Isa. 45:1-3.

C. Baada ya kuangamizwa, Babeli isingekaliwa tena. “Na Babeli, huo utukufu wa falme, uzuri wa kiburi cha Wakaldayo, utakuwa kama Sodoma na Gomora hapo Mungu alipoiangamiza.” “Haya! juu ya mlima usio na miti inueni bendera, wapazieni sauti zenu, wapungieni mkono, kwamba waingie katika malango ya wakuu.” (Isa. 13:19,2). “Na Babeli utakuwa magofu, makao ya mbwa-mwitu, ajabu, na mazomeo, pasipo mtu wa kukaa huko.” Yer. 51:37.

D. Misri kutokuwa na amri tena kati ya Mataifa. “Nami nitawarejeza Wamisri walio katika hali ya kufungwa, nami nitawarudisha hata nchi ya Pathrosi, hata nchi ya kuzaliwa kwao; na huko watakuwa ufalme duni. Utakuwa duni kuliko falme zote, wala hautajifunua tena juu ya Mataifa; nami nitawapunguza, ili wasitawale tena juu ya Mataifa.” Eze. 29:14,15. “Nami nitaikausha mito, na kuiuza nchi, na kuitia katika mikono ya watu wabaya; nami nitaifanya nchi kuwa ukiwa, na watu wote walio ndani yake, kwa mkono wa wageni; mimi, BWANA, nimenena neno hili.” Eze. 30:12,13.

E. Majanga ya kushtua dunia na hofu kadiri tunavyoelekea siku za mwisho. “Tena, kutakuwa na ishara katika jua, na mwezi, na nyota; na katika nchi dhiki ya Mataifa wakishangaa kwa uvumi wa bahari na msukosuko wake; watu wakivunjika mioyo kwa hofu, na kwa kutazamia mambo yatakayoupata ulimwengu. Kwa kuwa nguvu za mbinguni zitatikisika.” Lk. 21:25,26.

F. Kuporomoka kwa maadili katika siku za mwisho. “Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako na nyakati za hatari. Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio saf, wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema, wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu; wenye mfano wa utauwa, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao.” 2 Tim. 3:1-5.

G. Unabii juu ya matukio katika maisha ya Yesu. “Akaanza kutoka Musa na manabii wote, akawaeleza katika Maandiko yote mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe.” Lk. 24:27. “Kwa maana aliwashinda Wayahudi kabisa kabisa mbele ya watu wote, akionyesha kwa maneno ya Maandiko ya kuwa Yesu ni Kristo.” Mdo. 18:28. Kwa kuwa wakati huo Agano Jipya lilikuwa halijaandikwa, ni wazi kuwa Maandiko yanayozungumziwa hapa ni Agano la Kale. Utabiri wa Agano la Kale juu ya Masihi ulikuwa dhahiri na ulitimizwa na Yesu wa Nazareti kiasi cha kumfanya Yesu mwenyewe na Apolo kuutumia kuwathibitishia Wayahudi kuwa Yesu alikuwa ndiye Masihi.

1642851703389.png


1642851745110.png



Moja kati ya uthibitisho mkuu kwamba Biblia si kitabu cha kawaida tu kilichoandikwa na watu wema, ni uwezo wake wa kubadili maisha ya watu. Inaweza kumbadilisha mtu mwovu kabisa na kumfanya kuwa Mkristo mwaminifu. Inaweza kumfanya mtu asiye mwaminifu, kutaka kurejesha alichochukua, au kusahihisha uongo aliosema. Ni uwezo gani wa ajabu ulio katika kitabu hiki unaobadilisha kiajabu matamanio na makusudi ya watu? Ni uwezo wa kufanya miujiza wa Roho wa Mungu anayefanya kazi kupitia kitabu hiki kutuonyesha Mwana–Kondoo wa Mungu aichukuaye dhambi ya ulimwengu.
Asante,
,,,,Asante sana Mkuu Jackwillpower.
Mimi nimekuelewa vema.
,,,,,,,,kwahiyo mtu anaweza KUOKOKA akiwa HAI?
 
Kuna mikoa mingi nimetembelea nje ya nyumba za ibada wamepanga makopo ya madawa ya kienyeji sijui kama hata wanaingia ndani kusali
 
Soma Qur'an, imekuja kwa ajili ya watu wote.
mwandishi wa quran hakuwa na ufahamu

why quran iwe kwa watu wote,ili hali ni kitabu kinachodanganya,

mna kazi mnaokiamini hiki kitabu

QURAN VS BIBLE

Hivi nani aliambiwa na waisraeli awatengenezee sanamu waliabudu kuwa ni mungu wao?
BIBLIA (HARUNI)
⬇

1 Hata watu walipoona ya kuwa Musa amekawia kushuka katika mlima, wakakusanyana wakamwendea Haruni, wakamwambia, Haya! Katufanyizie miungu itakayokwenda mbele yetu, kwa maana Musa huyo aliyetutoa katika nchi ya Misri hatujui yaliyompata.
Kutoka 32:1
2 Haruni akawaambia, Zivunjeni pete za dhahabu zilizo katika masikio ya wake zenu, na wana wenu, na binti zenu, mkaniletee.
Kutoka 32:2
3 Watu wote wakazivunja pete za dhahabu zilizo katika masikio yao, wakamletea Haruni.
Kutoka 32:3
QURAN (NABII MUSA)
⬇

Quran 7:138.
Na tukawavusha bahari Wana wa Israili, wakafika kwa watu wanao abudu masanamu yao. Wakasema: Ewe Musa! Hebu tufanyie na sisi miungu kama hawa walivyo kuwa na miungu. Musa akasema: Hakika nyinyi ni watu msio jua kitu.


Bado napitia Quran kujikumbusha vitu vingi ,waislamu kikubwa tusitupiane mawe tutupiane hoja tu.
 
TUNAPOICHUNGUZA QUR'AN

Mada yetu itatokana na aya Quran 2:34 ambayo kwa mtu makini sana anaweza kupata maswali mengi na mengine yakamtoa katika usingizi wa madanganyo naam , kumbuka Yesu anasema kupitia Mtume Yohana kuwa tunapaswa kuzichunguza roho (aina yoyote ya mafundisho ya kiroho kutoka chanzo chochote ) maana udanganyifu upo
👇

1 Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.
1 Yohana 4:1
Hebu tuisome aya kwa mtiririko mzuri na aya zinazofuatia ili tujifunze na waislamu nini nilikusudia katika swali langu la siku tatu zilizopita
👇

Quran 2:34.
Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri.
👆

Aya hii imeacha utata nao ni huu
⬇

i) Mungu aliwaamrisha Malaika wamsujudie Adamu wakati tunajua fika Mungu anataka kusujudiwa Yeye peke yake hapo kuna kitu cha kutazamwa sana
ii) Malaika wote wakamsudia isipokuwa Ibilisi , yeye alikataa na akajivuna na hivyo akawa katika makafiri (hii inamaanisha Ibilisi si kiumbe wa kwanza kuasi) katika imani ya waislamu maana neno makafiri maana yake ni hii
👉
"asiyefuata maelekezo ya Mungu au aliye kinyume na Mungu"
Katika aya ya Quran 18:50 imeandikwa baada ya Ibilisi kugoma kumsujudia Adamu akawa miongoni mwa makafiri maana yake ni kwamba tayari viumbe waliokuwa wakimpinga Mungu walikuwepo sasa jaribu kuwatafuta ni viumbe gani maana Adamu alikuwa hajaasi
⬇

Quran 18:50.
Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je! Mnamshika yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu mno badala hii kwa wenye kudhulumu.
Ukiisoma aya hiyo kwa umakini unagundua kumbe Ibilisi alikuwa ni jini ila amri ya kusujudu waliagizwa Malaika ila Ibilisi akatiwa hatiani kwa kugoma kwake.
Je, ni sahihi kumwadhibu mtu kwa kosa lisilo mhusu? Yaani waambiwe madaktari wote walete vyeti wewe ni mwalimu nae ubebe cheti na ukikataa kuleta utiwe hatiani
Adhabu hii haikuwa na logic na aya ya 18:50 inazaa utata zaidi kuwa:-
i) Ibilisi alikuwa jini aliyeishi na Malaika (kivipi mie na wewe hatuna majibu)
ii) Huko peponi kwa Mungu wa waislamu ndiko alikoumbiwa Ibilisi na Adamu huku makafiri wengine wakiwa hawatajwi ni akina nani na walikuwa wapi
Je,ni wanadamu au majini peke yake? Na kama ni majini majini yote yaliasi lini na ilikuwaje jini moja tu ndilo lionekane huko likiwa halijaasi mengine hayatajwi yalikuwa wapi wala kuasi kwao ni kupi!?
Usichoke twende kwenye point
Juzi niliuliza swali
👇

"BUSTANI YA EDENI ILIKUWA WAPI(ILIKUWA DUNIANI AU MBINGUNI?)
Mwislamu mmoja akajibu kuwa Bustani husika(ya Edeni) ilikuwa mbinguni nami nikakubali sawa ili tukutane kwenye mada hii vizuri ,hebu tujisomee aya zaidi kutoka Quran 2 hiyo hiyo zikielezea kilichoendelea
👇

Quraan 2:35
Na tulisema: Ewe Adam! Kaa wewe na mkeo katika Bustani, na kuleni humo maridhawa popote mpendapo, lakini msiukaribie mti huu tu; mkawa katika wale walio dhulumu.
Take a note: Baada ya Ibilisi kuwa kafiri na kuwa miongoni mwa makafiri ambao hawajulikani ni viumbe gani Mungu aliendelea na Mipango yake kwa Adam na mkewe ,akawapa bustani na akawaambia ikiwa wataukaribia mti (ambao hautajwi) watakuwa kati ya wale waliodhulumu maana yake ni kuwa waliodhulumu walikuwepo mbinguni nje ya Ibilisi kama tulivyoona hapo juu sasa kitu cha kufikirisha kwa kina kikawa ni hiki, naomba usome kwa umakini
👇

36.
Lakini Shet'ani aliwatelezesha hao wawili na akawatoa katika waliyo kuwamo, na tukasema: Shukeni, nanyi ni maadui nyinyi kwa nyinyi. Katika ardhi yatakuwa makaazi yenu na starehe kwa muda.
👆

Shetani (ambaye) hatajwi ni kiumbe gani aliwatelezesha (aliwafanya Adamu na mkewe wavunje amri ya Mungu ) akawa amefanikiwa kuwatoa humo bustanini kisha mungu wa waislamu akawaambia washuke (watoke mbinguni huko ) na watambue wazi watabaki kuwa maadui yaani Shetani na Adamu na mkewe watakuwa maadui ,
Nilipouliza swali nilitaka tu nijue somo hili kama waislamu washalifikiria vizuri na majibu yao yalikuwa ndiyo yanazalisha utata zaidi maana kama Bustani ya Edeni ilikuwa mbinguni , shetani akawadanganya akina Adam na mkewe hukohuko means kumbe Shetani alikuwa akiishi mbinguni kwa muda mrefu tena huku akiwa kafiri (yaani Mungu alikuwa anaishi na kafiri Ibilisi hukohuko mbinguni)
FIKIRI KWA KINA SASA
➡
Shetani alikuwa anaishi mbinguni yeye na Malaika na Mungu hadi akaenda kuwadanganya watu humohumo mbinguni na baada ya hapo ndipo Mungu akawatimua huko mbinguni Shetani na Allah wana ushirika? Maana muasi alikaa na Mungu mbinguni hadi akaleta mambo ya ajabu zaidi na Mungu yupo anamtazama.
➡
Upi ulikuwa ni mpango wa Mungu juu ya kuiumba dunia maana baada tu ya kuasi kwa Adamu na mkewe ndipo wakaletwa duniani kama adhabu.Yaani kwa kifupi kama Adamu asingeasi basi Shetani, Mungu na Wanadamu wote wangekuwa wanaishi pamoja mbinguni.Umeelewa utata huo?
➡
Aliyewadanganya Adamu na na mkewe ni Shetani, hatuambiwi Ibilisi ambaye nae aliwekwa miongoni mwa makafiri alipotelea wapi maana walifukuzwa watu watatu tu Shetani (kafiri mmojawapo) kati ya makafiri wengi waliokuwa mahali pasipotajwa ,Adam na mkewe.
ADAM AKAFUNDISHWA KUOMBA MSAMAHA NA AKAKUBALIWA TOBA
👇

37.
Kisha Adam akapokea maneno kwa Mola wake Mlezi, na Mola wake Mlezi alimkubalia toba yake; hakika Yeye ndiye Mwingi wa kukubali toba na Mwenye kurehemu.
👆

Yaani Mungu aliyekosewa akamfundisha Adamu namna ya kuomba msamaha Adamu akaomba msamaha akakubaliwa ila bado akatimuliwa mbinguni.Ipi ilikuwa sababu ya Adamu kuendelea kupewa adhabu sawa na Shetani wakati ameshaomba msamaha? (Fikiria mwenyewe) kuna uhakika upi kuwa hata wewe mwislamu utasameheka mbele za Allah kama tu Adam aliyefundishwa hata namna ya kuomba na akafanya hivyo aliishia kutupwa duniani ?
Kumbe duniani tuko katika adhabu wapendwa kwa mujibu wa Allah kumbe sisi ni waasi A-Z nje ya hapo tungekuwa tupo mbinguni sasa na ninaposema uhakika wa uzima haupo upande wa waislamu warejee tu kesi ya Adamu na Shetani kwa urahisi
Aya hii haikupi uhakika wa maneno ya Allah
⬇

38.
Tukasema: Shukeni nyote; na kama ukikufikieni uwongofu utokao kwangu, basi watakao fuata uwongofu wangu huo haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika.
👆

Mungu anawatimua afu anawaambia kama uongofu utakuja kwenu kutoka kwangu ufuateni wakati huo Adamu alishaomba msamaha palepale mbinguni akakubaliwa toba yake ila akatimuliwa kama kawaida.Je, huo ni msamaha kweli?Kwangu huu si msamaha .
Mambo muhimu zaidi kuyajua yanapaswa kuwa ni :-
Inawezekana kabisa mbinguni kwa Allah bado kuna makafiri wengi tu maana hakuna aya inayoonesha makafiri wa mwanzo kabla ya Ibilisi kuwa kafiri walikuwa wanaishi wapi ila kafiri mmojawapo ndiye huyo alikuja kumdanganya Adam na mkewe na hao watatu wakatupwa duniani kama adhabu that means walikuwa wanaishi mbinguni na ikiwa Ibilisi ndiye shetani basi itakuwa hivi
👇

1.Ibilisi aligoma kutii amri ya Allah , akawa kafiri ila bado akawa yupo mbinguni tu na akaamua kuwadanganya Adam na mkewe ndipo akatimuliwa kuja duniani
2.Ibilisi yeye ana jinsi mbili yaani Ke na Me maana majini mengine yanayonenwa katika Quran 72 yalitoka wapi wakati jini lilikuwa moja huko mbinguni na lilitimuliwa huku duniani lilipata vipi uzao?
3.Ibilisi aliye jini aliweza vipi kuishi na Malaika kama ni viumbe tofauti ?
4.Ikiwa shetani aliyemdanganya Adamu na mkewe si Ibilisi basi Ibilisi anaishi na Allah peponi huko sasa ipi ni kesho ya waislamu maana kwetu Ibilisi ni shetani mwenyewe
👇

9 Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye.
Ufunuo wa Yohana 12:9
TAFAKARI

Thank you sana.
 
Back
Top Bottom