Je, Kuna watu wasio na Imani na Rais? Mbona nguvu kubwa inatumika kuwaaminisha Watu mazuri yake? Wanaomsifu wana Iman naye?

Je, Kuna watu wasio na Imani na Rais? Mbona nguvu kubwa inatumika kuwaaminisha Watu mazuri yake? Wanaomsifu wana Iman naye?

Fuatilia siasa za nchi mbalimbali Duniani, RAIS wa nchi anapokuwa katika miaka ya uongozi ambayo siyo ya uchaguzi uwezi kusikia kusifu na kumwabudu Kama ilivyo Tanzania

Hali inayoendelea nchini Kwetu inafanya baadhi ya Watu kuhoji labda wanaosema Wana imani na RAIS hawana Imani naye Bali wanachowaza kutumpaka mafuta Ili wateuliwe Tena na Tena. Wengi wa wanaokesha wakiimba Wana imani na Mhe. RAIS ni wale Watu ambao siyo wabunifu, siyo wachapa kazi, siyo viongozi wenye ueledi wala uwezo wakutenda Bali ni wale Watu wa bla bla.

Kitendo Cha Watu wasioweza kufikiri kukesha kusifu kunamfanya RAIS aonekane kama labda ameanza kampeni nje ya muda au Bado anao wapinzani wengi ambao hata kama watadhibitiwa ndani ya chama chake Bado Wana nguvu kubwa ya kumwkwamisha wakiowemo waombaji Hawa.

Kama Mhe. RAIS anataka kugombea 2025 ni lazima kuanzia Sasa aweke mbele Watu waliopo serious, apange safu ya Watu serious, afanye tathimini ya Hawa wanaomsifu je lengo lao ni madaraka au ni kweli wanazungumza kutoka moyoni, ajiuize mtangulizi wake si alisifiwa? Je Leo waliomsifu wapo naye kiroho?

Kiongozi Makini Kwa Karne ya dot com na utandawazi lazima awekeze Kufanya kazi na Watu productive katika Kila sekta kujiimarisha kupitia huduma Kwa Umma. Watu wanaipiga makofi Bungeni kuanzia hotuba inaanza Hadi inaisha si Watu wakuwaaminj Kwa sababu hata huko majimboni bila dola hakuna ushindi kwao. Mhe. RAIS change strategy,biashara ya kusifiwa imepitwa na wakati, piga marudfuku
Nyuma ya hayo unayo yaona kuna mashaka makubwa na hofu juu ja kifo cha jpm ..walio furahia kifo hicho wana hofu kubwa ya maisha yao kutokana na hicho kifo hiyo ndiyo sababu ....majuzi mzee wa ccm kule zanzibar katekwa na kuumizwa vibaya na watu wanao mchukia jpm kwa sababu kataja jina la magufuli kwa kulisifia ...niliwahi kuwaambia wapinzani wa tz kuwa wasifikili kuwa jpm kufa kwake kutafungua mlango wa demokrasia !!bila ya kujua kifo cha jpm kina mkono wa mtu au la hawa kunielewa lakini baada ya kuonja joto ya jiwe sasa wameona isiwe tabu wamekubali kulamba asali tu...hakina mbowe na kujiunga kwenye vita ya kupigana na MAREHEMU ,,VITA AMBAYO TEAM SA100 AMBAYO NI KIKUNDI KIOVU CHA MSOGA NA WAARABU MAFISADI KINA PENDA HIYO VITA wao kwao kipaumbele chao cha kwanza 1 na cha 2 na cha 3 ni vita dhidi ya MAREHEMU.
Kwa samia vita vya kiuchumi na vita vya ufisadi siyo kipaumbele chake hata kidogo ...na hii ndiyo sababu watz wenye akili tuna muona NI MPUMBAVU KAMILI
 
Vipi nguvu kubwa ya kumponda kila asubuhi, mchana, alasiri, jioni, usiku, usiku wa manane na alfajiri unaizungumziaje mdau?!!!!
Anapondwa kwa kukosa akili ya kiuongozi hata mtoto mwenye miaka 8 anaweza kutumia akili kubwa kuliko huyo ajuza zuzu na mpumbavuu namba moja tz
 
Kama wewe ungemsaidia nini jpm?Mbona nawe ni walewale!Mlisifia JKNHP,SGR na madaraja kama Tanzanite,Busisi/Kigongo;Vipi hadi sasa matokeo?
Nchi hii inahitaji Katiba Mpya ya Wananchi na siyo sifa za chama wala za Mwenyekiti.Mifumo yetu inaruhusu upuuzi wowote kufanyika ndani ya ofisi za umma na isiwe issue kwa wahusika.
Tunahitaji Katiba Mpya.
Kwani katiba mpya ni roboti kwamba itajiendesha tu.? Kwamba watawala wakikata kukunja kushoto yenyewe itawafosi wakunje kushoto kama wanavyotakiwa? Ni lipi jrma lililopo kwenye katiba hii ya sasa ulilolisimamia hata kwa kuitisha maandamano au press conference?

Unadhani hata ukiwekewa yale unayoyataka wewe kwenye katiba mpya, bilakutumia nguvu mbadala yatasimamiwa.? Kwa afrika hii yenye watu wenye njaa ni ngumu kudhania katiba mpya ndio itakupa suluhisho. Wako wapi kina Mbowe.?
 
Sintochoka kurejea maandiko matakatifu Mwanzo 2:18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.[/B]

Kwa maana hiyo msaidizi anabaki kuwa msaidizi tu kwa mawazo na matendo. Kamwe hawezi kuwa na maamuzi yake na kama anayo ni ya ushauri siyo ya kutekelezwa.

Hivyo basi, Rais aliyeko madarakani sifa anazopewa zinamlemaza kwa kuwa ameumbwa kuwa msaidizi na si kiongozi

Hizi sifa za kijinga ziliasisiwa na kushika kasi kipindi cha Magufuli. Hawa wanaosifia sasa, bado wako kwenye hangover ya utawala ule wa Magufuli.
 
Naunga mkono hoja, zisisifiwe hotuba, ahadi na maneno bali sifa ziende kwa vitendo vinavyofanyika, na matokeo chanya, yaani don't praise the promises, praise the results.
p
Du wewe mayala nani kakuazima akili siku ya leo ?[emoji849][emoji849][emoji849]mimi siungi mkono utapeli ila leo nadiliki kusema huyo aliye kuazima hizo akili usimrudishie akikataa kukuuzia bora umtapeli tu ..ili ubakinazo ..kwamara ya kwanza nimeona akili kwenye bichwa lako maana bichwa lako lilikuwa kama dustbin [emoji1005] la makaratasi yenye maneno mengi ila ni uchafu tu
 
Wewe bure kabisa kichwani Chawa mkubwa kabisa nawewe unatafuta kuchaguliwa
Umesoma alicho sema ukamwelewa maana ulicho andika kinapingana na ulicho mshutumu Pascal Mayalla njoo huone watu wako walio kuwa wanakuunga mkono wakati ulipokuwa hauna ubongo ...sasa hapo ndiyo uamini kuwa ulikuwa hauna ubongo tofauti na leo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Fuatilia siasa za nchi mbalimbali Duniani, RAIS wa nchi anapokuwa katika miaka ya uongozi ambayo siyo ya uchaguzi uwezi kusikia kusifu na kumwabudu Kama ilivyo Tanzania

Hali inayoendelea nchini Kwetu inafanya baadhi ya Watu kuhoji labda wanaosema Wana imani na RAIS hawana Imani naye Bali wanachowaza kutumpaka mafuta Ili wateuliwe Tena na Tena. Wengi wa wanaokesha wakiimba Wana imani na Mhe. RAIS ni wale Watu ambao siyo wabunifu, siyo wachapa kazi, siyo viongozi wenye ueledi wala uwezo wakutenda Bali ni wale Watu wa bla bla.

Kitendo Cha Watu wasioweza kufikiri kukesha kusifu kunamfanya RAIS aonekane kama labda ameanza kampeni nje ya muda au Bado anao wapinzani wengi ambao hata kama watadhibitiwa ndani ya chama chake Bado Wana nguvu kubwa ya kumwkwamisha wakiowemo waombaji Hawa.

Kama Mhe. RAIS anataka kugombea 2025 ni lazima kuanzia Sasa aweke mbele Watu waliopo serious, apange safu ya Watu serious, afanye tathimini ya Hawa wanaomsifu je lengo lao ni madaraka au ni kweli wanazungumza kutoka moyoni, ajiuize mtangulizi wake si alisifiwa? Je Leo waliomsifu wapo naye kiroho?

Kiongozi Makini Kwa Karne ya dot com na utandawazi lazima awekeze Kufanya kazi na Watu productive katika Kila sekta kujiimarisha kupitia huduma Kwa Umma. Watu wanaipiga makofi Bungeni kuanzia hotuba inaanza Hadi inaisha si Watu wakuwaaminj Kwa sababu hata huko majimboni bila dola hakuna ushindi kwao. Mhe. RAIS change strategy,biashara ya kusifiwa imepitwa na wakati, piga marudfuku
Mbona jpm ndo alikuwa anapenda kuabudiwa na kusifiwa mpaka akaanzisha kipindi Cha kishindo Cha jpm kupia tbc. Gazet au chombo Cha habari kisichomsifu tu kinafinguwa mfano Tanzania daima, mwanahalisi nk
 
Hizi sifa za kijinga ziliasisiwa na kushika kasi kipindi cha Magufuli. Hawa wanaosifia sasa, bado wako kwenye hangover ya utawala ule wa Magufuli.
Jpm alisifiwa hadi nje ya nchi usitake kutudanganya ina maana ccm ya jpm ilikuwa hadi huko nje ..kumbuka jpm alipo wasili uwanjani south afrika alivyo shangiliwa hadi vyombo vya habari vya huko vikashangaa
 
Unaweza kukuta tatizo namba moja ni huyo rais ndio maana anapenda kusifiwa.

Kama rais ana uwezo mdogo, ni lazima apende kusifiwa ili afiche udhaifu wake.

Matokeo yake unakuta chain ya wenye uwezo mdogo wanatake advantage ya kuficha uwezo wao mdogo.
Uzi huu ufungwe kwani comment hii imejibu na mpaka maswali ya nyongeza.
 
Fuatilia siasa za nchi mbalimbali Duniani, RAIS wa nchi anapokuwa katika miaka ya uongozi ambayo siyo ya uchaguzi uwezi kusikia kusifu na kumwabudu Kama ilivyo Tanzania

Hali inayoendelea nchini Kwetu inafanya baadhi ya Watu kuhoji labda wanaosema Wana imani na RAIS hawana Imani naye Bali wanachowaza kutumpaka mafuta Ili wateuliwe Tena na Tena. Wengi wa wanaokesha wakiimba Wana imani na Mhe. RAIS ni wale Watu ambao siyo wabunifu, siyo wachapa kazi, siyo viongozi wenye ueledi wala uwezo wakutenda Bali ni wale Watu wa bla bla.

Kitendo Cha Watu wasioweza kufikiri kukesha kusifu kunamfanya RAIS aonekane kama labda ameanza kampeni nje ya muda au Bado anao wapinzani wengi ambao hata kama watadhibitiwa ndani ya chama chake Bado Wana nguvu kubwa ya kumwkwamisha wakiowemo waombaji Hawa.

Kama Mhe. RAIS anataka kugombea 2025 ni lazima kuanzia Sasa aweke mbele Watu waliopo serious, apange safu ya Watu serious, afanye tathimini ya Hawa wanaomsifu je lengo lao ni madaraka au ni kweli wanazungumza kutoka moyoni, ajiuize mtangulizi wake si alisifiwa? Je Leo waliomsifu wapo naye kiroho?

Kiongozi Makini Kwa Karne ya dot com na utandawazi lazima awekeze Kufanya kazi na Watu productive katika Kila sekta kujiimarisha kupitia huduma Kwa Umma. Watu wanaipiga makofi Bungeni kuanzia hotuba inaanza Hadi inaisha si Watu wakuwaaminj Kwa sababu hata huko majimboni bila dola hakuna ushindi kwao. Mhe. RAIS change strategy,biashara ya kusifiwa imepitwa na wakati, piga marudfuku
Mkuu wengi tutakuelewa haijalishi negatively au positively, Ninachokiona uzi wako umebeba ujumbe mzito sana.
 
Jpm alisifiwa hadi nje ya nchi usitake kutudanganya ina maana ccm ya jpm ilikuwa hadi huko nje ..kumbuka jpm alipo wasili uwangani south afrika alivyo shangiliwa hadi vyombo vya habari vya huko vikashangaa
Mkuu mambo kama hayo yanafichwa kwa masirahi binafsi ya wengine lakini ukweli ni kwamba Jpm kila alipowasili somewhere hata kama watu wasingeshangilia mawe yangeshangilia.
 
Jpm alisifiwa hadi nje ya nchi usitake kutudanganya ina maana ccm ya jpm ilikuwa hadi huko nje ..kumbuka jpm alipo wasili uwangani south afrika alivyo shangiliwa hadi vyombo vya habari vya huko vikashangaa

Nimecheka kwa nguvu, kweli nimeamini nyie wajinga itachukua muda kumalizika.
 
Haya ni matokeo ya kuchagua na kuteua viongozi bila utaratibu na sifa zinazoeleweka zaidi ya wale wanaosifu na kuabudu.
Ni uthibitisho wa uwepo wa ujinga na uzuzu kwa kiwango kikubwa.
Watu wenye akili wanajua kuwa Rais yupo, anachapa kazi, serikali ipo na wao wanaendelea na shughuli zao kama biashara, kilimo na njia nyingine za uzalishaji.
Wale chawa (kama wanavyofahamika siku hizi), ambao kiukweli hawafai kuchaguliwa au kuteuliwa ndiyo hao wanaosifu na kuabudu.
Hata hivyo, kwa bahati mbaya sana, mfumo wa kupata viongozi unatumia zaidi uchawa na matokeo yake ndiyo haya.
Kwa mfano tu, wakuu wa wilaya na wakurugenzi wanatakiwa wawe watumishi wazoefu, wanaoijua jamii vilivyo lakini wanateuliwa hata malimbukeni kutoka kwenye kundi la chawa.
 
Sifa zinawaharibu sn
Ila na wao wawe wakali Sasa kukataa hizo sifa badala yake wasifuji waambiwe watoe matokeo ya nini kimefanyika na kinaonekana siyo uongouongo na nini kikifanyika sehemu husika kitatatua changamoto za eneo, ila Sasa mtu anasifu weweee kama vile malaika anamsifu Mungu na kumbe kutoka moyoni anazomea Ili unayesifiwa upite sehemu husika na matokeo ya kweli hayapo kinachobaki unaonekana tapeli na unashirikiana na msifiaji kutapeli watu.
 
Hizi sifa za kijinga ziliasisiwa na kushika kasi kipindi cha Magufuli. Hawa wanaosifia sasa, bado wako kwenye hangover ya utawala ule wa Magufuli.
Ila JPM alikuwa mjanja bwana Kuna watu walimsifu na aliwaweka pembeni na kingine alitoka mwenyewe kufungua miradi kuhakikisha kama kweli imefanyika na ubora wake japo wasifiaji walikuwa wanampamba vitu vipo ila hakukubali kubeba sifa bila kuhakikisha kama kweli kitu kimefanyika.
 
Nimecheka kwa nguvu, kweli nimeamini nyie wajinga itachukua muda kumalizika.
Mhukumu mtu kwa mabaya yake Ila na mazuri yake yakubali pia, huo ndo usitaraabu wa mtu mwenye hekima, mabaya yatakuwa fundisho kwamba hayafai kuwepo na mazuri yatakuwa fundisho kwamba yanafaa kuwepo.
 
Kitendo Cha Watu wasioweza kufikiri kukesha kusifu kunamfanya RAIS aonekane kama labda ameanza kampeni nje ya muda au Bado anao wapinzani wengi ambao hata kama watadhibitiwa ndani ya chama chake Bado Wana nguvu kubwa ya kumwkwamisha wakiowemo waombaji Hawa.
Wewe mwenyewe ndiye mwenye matatizo kwa kushindwa kwako kuona kuwa hao watu wanafanya kazi waliyotumwa waifanye.

Huyo unayemtoa kwenye mpango huo ndiye mwenye kazi yake.
Sasa ninakuliza, kwa nini uzunguke kote huko, ukijua mwenye kazi ni nani?

Inaonekana nawe unajivisha uchawa kivyako tu!
 
Back
Top Bottom