Je, kutoweka na kutoonekana kwa Paul Makonda si Uthibitisho kuwa TISS kuna Mapungufu makubwa na DG Msuya afutwe Kazi upesi sana?

Mad na Nut kama Wewe haunisumbui!!!
 
Hii kauli si njema sana hasa kwa mkuu wa nchi...."Rais Samia ulishashauriwa mno Kumuondoa huyu DG Msuya kama DG hapo TISS ila huelewi"
 
Unamchagua Polisi kuwa DG wa TISS what a joke
Ni kweli Ndugu na hapa hata kama hayuko nasi duniani ila Hayati Rais Dkt. Magufuli nae alikosea sana ila tumeshamsamehe tuliokuwa tukimpenda na Kumuelewa pia.
 
PCM ni mtumishi, ingawa aliyempa ajira alishakufa kitambo, sio huyu wa mwaka jana..
 



TISS wanahusika vipi na kupotea kwake? Naona ni mapema sana kuanza kuwalaumu kwa swala hilo.
 
Huyu Mkuu anaongoza kwa kula umeme hapa JF
Sikumbuki ni lini Mightier Mimi nimepata BAN hapa JamiiForums kwani najua vyema Mipaka na Maadili ya Jukwaa hili.

Endeleeni tu kudhani na kuota kuwa Mimi ndiyo huyo ( yule ) Basha wenu ambaye Kutwa hamchoki tu Kumtaja na Kumuwazia hapa JamiiForums.
 
kama atakuwa amekimbilia ulaya ni rahisi mtu, wanaweza kumuextradite haraka, au hao hata wakijua tu kuwa yupo huko wanaweza kumfurusha akarudi hapa chap. cha muhimu tuangalie mahakama inasemaje tu basi.
 
Mleta uzi naona umewaletea mada pendwa humu jf,ulipo wa taja tu T ona wachangiaji😂
Watu wengi humu hii ajira wanaipenda

Ova
 
Acha kumsagia kunguni Mtanzania mwenzako.....kama hiyo nafasi haiwezi wewe unaiweza?
Nikiwa DG wa TISS nitahakikisha zile TISS imara za Nyerere na Mkapa hasa Kiutendaji na Kiumakini zinarejea huku nikiongezea na Utaalam wa sasa wa Israel, Rwanda na China.
 
TISS wanahusika vipi na kupotea kwake? Naona ni mapema sana kuanza kuwalaumu kwa swala hilo.
Ukiwa na Akili zinazofanya kabisa Kazi utanielewa ni kwanini nawahusisha na nawalaumu sana TISS juu ya Kutoonekana au Kupotea Kwake Paul Christian Makonda, ila ukiwa na Ubongo wenye Usaha, Utomvu na Uliosindikwa kamwe hutonielewa na utaona au utahisi nimekurupuka tu hapa.
 

Kweli ujinga ni mzigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…