Je, kuwa na gari ni kivutio kwa wadada katika mahusiano?

Sawa tumeshajua km una gari
 
Wanazungumzia wale wa starehe tu si wajua wengi hawana ndoa na hawependi mapenzi ya kudum
 
Ni kweli screpa.Tuna safari ndefu sana.GARI ni LIABILITY(kama deni vile).Nyumba ni bonge la asset(Kitega uchumi?).Lakini wadau wanasema nyumba huwezi kwenda nayo bar,nyumba haipigi honi nk Wanataka kitu ambacho watakuona nacho mtaani.Kwa vijana mnaochipukia milikini nyumba kwanza badala ya magari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…