Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Sasa haunaje chura? Unajua sikuelewi kabisa fanya namna umtafute chura popote utakapompata iwe kihansi au nyumba ya mungu.mm sina chura mjue nani kawadanganya hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa haunaje chura? Unajua sikuelewi kabisa fanya namna umtafute chura popote utakapompata iwe kihansi au nyumba ya mungu.mm sina chura mjue nani kawadanganya hivyo
sitaki chura wa nn mmSasa haunaje chura? Unajua sikuelewi kabisa fanya namna umtafute chura popote utakapompata iwe kihansi au nyumba ya mungu.
Wa kuneseshaneseshasitaki chura wa nn mm
Kamejifanya hakanielewi etiAsipokuelewa hapa nampa wine leo hii
Wewe umeshindwa kumuelewa amejieleza vizuri tusbbu kila mtu anavutia upande wake si ubishi tena huo
mshindweeee kwa jina la YesuAsipokuelewa hapa nampa wine leo hii
Kamejifanya hakanielewi eti
Kwahiyo Daby unapenda sana mwanamke mwenye churaKamejifanya hakanielewi eti
Sawa tumeshajua km una gariSijui kwa wengine hili limekaaje ila binafsi naona gari nalo ni kivutio kwa hawa dada zetu, Kuna binti hapa mtaani enzi hizo sina gari aliniwekea ngumu ila mwaka jana nilivyomiliki gari yani alilegeza hata sikuamini,
I mean kuna siku kuna bidada anajiheshimu sana tu nlimpa lifti tukabadilishana contacts kesho yake kiutani nikamwambia tumeet akakubali fasta yani nikawa nacheka tu maana ilikuwa natania,
Kuna matukio mengi sana ambayo yalinithibitishia kuwa hawa dada zetu wana kaugonjwa kwa wanaume wenye magari, Japo haya matukio huwa yananitokea mimi najiheshimu na nampenda sana mpenzi wangu sipo tayari kutake advantage kwa hawa mabinti wa lifti,
So mimi ninachokiona kuna uwezekano mkubwa kwamba ukiwa na Gari wanawake utakuwa kivutio kwao....Ni fikra tu
ukumbuke huu uzi wa watu kuna ban ukumbukeWewe umeshindwa kumuelewa amejieleza vizuri tu
Katika max za kupendwa gari inaziongeza
Labda kwake vits ni pikipikau bajajKwanini umesema hivi mkuu?
Unamaana gani kwa vits ina nn?
Au inatairi na tatu?
Wanazungumzia wale wa starehe tu si wajua wengi hawana ndoa na hawependi mapenzi ya kudumRubbish. Gari ndo inaendesha ndoa ? Labda uniambie gari kwa ajil ya kufanyia biashara kama teksi, kubebea mizigo na business za aina hio
Lakin gar ya starehe ama ya kutembelea?
Kama mtu amekupenda kwa ajil una gari huyo hakupendi ni ujinga ...ujinga kabisa...
Fake love ...kama mdada unataka gari nunua ya kwako jivutie wewe mwenyewe na hilo gari likuoe kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] gari ni gari tuMaskini! Ukute gari lenyewe vits. Hongera sana.
Tupia kapicha ka hiyo ndinga nimewaza tu kwa sautiHahahaha nakuunga mkono asee...najionaga nikivaa kipensi nyumban au mtaani tu nakuaga wa ajabu mwenyew najiona ila nkiwa kwenye ndinga naona nnavyokonda nyoyo za hawa wenzetu.
Hivi kwanini unapenda kuniuliza maswali ya kimitego mitego wewe lakini...!Kwahiyo Daby unapenda sana mwanamke mwenye chura
Umeona ee....?!malkia kama unampenda mtu gari ni nn kwan, vitu vingine ulimbukeni tu.
Bora umekuja ujionee ya baby wakoUmeona ee....?!
Ni kweli screpa.Tuna safari ndefu sana.GARI ni LIABILITY(kama deni vile).Nyumba ni bonge la asset(Kitega uchumi?).Lakini wadau wanasema nyumba huwezi kwenda nayo bar,nyumba haipigi honi nk Wanataka kitu ambacho watakuona nacho mtaani.Kwa vijana mnaochipukia milikini nyumba kwanza badala ya magariMkuu ushamba wa gari bongo bado sana kuisha, ushamba wa tv ndio umefanikiwa kuisha, ukiwa na gari hata la mkopo unaonekana una hela kuliko mtu mwenye hela halafu hana gari. Ukiwa na hela halafu unasugua bomba kwenye daladala unaonekana ndo 'walewale'. Kama unahela nunua gari uheshimiwe
me nimeuliza lkn unapenda chura yupi aliyejazia sana au wale wa size ya katiHivi kwanini unapenda kuniuliza maswali ya kimitego mitego wewe lakini...!