Je, kuwa na gari ni kivutio kwa wadada katika mahusiano?

mkuu hawatakuelewa ujue
 
Tena mm ananiganda mke wa mtu utadhani mm wake MJINGA kweli HUYU dada
 
Wadada wa mjini wengi wanapenda mtelemko tu na hawako real full drama....gari ni kitu cha kawaida mnoo



sema wanawake generally,,,kuna mmama mtu mzima alinipa penzi hivihivi kisa tuu gari,,nilifaidi sana ,,saiv kahama basi namisss mambo yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…