shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,799
- 4,312
Ukiwa na gari hata kama sura yako n kama harmorapa utaonekana handsome kama idriss sultan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahhahahh cc sakayo ukuje dada jamaan mangaNdomana ukanambia nibadili basi sawa ila gali unafika unapotaka bila usumbufu pia
Njoo nikutembeze na mkokoteni wangu ni kuchanganye na ndizi.naomba uniweke ata kwenye buti [emoji23]
hahhaah sitakiNjoo nikutembeze na mkokoteni wangu ni kuchanganye na ndizi.
Penda magari wewe.
Hapa umeongea sana mdada nitawapuuza sana aisee hawa wapenda magali hafu sio yaoRegardless,ila wapo wanao jitambua hao wengine 19 hawakupendi wewe wanapenda gari sasa wana umuhimu kwani
inapendwa gari sio wewe mwenye gari..
Mwambie likiwa lako ukipanda hata kama una njaa ya siku 3 hukondiMmmmh... hakuna asiyependa vizur.
Gari ni usafiri
Gari ni hadhi
Gari ni heshima
Gari ni utajiri
Gari ni utanashati
Sio lazima gari liwe niliyosema.
Wewe upendiacha waendelee kuliwa sbbu ya gari
Mwambie likiwa lako ukipanda hata kama una njaa ya siku 3 hukondi
hahhaah sitaki
sipendi ndioWewe upendi
Mfyuuu naona mada imekuibua toka mafichoniMwambie likiwa lako ukipanda hata kama una njaa ya siku 3 hukondi
Mimi nimeelewa hapo dawa yao nini sasa hawa wanaopenda magalisawa lkn haihusiani na kumpenda mtu sbbu ana gari utakua umenielewa
dawa yao ww endelea kuwala tu si wanashoboka na gari lakoMimi nimeelewa hapo dawa yao nini sasa hawa wanaopenda magali
Wanakuja shtuka umri ushaenda....afu wangejua hamna kitu wanaume wanapenda kama kuchase wadada...yani we mkatae na gari yake uone [emoji23][emoji23]atakuhunt mpaakaaa
Manga huyo kajaDaby nn lakiniiii
hahahhahah namuonaManga huyo kaja
Uchochezi huu [emoji1]Nasikia hawaangalii aina ya gari
Acha tu akina DAB hawa wanachukua tu bmw za watu. Na hata hvy nikisikia tu fununu kuwa Dab anamtaka najiondoa mapema maana huchelewi jina kulikuta kwenye list ya madawahahahah jitahidi ununue wakina Daby wasije wakamchukua na magari yao