Je, kwa hii kauli ya Papa, ameruhusu au amekataza ushoga??

Bora hata upapa apewe Trump tu, Haiwezekani Papa awe na akili za "kipapa" elewa neno kipapa.
 
Hawa wangekatwa vichwa kwa kuhama kutoka utu kwenda ushoga.
Shaga siyo binadamu kama wengine, kwani wewe unajiona sawa na shoga?
Mungu mwenyewe kashindwa kuwakata vichwa. Sisi tuwakate ili iweje? Itatusaidia nini tukiwakata
 
Najua. Nashangaa aliyesema tuwakate vichwa mashoga wakati sio kazi yetu
Kukata vichwa mashoga ni kazi ya binadamu Siyo ya Mungu.
Hata vibaka wanahukumiwa na binadamu siyo Mungu.
Kwahiyo nasisitiza tuwakate vichwa mashoga! Wewe unajihusisha na ushoga kwani?
 
Kukata vichwa mashoga ni kazi ya binadamu Siyo ya Mungu.
Hata vibaka wanahukumiwa na binadamu siyo Mungu.
Kwahiyo nasisitiza tuwakate vichwa mashoga! Wewe unajihusisha na ushoga kwani?
Umeshawakata wangapi hadi sasa hivi? Au mkwara tu kama kawa keyboard warrior
 
Umeshawakata wangapi hadi sasa hivi? Au mkwara tu kama kama keyboard warrior
Hata mm nashangaa. Mashoga wamejazana tele hapa Tz lakini yy hajathubu au ameshindwa kumkata kichwa walau hata mmoja ili iwe ni kwa mfano.
Nakubaliana na wewe kwamba ni mkwara tuu huo - hana lolote.
 
Kwahiy

o sina Roho Mtakatifu?

Mimi wasabato hpan......

Khery TAG Ila sio sabato
Kuna suala la kujiuliza ikiwa utapenda kujifunza kwa kina.Hivi wapi kwenye biblia MUNGU ameagiza watu wake wawe TAG!Ukikosa basi ujue wote ndo wale wale kasoro rangi tu
 
Mwacheni shetani afanye kazi kupitia mnyama 666

Mnyama 666 ni Papa na kanisa lake sidhani kama Kuna mgalatia halijui hili Hadi leo

Na Kwa bahati mbaya Roman Catholic ndio baba na ndio mama wa madhehebu yote kama yupo anaebisha weka historia hapa

Anglican church ilitokea wapi
Rutherlan church ilitokea wapi
Sababu church ilitokea wapi
Walokole church ilitokea wapi
 
Mshana Jr
 
.
Kuna mambo mengi huyafahamu kuhusu ukatoliki.
.
Hivi kweli unadhani taasisi imara kama ya upapa inaweza kutoa tamko kizembe bila kuwa imejadiliwa na kupitishwa na wenye mamlaka za juu?
 
.
Hakuna namna ya kuwasaidia zaidi ya wao wenyewe kuamua kwa dhati ya mioyo yao kumrudia Mungu kwa kumaanisha. Kiufupi inabidi waokoke na waombewe ili hizo roho chafu zinazowatesa ziwatoke, nje ya hapo ni blaa blaa tu.
.
Wangapi wanaelimishwa madhara ya kitu fulani na wanaendelea kufanya?? Kuna nguvu inawafanya wasiweze kuacha mkuu.
 
.
Kuna mambo mengi huyafahamu kuhusu ukatoliki.
.
Hivi kweli unadhani taasisi imara kama ya upapa inaweza kutoa tamko kizembe bila kuwa imejadiliwa na kupitishwa na wenye mamlaka za juu?

Papa amejaza watu anaowataka ili wabadili mafundisho ya kanisa.
Toka lini Mungu aliruhusu ushoga? Watu ni watu tu. Mkusanyiko wa watu wenye agenda moja unazaa nini?
Kwanini anazima watu wasiokubaliana na maamuzi anayoyafanya?
Shetani ameingia ndani ya kanisa na kibaya ana walinzi wake wanaotaka kutuaminisha wanaweza kubadili mafundisho ya Mwenyezi Mungu jinsi wanavyoona
 
Kuacha au kutokuacha ni juu yao ila wewe wafikishie ujumbe..
Unasema waombewe halafu unasema hakuna kuwasaidia, bro mbona hueleweki, hata huko kuombea ni msaada.

Tatizo lenu mnawachukia, na chuki kwa mtu anaeamini haifai.
Chukia tabia zao chafu.
 
.
Umekuja nilipokuwa napataka...mtumishi wa Mungu hawezi kwenda kinyume na maagizo ya Mungu. Kwa mantiki hii, papa sio mtumishi wa Mungu ndomana anatumika na shetani na mawakala wake kupitisha au kushawishi mambo yasiyofaa.
 
Kuacha au kutokuacha ni juu yao ila wewe wafikishie ujumbe..
Unasema waombewe halafu unasema hakuna kuwasaidia, bro mbona hueleweki, hata huko kuombea ni msaada.

Tatizo lenu mnawachukia, na chuki kwa mtu anaeamini haifai.
Chukia tabia zao chafu.
.
Ungeacha papara na kusoma ujumbe wangu vizuri ungenielewa. Wapi nimeonesha chuki? Vipi na wale wanaosema mashoga wauwawe, kati ya hao na mimi ninaesema waombewe nani anatangaza chuki?
.
Acha stereotyping...jifunze kujiamini mzee sio kila hoja inayotolewa ikiwa tofauti na mawazo yako basi watu wanakuchukia.
 
Tudumu katika dhambi ili Neema izid kua nyingi???la hasha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…