Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Hakuna kitu kama hicho,yeye Msigwa Kila siku alikuwa analalamikia matendo ya rushes za uchaguzi ndani ya ccm,iweje leo aikimbie rushes ndani ya Chadema na kuifata iliyopo ccm?Huyu hajaondoka Chadema kwaajili ya rushwa,bali ameondoka kwaajili ya mshiko ule aliokuwa anausema rafiki yake Lisu.
Huu siyo uthibitisho na ukienda mahakamani utashindwa vibaya sana. Lissu ndiye alimshambulia Mbowe? Mbona Lissu na Mbowe nao walifanya mkutano (baada ya ile ya Lissu na Msingwa) tena kwa kuruka kwenye chopa moja?Uthibitisho kwamba hakumlenga Msigwa ni pale ambapo baada ya Msigwa kushindwa uwenyekiti wa kanda ya Nyasa alianza kumshambulia Mbowe vikali sana. Na baada ya kumshambulia hata hivyo aliruka mpaka singida akaungana na Lissu ambapo Lissu alimpokea na kumkaribisha.
Kalapina ni nani upinzani?
Hakuna anaeweza kumpokea lisu ktk siasa tanzania.Lissu alienda Iringa akimtetea Msigwa kwa nguvu zote hata kumdhalilisha Mh. Mbowe, je Lissu ataanza kuheshimu beacons za siasa za upinzani, hasa Mbowe zinapotoa msimamo?
Je Lissu bado hajajua huyo anayemuita "Abdul" alikuwa anawasiliana na nani (kama ni kweli, maana Lissu kwa uongo)? Je alienda kumtetea mtu wa Abdul akamuacha mtiifu wa chama chake?.
The Abdul Myth is bigger than Lissu, its possible hata Lissu haelewi mishipa ya Abdul ilivyojaa katika mwili wa CDM, who is Abdul, and how deep he is within CDM?
Msigwa aliposhindwa uchaguzi wa kanda alienda kuripoti moja kwa moja kwa Lissu na kupiga naye mikutano, is Lissu next? Je msigwa amehama CDM baada ya kuongea na Lissu katika mikutano ya hadhara wakiwa wamemtenga Mbowe?
Sure lo time is the best answer
Nawaonea huruma.Vijana wanaowekeza nguvu zao Chadema wakiamini ni chama cha upinzani kinaweza kuiondoa CCM madarakanimsigwa ni mtengeneza njia tu ya Lisu kupita na kuingia CCM, na akija aje kwa heshma ana awe mwanachama mwenye adabu π
mbona unawakatisha tamaa kwa ukweli bayana namna hiyo gentleman?π€£Nawaonea huruma.Vijana wanaowekeza nguvu zao Chadema wakiamini ni chama cha upinzani kinaweza kuiondoa CCM madarakani
Bora Tuwaambie mapema Vijana wetu wajipange kivinginembona unawakatisha tamaa kwa ukweli bayana namna hiyo gentleman?π€£
for sure ni Muhimu sana,Bora Tuwaambie mapema Vijana wetu wajipange kivingine
umefungua sana akili hapo πHakuna anaeweza kumpokea lisu ktk siasa tanzania.
Wanajua ana uendawazimu kuna siku atawageuka na wao.
Lisu akitaka abaki kwenye siasa either abaki cdm au aanzishe chama chake.