Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Dalili ya mvua ni mawinguKaandika hivi kupitia twitter:
Mwenyeketi @freemanmbowetz Karibu sana Arusha,ningetamani kuwepo,lakini nina matumaini tutaungana pamoja ktk ujenzi wa Nchi na Chama siku za hivi karibuni.Kanda ya Kaskazini tutaendelea kuwa mstari wa mbele kujenga na kuimarisha demokrasia Tanzania.IMPOSSIBLE IS NOTHING
Kwani kuna mtu alimfukuza au kiherehere chake tuRudi nyumbani Lema, Pamenoga sasa
Mkuu kameze Arv zako upumzike. Huku umepoteaKwani kuna mtu alimfukuza au kiherehere chake tu
Kiherehere cha wakamdamizaji wa enzi zile kilimfukuza.Kwani kuna mtu alimfukuza au kiherehere chake tu
Asante Mhe Lema. Yule jamaa aliyelaanika Mungu alimpiga pigo moja la mauti.Kaandika hivi kupitia twitter:
Mwenyeketi Freeman Mbowe Karibu sana Arusha, ningetamani kuwepo,lakini nina matumaini tutaungana pamoja katika ujenzi wa Nchi na Chama siku za hivi karibuni.Kanda ya Kaskazini tutaendelea kuwa mstari wa mbele kujenga na kuimarisha demokrasia Tanzania.
IMPOSSIBLE IS NOTHING
Muoga kama Jiwe aliyepigwa pigo la mauti mazimaaaaLema ni muoga sana!
Mwanaume gani anakimbia pambano?Muoga kama Jiwe aliyepigwa pigo la mauti mazimaaaa
Kwani hujui G. Lema ndie Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini?"----Kanda ya Kaskazini tutaendelea........" Kazi ipo