Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hivi mtu akikwambia anaenda kula utamuuliza kama atashiba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mtu akikwambia anaenda kula utamuuliza kama atashiba?
Magu alikuwa anapambana na nani? Ama ukisikia neno kupambana unalibeba na kulazimisha lifit kwenye upotoshaji wako.?Mwanaume gani anakimbia pambano?
Magu ni mwanaume kapambana hadi tone la mwisho Mungu alipoamua kumuuita.
Sasa Lema anakimbilia kwa wanaume wenzie kweli?
Kwani Lema alikuwa anapambana na nani?Magu alikuwa anapambana na nani? Ama ukisikia neno kupambana unalibeba na kulazimisha lifit kwenye upotoshaji wako.?
Nasikia sasa hivi mme relax maana tume iko huru baada ya Magu kufarikiWapindua meza kwa masada wa tumekijani.
Amechoka kupakatwa?
Kwani Lema alikuwa anapambana na nani?
Lema ni mwoga tu!Mwanasiasa sawa, vyama vingi vinatambulika kikatiba na kisheria. Lakini huyo unamuita mwanaume ndio anawatesa kila siku. Lema kakaa miezi 4 gerezani kisa michezo ya kuigiza mahakamani. Wapo waliopoteza maisha. Wewe unajibanza halafu unadai huo ni uhuru wa jf. Kama unaamua kuutumia, huna haki yoyote kumwita Shujaa Lema mwoga. Anakuja halafu kivumbi chake utakiona. Wewe utabaki kwenye kibodi.
Ila hakukimbilia kwa wanaume wenzie kama LemaNa dhalimu unayelinda kaburi lake.
Mungu siyo amsterdam yule aliko Lisu!Una hakika ni Mungu kamuita au shetani kampiga mtama![emoji24][emoji24][emoji24]
Sasa kama Lema alikuwa siyo mwoga mbona hakujitokeza kupambana nae badala yake akaufyata?Magu mwanaume? Mwanaume gani huyo anawaogopa wapinzani kama nini sijui. Kawafungia kufanya siasa miaka 5, yeye kila siku anahutubia taifa kwenye ziara, redio, tv na magazeti vyote ni kusifu na kuabudu. halafu uchaguzi unakuja bado hajiamini, anapora uchaguzi. Mpinzani wake Tundu Lissu hadi anazuiwa ndege isitue maeneo mbalimbali kisa wivu wa nyomi. Huyo ndio mwanaume?
Magu mwanaume? Kila kona anagawa manoti ambayo wala sio yake, kayapata wapi Kibaka mkubwa huyo?
Dhalimu amekimbia vipi wakati yeye ndio alikuwa anatumia vyombo vya dola kuendesha udhalimu?Ila hakukimbilia kwa wanaume wenzie kama Lema
Vyombo vya dola ni kitu gani?Dhalimu amekimbia vipi wakati yeye ndio alikuwa anatumia vyombo vya dola kuendesha udhalimu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu kameze Arv zako upumzike. Huku umepotea
Shetani alimla kichwa mungu wako!Mungu siyo amsterdam yule aliko Lisu!
Mungu ni wa wote
Lema ni mlevi wa kupindukia anayejificha kwenye ulokoleKaandika hivi kupitia twitter:
Mwenyeketi Freeman Mbowe Karibu sana Arusha, ningetamani kuwepo,lakini nina matumaini tutaungana pamoja katika ujenzi wa Nchi na Chama siku za hivi karibuni.Kanda ya Kaskazini tutaendelea kuwa mstari wa mbele kujenga na kuimarisha demokrasia Tanzania.
IMPOSSIBLE IS NOTHING
Chadema mmejazana wavuta kushabuMkuu kameze Arv zako upumzike. Huku umepotea
Mungu ni wa wote hawazi kama awazavyo amsterdam au LisuShetani alimla kichwa mungu wako!
Alienda kwa waome zao wakamlinde. Yule ndo bi mdogo wa amaterdam . Bi mkubw n yule shoga........😂😂😂 maliziaaaMwanaume gani anakimbia pambano?
Magu ni mwanaume kapambana hadi tone la mwisho Mungu alipoamua kumuuita.
Sasa Lema anakimbilia kwa wanaume wenzie kweli?
Umenena mkuu. Chama cha chagaz na maendeleo ya kasikazin(CHADEMA) 😂😂Wachaga bhana angalia sasa hawezi kusema kitu bila kuleta ukanda hv kura za Arusha,Kilimanjaro,Manyara zinaweza kuamua Rais nani ktk uchaguzi???