Iwapo ataamua kutokurudi na jua mtashusha pumzi ya ahueni,hivi sasa kusikia habari hizo mmeanza kuweweseka .Mwambieni huku hakuacha pengo lolote kitaifa, labda Kwa ndgu zake na jamii ndogo iliyomzunguka??
Hata kukimbia then ujipange upya ni aina ya mapambano.Mwanaume gani anakimbia pambano?
Magu ni mwanaume kapambana hadi tone la mwisho Mungu alipoamua kumuuita.
Sasa Lema anakimbilia kwa wanaume wenzie kweli?
Bob wine wa Uganda pamoja na kupigwa mabomu live hakuwahi kukimbia!Hata kukimbia then ujipange upya ni aina ya mapambano.
Kauli yako ingekuwa na mashiko kama ungeweka jina lako kamili badala ya CRIMEA, na picha yako halisi hapo kwenye AVATAR.Lema ni muoga sana!
Majibu kuntu.Mkuu kameze Arv zako upumzike. Huku umepotea
Hapa jf ni uhuru wa mtu kutumia jina atakalo!Kauli yako ingekuwa na mashiko kama ungeweka jina lako kamili badala ya CRIMEA, na picha yako halisi hapo kwenye AVATAR.
Hapo sasa angalau ingeeleweka. Sasa mkuu unafichama kwenye kibodi, halafu mwenzio Lema amejitosa maisha yake na familia yake, wewe, WEWE unanuia mwoga? Alipoona tishio la usalama wake na familia yake linazidi, akaomba hifadhi, akapokelewa. Mwenzio cv yake kubwa, ndani na nje anajulikana. Wewe imejitolea nini, zaidi ya kulamba kwato za mwendazake?
Siri anaijua yeye kwani ndio anajua kilichomkimbiza ww kula ugali kwako ya lema muachie mwenyeweKwani kuna mtu alimfukuza au kiherehere chake tu
Marehemu na watoto wake kina sabayaKwani kuna mtu alimfukuza au kiherehere chake tu
Magu mwanaume? Mwanaume gani huyo anawaogopa wapinzani kama nini sijui. Kawafungia kufanya siasa miaka 5, yeye kila siku anahutubia taifa kwenye ziara, redio, tv na magazeti vyote ni kusifu na kuabudu. halafu uchaguzi unakuja bado hajiamini, anapora uchaguzi. Mpinzani wake Tundu Lissu hadi anazuiwa ndege isitue maeneo mbalimbali kisa wivu wa nyomi. Huyo ndio mwanaume?Mwanaume gani anakimbia pambano?
Magu ni mwanaume kapambana hadi tone la mwisho Mungu alipoamua kumuuita.
Sasa Lema anakimbilia kwa wanaume wenzie kweli?
Una hakika ni Mungu kamuita au shetani kampiga mtama!😭😭😭Mwanaume gani anakimbia pambano?
Magu ni mwanaume kapambana hadi tone la mwisho Mungu alipoamua kumuuita.
Sasa Lema anakimbilia kwa wanaume wenzie kweli?
Mwanasiasa sawa, vyama vingi vinatambulika kikatiba na kisheria. Lakini huyo unamuita mwanaume ndio anawatesa kila siku. Lema kakaa miezi 4 gerezani kisa michezo ya kuigiza mahakamani. Wapo waliopoteza maisha. Wewe unajibanza halafu unadai huo ni uhuru wa jf. Kama unaamua kuutumia, huna haki yoyote kumwita Shujaa Lema mwoga. Anakuja halafu kivumbi chake utakiona. Wewe utabaki kwenye kibodi.Hapa jf ni uhuru wa mtu kutumia jina atakalo!
Ukishaamua kuwa mwanasiasa kama Lema na kujiita mwanaharakati huku ukitoa vitisho kwamba huogopi chochote alafu baada ya kushindwa uchaguzi ndio unakimbia, huo ni uoga.
Hapa jf ni uhuru wa mtu kutumia jina atakalo!
Ukishaamua kuwa mwanasiasa kama Lema na kujiita mwanaharakati huku ukitoa vitisho kwamba huogopi chochote alafu baada ya kushindwa uchaguzi ndio unakimbia, huo ni uoga.
Kama mwoga angewatoeni jasho na kuwakosesha usingizi kiwango cha kupanga kila ovu,ili kukimbia kivuli chake.Bob wine wa Uganda pamoja na kupigwa mabomu live hakuwahi kukimbia!
Lema ni mwoga kama kunguru
Mkuu nani alitoa jasho kisa Lema?Kama mwoga angewatoeni jasho na kuwakosesha usingizi kiwango cha kupanga kila ovu,ili kukimbia kivuli chake.
Amechoka kupakatwa?Kaandika hivi kupitia twitter:
Mwenyeketi Freeman Mbowe Karibu sana Arusha, ningetamani kuwepo,lakini nina matumaini tutaungana pamoja katika ujenzi wa Nchi na Chama siku za hivi karibuni.Kanda ya Kaskazini tutaendelea kuwa mstari wa mbele kujenga na kuimarisha demokrasia Tanzania.
IMPOSSIBLE IS NOTHING
Tz imebarikiwa Sana Basi tu mwendazake alitaka kulibadilisha taifa kwa kujua au kutojua kwa nia mbaya na mungu akamkataa live,Kaandika hivi kupitia twitter:
Mwenyeketi Freeman Mbowe Karibu sana Arusha, ningetamani kuwepo,lakini nina matumaini tutaungana pamoja katika ujenzi wa Nchi na Chama siku za hivi karibuni.Kanda ya Kaskazini tutaendelea kuwa mstari wa mbele kujenga na kuimarisha demokrasia Tanzania.
IMPOSSIBLE IS NOTHING
Wapindua meza kwa masada wa tumekijani.Mkuu nani alitoa jasho kisa Lema?