Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejuwa wala usinge post.Ukiua Kwa upanga utakufa Kwa upanga,unamwulizia alioagiza wanaompinga vitazake wauwawe?...
basi tutafute ukweli wa waliotangulia kufanyiwa ubaya kipindi chake kama kina sanane,kina tundu etc. Kila mtu anaumuhimu hii Dunia sio waskuma wenzio tuu damnitttt!!!!
Aisee. Kamandi ilikaaa Kishujaa. Hawa watu huwa hawapatiwi the respect they Deserve. Nawaamini sana.Pia usiku ule ving'ora vya hatari vilipigwa usiku kwenye kamanding za jeshi. Pili ni Maraia tu walikuwa hawajuwi ila karibia Vyombo vyote vya ulinzi walikuwa wanafull data na some of walirudi kazin kwa dharula.
Ungejua Wewe usinge soma!! Hamtaki mawazo tofauti hapo unatamani uniuwe. Saii tuna mama anayemjua Mungu! Hajioneshi ibadani kila akienda lkn vitendo vyake nizaidi ya kujionesha ukipokea sakramenti huku nyuma ya pazia nivisasi na unyama!!!!Ungejuwa wala usinge post.
Mkuu, lini alipelekwa hospital?Pia usiku ule ving'ora vya hatari vilipigwa usiku kwenye kamanding za jeshi. Pili ni Maraia tu walikuwa hawajuwi ila karibia Vyombo vyote vya ulinzi walikuwa wanafull data na some of walirudi kazin kwa dharula.
Huwa tunajipanga kwa yajayo, kwa kuangalia yaliyopita na yaliyopo. Mfano tu, TULIZUILIWA KUSAFIRI KWA MABASI USIKU, KISA ILIKUWA NI KWA SABABU YA TAKWIMU ZA AJALI ZILIZOTOKEA KABLA YA SIKU YA KUAMUA HIVYOKwakuwa yameshatokea ya kutokea tusonge mbele maswali mengi sidhani kama yatabadilisha yaliyokwisha fanyika
Yaani yule "big" wa kusini mpaka Leo Bado ni "CEREMONIAL LEADER[emoji2398] halafu hajitambui...all in all ndo Kila kitu kwenye hii nchi ...Hivi hata hao waliondele na ratiba walikuwa hawaehtuki... Hadi mwingine akajirhalilisha eti jamaa yupo anapiga mzigo! Kwa tukio, lile. Inadhihirisha kuwa wasaidizi wawili wale ni ceremonial au Wakati ule wa giza..
Walikuwa ceremonials!