Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

Pia usiku ule ving'ora vya hatari vilipigwa usiku kwenye kamanding za jeshi. Pili ni Maraia tu walikuwa hawajuwi ila karibia Vyombo vyote vya ulinzi walikuwa wanafull data na some of walirudi kazin kwa dharula.
 
Nijibu kwa sababu ya kikawaida, nadhani uamuzi ule wa kuchelewa kutoa taarifa rasmi za tukio ulisababishwa na sababu za kiusalama, kuondoa tension ambayo walidhani ingeweza kujitokeza kwa jamii.

Kiasi kikubwa walifanikiwa kwenye hili, kwani tetesi zilizosambaa kuhusu taarifa za kifo, zilisababisha siku walipotangaza rasmi pasiwepo na mshtuko mkubwa, na ndio maana pia taarifa ile ilitolewa usiku mnene, wakijua watanzania wengi watakuwa wamelala.
 
Pia usiku ule ving'ora vya hatari vilipigwa usiku kwenye kamanding za jeshi. Pili ni Maraia tu walikuwa hawajuwi ila karibia Vyombo vyote vya ulinzi walikuwa wanafull data na some of walirudi kazin kwa dharula.
Aisee. Kamandi ilikaaa Kishujaa. Hawa watu huwa hawapatiwi the respect they Deserve. Nawaamini sana.

Kuna watu wana uchu wa ajabu nchi hii, kwa kweli, ni kama fisi anayesubiri mkono undondoke! Nyie acheni,

Ndio siku niliyoweka dot moja na nyingine pale alisema "...Kuna watu nchi hii ntyeee..." halafu akachimba, hakuongeza. Kuna vitu vilimkera sana, na akasema....msubiri siku sipo mlete ujinga huu....in that sense.
 
Ungejuwa wala usinge post.
Ungejua Wewe usinge soma!! Hamtaki mawazo tofauti hapo unatamani uniuwe. Saii tuna mama anayemjua Mungu! Hajioneshi ibadani kila akienda lkn vitendo vyake nizaidi ya kujionesha ukipokea sakramenti huku nyuma ya pazia nivisasi na unyama!!!!
Makanisa yafundishe biblia vizuri kuna wajinga wanaleta zilevita zazamani sasa
 
Isingewezekana kutangaza siku hiyohiyo ya tukio kabla ya kujua kwanza Kwa waliobaki nani atakua Head of state. Zilivuja kwamba Kuna watu walitaka kupindisha katiba ya JMT. Katika speech zake aligusia kwamba Kuna watu hawaamini kwamba anaweza kuiongoza nchi kutokana na jinsia yake .
 
Kwa maoni yangu ilikuwa ni suala la sucession battle waliotangaza walimtaka mtu wao as per katiba na waliopiga kimya walikuwa wanatafuta kwanza upenyo wa kumsimika mtu wao
Thanks God wenye maguvu wakaiingilia kati
 
Kwakuwa yameshatokea ya kutokea tusonge mbele maswali mengi sidhani kama yatabadilisha yaliyokwisha fanyika
Huwa tunajipanga kwa yajayo, kwa kuangalia yaliyopita na yaliyopo. Mfano tu, TULIZUILIWA KUSAFIRI KWA MABASI USIKU, KISA ILIKUWA NI KWA SABABU YA TAKWIMU ZA AJALI ZILIZOTOKEA KABLA YA SIKU YA KUAMUA HIVYO
 
Inamaana hata mkewe hakujua? Kama alijua basi wanae nao walijulishwa
Kama watoto walijulidhwa naamini wamo humu.

Na kama wamo humu watupe dokezo kilichojiri.

Kama wanaogopa basi na ajitokeze mtu akadukue dokezo ambalo raisi alipelekewa na mkuu wa majeshi wakati huo

huwenda lina kila kitu tunachotaka kujua
 
Hivi hata hao waliondele na ratiba walikuwa hawaehtuki... Hadi mwingine akajirhalilisha eti jamaa yupo anapiga mzigo! Kwa tukio, lile. Inadhihirisha kuwa wasaidizi wawili wale ni ceremonial au Wakati ule wa giza..
Walikuwa ceremonials!
Yaani yule "big" wa kusini mpaka Leo Bado ni "CEREMONIAL LEADER[emoji2398] halafu hajitambui...all in all ndo Kila kitu kwenye hii nchi ...
 
Back
Top Bottom