Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Huyu bwana truly was great. Atabaki kusemwa miaka mingi sana baadaye, unless aje mwingine kumfanya huyu asaahulike.
Kabisa mkuu, kuendesha kundi la watu wasiojulikana kisha ukawa unaenda madhabahuni na kuanza kutoa hotuba, hilo sio jambo dogo.