Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NDIO. UNA SWALI JINGINE?Je leo hii Lissu au mpinzani yoyote akiwa Raisi, ataruhusu tu raia wake mda wowote wakiamua kuandamana hata kwa sababu zisizo na mashiko, waangie tu babarani sababu ni haki yao .?
hizo ni athari za kukosa kazi tu, na kamwe hawezi kupata hiyo kazi ya urais Tz, labda ubeligiji 🐒Habari JF
Najiuliza hapa, maandamano ni "haki kikatiba", Je leo hii Lissu au mpinzani yoyote akiwa Raisi, ataruhusu tu raia wake mda wowote wakiamua kuandamana hata kwa sababu zisizo na mashiko, waangie tu babarani sababu ni haki yao .?
Nawasilisha.
Wanasiasa ni wapuuzi sana na ndio maana Wananchi hawawezi acha shughuli zao eti wakaandamane kisa Wanasiasa.Habari JF
Najiuliza hapa, maandamano ni "haki kikatiba", Je leo hii Lissu au mpinzani yoyote akiwa Raisi, ataruhusu tu raia wake mda wowote wakiamua kuandamana hata kwa sababu zisizo na mashiko, waangie tu babarani sababu ni haki yao .?
Nawasilisha.
Usijibu kwa mihemkoNDIO. UNA SWALI JINGINE?
Elewa swali, usijibu kwa mihemkoUnaposema kila siku
Tupe ratiba kwa mwezi huu Agosti hao vijana wameandamana kwa siku ngapi?
Muache UCHAWA wa kindezi tumieni akili zenu ipasavyo.
Hakuna Kiongozi wa hivyo Duniani,kaulize kilichowapata Waingereza waliokuwa wanaandamana juzi ,yule PM wao ndio kwanza walimchagua majuzu.NDIO. UNA SWALI JINGINE?
Jibu hili hapa, walianza vijana wa CCM, wakafuatia wa ACT Wazalendo sasa Chadema matumbo yenu joto.Habari JF
Najiuliza hapa, maandamano ni "haki kikatiba", Je leo hii Lissu au mpinzani yoyote akiwa Rais ataruhusu tu Raia wake mda wowote wakiamua kuandamana hata kwa sababu zisizo na mashiko, waangie tu babarani sababu ni haki yao .?
Soma Pia:
Nawasilisha.
Hujajibu swali, usijibu kwa mihemkoJibu hili hapa, walianza vijana wa CCM, wakafuatia wa ACT Wazalendo sasa Chadema matumbo yenu joto.View attachment 3067528
Jibu ni hiyo picha, kama unaona sawa baadhi kuruhusiwa wengine kukatazwa kushiriki jambo la kimataifa, basi inatosha.Hujajibu swali, usijibu kwa mihemko
Elewa dhumuni la marufuku.Jibu ni hiyo picha, kama unaona sawa baadhi kuruhusiwa wengine kukatazwa kushiriki jambo la kimataifa, basi inatosha.
Hilo ni kongamano la vijana kama kalenda ya kimataifa inavyotaka ndiyo sababu CCM na ACT Wazalendo walifanya kila chama kwa wakati wake, sipendi maswali ya kijinga kwenye jambo linaloeleweka.Elewa dhumuni la marufuku.
Usijitoe akili, hujasikia viongozi wa bavicha wanahamasisha nini .?Hilo ni kongamano la vijana kama kalenda ya kimataifa inavyotaka ndiyo sababu CCM na ACT Wazalendo walifanya kila chama kwa wakati wake, sipendi maswali ya kijinga kwenye jambo linaloeleweka.
Mbona maandamano ya kusifia hayana vikwazo?Habari JF
Najiuliza hapa, maandamano ni "haki kikatiba", Je leo hii Lissu au mpinzani yoyote akiwa Rais ataruhusu tu Raia wake mda wowote wakiamua kuandamana hata kwa sababu zisizo na mashiko, waangie tu babarani sababu ni haki yao .?
Soma Pia:
Nawasilisha.