Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Ni kweli nina mhemko wa mwili vipi upo wapi unipe kitu roho inapenda?Elewa swali, usijibu kwa mihemko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli nina mhemko wa mwili vipi upo wapi unipe kitu roho inapenda?Elewa swali, usijibu kwa mihemko
Si umejibiwa au?Usijibu kwa mihemko
Yule wa UVCCM Bukoba alisema kitu gani?.?Usijitoe akili, hujasikia viongozi wa bavicha wanahamasisha nini .?
as a matter of fact, hawezi kuruhusu, na anaweza kuwa mkali kuliko ccm, kwasababu ukitawala ukawaachia sana wapinzani, hautafanya kitu chochote kabisa. kwasababu mpinzani siku zote hutamani ushindwe ili yeye ashike nafasi. ndio lengo.Habari JF
Najiuliza hapa, maandamano ni "haki kikatiba", Je leo hii Lissu au mpinzani yoyote akiwa Rais ataruhusu tu Raia wake mda wowote wakiamua kuandamana hata kwa sababu zisizo na mashiko, waangie tu babarani sababu ni haki yao .?
Soma Pia:
Nawasilisha.
Sio swala la kuruhusu.. kwa kuona hivyo tu inaondoa maana nzima ya swali lako. Wewe unasubirije ruhusa kwenye haki yako? Tena ya kikatiba?Habari JF
Najiuliza hapa, maandamano ni "haki kikatiba", Je leo hii Lissu au mpinzani yoyote akiwa Rais ataruhusu tu Raia wake mda wowote wakiamua kuandamana hata kwa sababu zisizo na mashiko, waangie tu babarani sababu ni haki yao .?
Soma Pia:
Nawasilisha.