Je, Lissu akishika Urais leo, atakubali kila siku vijana wawe wanaingia barabarani kuandamana kutimiza wajibu wao wa kikatiba kwa lengo lolote lile?

as a matter of fact, hawezi kuruhusu, na anaweza kuwa mkali kuliko ccm, kwasababu ukitawala ukawaachia sana wapinzani, hautafanya kitu chochote kabisa. kwasababu mpinzani siku zote hutamani ushindwe ili yeye ashike nafasi. ndio lengo.
 
Sio swala la kuruhusu.. kwa kuona hivyo tu inaondoa maana nzima ya swali lako. Wewe unasubirije ruhusa kwenye haki yako? Tena ya kikatiba?
 
Sijui kwanini vijana wa Tanzana wanaishabikia ccm isipokuwa labda ni mazuzu, labda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…