Kuna msemo usemao "Usipojifunza kutokana na makosa uliyokosea.Walishajihakikishia ulinzi wa vyombo vya dola kwa hiyo wanafanya vyovyote watakavyo.......
Walishajihakikishia ulinzi wa vyombo vya dola kwa hiyo wanafanya vyovyote watakavyo.......
Huo ni msemo uliwahi kusemwa na mtu. Mmoja DewyFailure is instructive. The person who really thinks learns quite as much from his failures as from his successes.
Ndo umeyajua Leo kwamba yana haki kikatiba!? Mbona mlikuwa mnawapiga Chadema!??Tatizo lako unaangalia maandamano. Nani alikuambia maandamano ndo huleta mabadiliko?
Ninachozungumza hapa ni zaidi ya maandamano.
Hata maandamanoya amani bado ni haki ya kikatiba.
Hebu ondoa mambo ya vyama ktk hili angalia Maslahi mapana ya Taifa.Ndo umeyajua Leo kwamba yana haki kikatiba!? Mbona mlikuwa mnawapiga Chadema!??
Mbona kwenye maoni wengi walikata vyama vingi. Tatizo kuna nadharia nyingi, wewe una ushahidi kikwete ndio ana mchagulia raisi viongozi? Hata hivo sioni vibaya raisi kuomba ushauri kwa alie mtanguliNi vizuri viongozi kuelewa kuwa, kwa sasa watu wengi wameenda shule yaani wasomi ni wengi na ni critical thinkers
Mwal Nyerere alipoona watu wameanza kulilia vyama vingi yeye akawa mjanja akawaambia wimbi hili ni zito duniani kote. Si ndo akakubali nchi kuwa na mfumo wa vyama vingi?
Kwa wale wanaofikiri Watanzania ni wale walewatajikuta siku moja mtu haamini kama ni Watanzania ama wageni. Kuongoza ktk kipindi hiki cha utandawazi na wengi wamesoma ni lazima mtu awe na hekima. Either ukubaliabadiliko
Au mabadiliko YAKUBADILI wewe!!
Watanzania ni lazima tupaze sauti zetu kusema kama ni kweli Kikwete ana ongoza hivyo ni ILLEGAL/Makosa KISHERIA. Aliyeapishwa ni SSH na wala si Kikwete Na hatukubali mchezo kama huo.!!Awamu ya nne imerudi kwa mlango wa nyuma
Maslahi mapana yapi ambayo hamkuyaona kipindi cha shetani mnakuja kuyaona Leo kama si unafiki ni nini! Kubalini kutesa kwa zamu !! Jipange labda miaka 22 ijayo maana Samia bado tunae sana tu atakaa zaidi ya miaka 20Hebu ondoa mambo ya vyama ktk hili angalia Maslahi mapana ya Taifa.
Kwamba katika watanzania wote, mwanaye ndo mwenye akili ya kuwa kiongozi.......Watanzania ni lazima tupaze sauti zetu kusema kama ni kweli Kikwete ana ongoza hivyo ni ILLEGAL/Makosa KISHERIA. Aliyeapishwa ni SSH na wala si Kikwete Na hatukubali mchezo kama huo.!!
We ni mbuzi yaani baada ya kuona ulaji umewaponyoka mnalalama!! Kikwete katulia zake Msoga hana shida na MTU!!! Mbona Magufuli alikuwa anaongozwa na dikteta Mkapa hatukusema!?Watanzania ni lazima tupaze sauti zetu kusema kama ni kweli Kikwete ana ongoza hivyo ni ILLEGAL/Makosa KISHERIA. Aliyeapishwa ni SSH na wala si Kikwete Na hatukubali mchezo kama huo.!!
We akili huna uteuliwe ili iwejeKwamba katika watanzania wote, mwanaye ndo mwenye akili ya kuwa kiongozi.......
Sawa, wao wana madaraka ila Mungu ni wetu sote.......nimekubali sina akili.We akili huna uteuliwe ili iweje
Mimi nilikua najibu hoja.We ni mbuzi yaani baada ya kuona ulaji umewaponyoka mnalalama!! Kikwete katulia zake Msoga hana shida na MTU!!! Mbona Magufuli alikuwa anaongozwa na dikteta Mkapa hatukusema!?
Hapo sawa!! Nikitaka ujitambue kwamba huna akiliSawa, wao wana madaraka ila Mungu ni wetu sote.......nimekubali sina akili.
We ni mbuzi yaani baada ya kuona ulaji umewaponyoka mnalalama!! Kikwete katulia zake Msoga hana shida na MTU!!! Mbona Magufuli alikuwa anaongozwa na dikteta Mkapa hatukusema!?
Hii ni NEPOTISM/Undugunisation wa hali ya juu. Hii haiwezekani bana!!Kwamba katika watanzania wote, mwanaye ndo mwenye akili ya kuwa kiongozi.......
Mimi binafsi sina chuki nae labda uelewa wako mdogo. Tafadhali rudia kusoma Uzi wangu.Maslahi mapana yapi ambayo hamkuyaona kipindi cha shetani mnakuja kuyaona Leo kama si unafiki ni nini! Kubalini kutesa kwa zamu !! Jipange labda miaka 22 ijayo maana Samia bado tunae sana tu atakaa zaidi ya miaka 20
Hata kama hujani quote, hatuwezi kuacha pumba zikae JF. Tunazipeleka zizini straightforwardSijaku quote narudia naongea na GTs only.kama Una Imani na Mwingira nenda kanisani kwake.
Jamaa keshasema hapo juu sisi wengine hatuna akili......la msingi hii dunia inazunguka na Mungu ni wetu sote.Hii ni NEPOTISM/Undugunisation wa hali ya juu. Hii haiwezekani bana!!
Ukiangalia haya "mapenzi ya Mungu" ilikuwa ni lazimaKulingana na maamuzi ya hivi karibuni ya Rais Samia kuwaondoa baadhi ya Mawaziri watenda kazi kama Lukuvi na wengine na kuingiza watu wake, tayari hii in kuwa Rais Samia yuko chini ya State Capture?
State capture is a type of systemic political corruption in which private interests significantly influence a state's decision-making processes to their own advantage.
State Capture ni UFISADI MKUBWA wa KISIASA ambapo WATU Binafsi kama Wafanya Biashara WAKUBWA ama MAKUNDI binafsi yaliyo na USHAWISHI KISIASA na KIUCHUMI ili kuleta mabadiliko kwa minajiri yakunufaisha Watu binafsi.
Hii itamgharimu sana sana, maana watu wameamka na wanafuatilia kwa ukaribu.
Unamtetea Mwendazake bado unajiita na GT?? BIG shame on you. Lemme tell you upfront, you belong to mediocre minds the so called "Wanyonge". A group that was brainwashed by false propagandaNdiyo maana nikasema naongea na GTs only Ona sasa, unaongelea Mimi kutetea, soma nilicho kiongelea na nioneshe wapi nilipomtetea, misimamo yngu ya kisiasa huijui hivyo usitake kuni force.
Sina tatizo na hilo. Uzi wangu unazungumzia rais kuwa Mateka wa Wapiga deal na hivyo ku influence maamuzi ya nchi kwa manufaa yao. Pointi yangu ni hiyo. Wala sina chuki na SSH na yuko huru kupata ushauri CHANYA na si HASIMbona kwenye maoni wengi walikata vyama vingi. Tatizo kuna nadharia nyingi, wewe una ushahidi kikwete ndio ana mchagulia raisi viongozi? Hata hivo sioni vibaya raisi kuomba ushauri kwa alie mtanguli