Serikali inahofia binadamu akisha jitambua,huezi mcontrol tena..Inaonekana ni hatari kwa matumizi,hii inapaswa ifanyiwe utafiti kwanza na serikali iweke utaratibu maalumu wa namna ya kutumia kimatibabu kwa sababu madhara yake ikitumika kimakosa ni makubwa kiafya na kiakili ndio maana serikali nyingi hazijaruhusu itumike
Na hapa ndipo hatari yake ilipo,unajuaje uwezo wako wa kuhandle hio kitu kabla hujatumia?Sio kweli
Inategemea na uwezo wako wa kuhandle hio kitu, ni kama pombe au weed, kuna watu wanatumia wanakaa vzr lkn kuna watu inawapelekesha, ni kwamba tu hii ni next level stuff, kama kichwa chepesi huwezi handle huo mziki wake, na ndo maana unashauriwa uwe chumba peke yako na ukae hata masaa nane sababu inachukua muda saana kumaliza kazi
Kuna procedure za kufuata, hata dosage yake sio fixedNa hapa ndipo hatari yake ilipo,unajuaje uwezo wako wa kuhandle hio kitu kabla hujatumia?
Huo uwezo mwenyezi Mungu kampa kila mmoja wetu..ni kwamba tu unahitaji elimu ili uweze ku extract..ni kwamba tu upo domant kutokana na False Identity of mind (Ego illusions)Na hapa ndipo hatari yake ilipo,unajuaje uwezo wako wa kuhandle hio kitu kabla hujatumia?
Sidhani kama ni kweli,Serikali inahofia binadamu akisha jitambua,huezi mcontrol tena..
Amini unavyo amini wewe.Sidhani kama ni kweli,
Kama faida zake ni hizo ulizotaja hapo juu mbona serikali ndio ingepaswa iwawekee hata kwenye ugali ili watu wawe conscious,maana watakuwa na huruma,uhalifu utapotea,watajitolea bila hata kupenda pesa,yaani utu utatawala,kiufupi hata wao uongozi utakuwa rahisi.
Ndio maana tunarudi palepale,ni hatari kutumia bila udhibiti,inahitaji uangalifu sana,ni kama ilivyo kwa dawa za usingizi kabla ya Operations huko Hosp,zina wataalamu wake maalum na hapa ndio maana kumekuwa na ugumu wa kuruhusu hasa wakiangalia side effects zake.Kuna procedure za kufuata, hata dosage yake sio fixed
Huku Amazon tunaita Ayahusca na anaesimamia hiyo ibada anajulikana kama Sharman..ni sehemu ya utalii..watu wengi wanaofahamu haya mambo huja kwa ajili ya ibada hii.Hizo mushrooms zinaitwa 'psiloccibin mushrooms".
Zinakua na psychedelic effect na ndo hyo inaitwa trip a.k.a safari.
Zinaweza kua consumed kwa kutafuna au kwa kuchanganya na maji ya moto kama chai.
Wengi wanasema unaeza kudata lakini hii ni kutokana na kutoelewa how to use them.
Hizi shrooms lazma uwe guided kama hujawahi kutumia. And here is the reason.
Kwanza lazma uanze na a small dose.
Pili, the guidance ni kwamba, unapotumia inafungua deep feelings ambazo kama hujaweza kucontrol unaeza jikuta u r dealing with bad feelings ambayo it leads to a bad trip.
So kwenye guidance, kwa mfano mtu anaeza kua guided kujaribu kuona future yake, so it takes ypur subconscious to another level and you can see vitu ambavyo kwenye normal senses huezi kuona.
Jamii nyingi za ndani ndani kama red indians na wale watu wanaoishi kwenye misitu ya amazon hua wanaitumia sana kama a form of deep meditation.
Hivyo bas, kama haujui vzur how to use them itakufanya uone mauza uza tu. N kama bangi, kama mtu hajui kuitumia vzur anaeza kuishia either kubembea au kupata mawenge ya kisoro, lakini kwa mtu anaejua misingi yake it can be used as a source of focus, au source of pleasure n.k.
Problem kubwa kwa nchi yetu n kwamba most times hatupati vitu standard so effect inakua haieleweki. Example bangi inayouzwa hovyo hovyo unaeza kuta leo umevuta sativa, kesho umevuta indica kwaio the effect inakua different. Mbaya zaidi ukivuta iliochanganywa na plama ndo kabisaa unajikuta umeanza kuwa mjate.
Lakini watu wanaovuta high grade wanapata a specific breed kwaio anapata the same effect everyday na inasaidia sana.
Ameangalia kwa upande huoAmini unavyo amini wewe.
Mkuu,Hata walioko serikalini na wao si watakuwa wameshakula dozi kwanini wafanye maovu,wanaoendesha serikali ni watu wa jamii hiihii,kumbuka hii ikishakuwa legal kila mtu atanunua kama vile tunavyonunua Panadol duka la dawa,Ameangalia kwa upande huo
Vipi na maovu wanayofanya serikali watu wakiyafahamu
Mfano mzuri duniani kote serikali hushawishi watu walipe kodi lakini kodi hizi ni cream for top layer fulani wakusanyaji wengi ndio haziwasaidii
Vipi wakijua mambo km haya
Ofcoz, shrooms hata US ni kwa medical uses pekee, rejea title ya uzi wangu. Ni mada kwa njia ya swaliNdio maana tunarudi palepale,ni hatari kutumia bila udhibiti,inahitaji uangalifu sana,ni kama ilivyo kwa dawa za usingizi kabla ya Operations huko Hosp,zina wataalamu wake maalum na hapa ndio maana kumekuwa na ugumu wa kuruhusu hasa wakiangalia side effects zake.
Fix your thinking kwanza ndo uendelee ku-argue. Hadi hapo nshaona tatizo na ndo maana unakeep kuuliza maswali hayoMkuu,Hata walioko serikalini na wao si watakuwa wameshakula dozi
Na kwa taarifa yako ni sehemu ya dini ambazo zilikuwepo kabla ya Ukristo na Uislam.Huyo father yupo sahihi. Yoga na meditation ni ushirikina, Mungu hapendi.
Na top executives wa hapo Silicon valley US wanaenda sana huko.Huku Amazon tunaita Ayahusca na anaesimamia hiyo ibada anajulikana kama Sharman..ni sehemu ya utalii..watu wengi wanaofahamu haya mambo huja kwa ajili ya ibada hii.
Ni kweli,Hapo nakubaliana na weweOfcoz, shrooms hata US ni kwa medical uses pekee, rejea title ya uzi wangu. Ni mada kwa njia ya swali
Kumbuka ulimwengu unaongozwa na nguvu mbili hasi na chanya spiritualMkuu,Hata walioko serikalini na wao si watakuwa wameshakula dozi kwanini wafanye maovu,wanaoendesha serikali ni watu wa jamii hiihii,kumbuka hii ikishakuwa legal kila mtu atanunua kama vile tunavyonunua Panadol duka la dawa,
Tunajaribu kutafakari kwa kina
Na tumemuambia Mushrooms ni njia ya shortcut tu..lakini njia nyingine pia ni meditation lakini kuna wengine hupitia hii njia kwa ulazima hasa pale anapo fiwa na mtu wa karibu aidha mke ama mtoto..Ego hufa automatic bila mjadala...means imeshindwa kuhandle hayo magumu ya kufiwa.Ameangalia kwa upande huo
Vipi na maovu wanayofanya serikali watu wakiyafahamu
Mfano mzuri duniani kote serikali hushawishi watu walipe kodi lakini kodi hizi ni cream for top layer fulani wakusanyaji wengi ndio haziwasaidii
Vipi wakijua mambo km haya