Je, Magic Mushrooms ni halali hapa Tanzania?

Je, Magic Mushrooms ni halali hapa Tanzania?

Status
Not open for further replies.
em nipe elimu mkuu
hii kitu inafaida zipi ambazo zimeleta mafanikio kwako binafsi ukilinganisha na hao matajiri uliotaja
Faida nyingi sana kuliko hasara, ukilinganisha na vilevi vingine!

  • inaongeza ujasiri na kujiamini kupita maelezo
  • inaongeza ubunifu na namna ya tafakari
Na vingine viiiingi ila bahati mbaya hizo faida zinatokana na uwezo wa kichwa chako, kama bichwa lako ndimu hasara zitakua nyingi zaidi

Sijui nikupe mfano gani!

Tuchukulie movie ya zamani kidogo, THE MASK, tu assume kile kinyago ndio ganja, sasa kila character anae kivaa kina mbadilisha ila ni kulingana na yeye jinsi alivyo,

kama ni mtu mwenye fikra ovu basi itazidisha huo uovu mara nyingi zaidi kwa nyanja zote ( ujasiri, kujiamini na ubunifu )

kama utakua ni mtu mwema basi itazidisha huo wema mara nyingi zaidi kwa nyanja zote

Kama ni mchekeshaji basi itazidisha huo ucheshi kwa nyanja zote

Kama ni mzembe itafanya hivyo hivyo maradufu

Kama ni mtu katili basi usipime huo ukatili utakao upata mpaka wewe mwenyewe utajiogopa

Jitathimini kwanza kabla hujaitumia
JamiiForums-745953760.gif
JamiiForums2090343118.jpg
JamiiForums-574027326.jpg
 
Faida nyingi sana kuliko hasara, ukilinganisha na vilevi vingine!

  • inaongeza ujasiri na kujiamini kupita maelezo
  • inaongeza ubunifu na namna ya tafakari
Na vingine viiiingi ila bahati mbaya hizo faida zinatokana na uwezo wa kichwa chako, kama bichwa lako ndimu hasara zitakua nyingi zaidi

Sijui nikupe mfano gani!

Tuchukulie movie ya zamani kidogo, THE MASK, tu assume kile kinyago ndio ganja, sasa kila character anae kivaa kina mbadilisha ila ni kulingana na yeye jinsi alivyo,

kama ni mtu mwenye fikra ovu basi itazidisha huo uovu mara nyingi zaidi kwa nyanja zote ( ujasiri, kujiamini na ubunifu )

kama utakua ni mtu mwema basi itazidisha huo wema mara nyingi zaidi kwa nyanja zote

Kama ni mchekeshaji basi itazidisha huo ucheshi kwa nyanja zote

Kama ni mzembe itafanya hivyo hivyo maradufu

Kama ni mtu katili basi usipime huo ukatili utakao upata mpaka wewe mwenyewe utajiogopa

Jitathimini kwanza kabla hujaitumiaView attachment 2564971View attachment 2564972View attachment 2564977
dah nimekupata mkuu
 
Hii ipo njombe ,kule kifanya wanaitumia wachawi wanajua cha kufanyia ni mrorongo ,ukijaribu huwa inaharibu uwezo wako wa uhalisia njano unaona blue, ndoo unaona mbwa ,afu unaweza anza lia msiba wa mwaka juzi kama umeambiwa leo ,wengine wakila wanajificha vichakani ,na stimu yake inachukua muda ila nusu wanakuwa machizi full
What is that shit [emoji2320]? Msiba wa mwaka juzi? [emoji24][emoji137][emoji137][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hello bosses...

Mada za kikubwa watoto wakiwa wamelala

Kuna mzigo unaiitwa magic mushrooms au tuziite shrooms, zinatumiwa kwa mambo ya kiroho na kujiliwaza pia. Ni kama weed kwa baadhi ya watu.

Kwa wale wanaofanya deep meditation pia baadhi wanazitumia kufanya tripping(huko unaweza kutana na wewe mwenyewe, au ukaona vitu fln vya kushangaza ulivopitia anyway sio story ya leo hii).

Je hapa Tanzania zinaruhusiwa? Na zinapatikana wapi kama zinaruhusiwa?
Kama ndiyo hivyo Case closed, Ni drug addiction [emoji91][emoji91]
Screenshot_20230408-072839.jpg
 
Faida nyingi sana kuliko hasara, ukilinganisha na vilevi vingine!

  • inaongeza ujasiri na kujiamini kupita maelezo
  • inaongeza ubunifu na namna ya tafakari
Na vingine viiiingi ila bahati mbaya hizo faida zinatokana na uwezo wa kichwa chako, kama bichwa lako ndimu hasara zitakua nyingi zaidi

Sijui nikupe mfano gani!

Tuchukulie movie ya zamani kidogo, THE MASK, tu assume kile kinyago ndio ganja, sasa kila character anae kivaa kina mbadilisha ila ni kulingana na yeye jinsi alivyo,

kama ni mtu mwenye fikra ovu basi itazidisha huo uovu mara nyingi zaidi kwa nyanja zote ( ujasiri, kujiamini na ubunifu )

kama utakua ni mtu mwema basi itazidisha huo wema mara nyingi zaidi kwa nyanja zote

Kama ni mchekeshaji basi itazidisha huo ucheshi kwa nyanja zote

Kama ni mzembe itafanya hivyo hivyo maradufu

Kama ni mtu katili basi usipime huo ukatili utakao upata mpaka wewe mwenyewe utajiogopa

Jitathimini kwanza kabla hujaitumiaView attachment 2564971View attachment 2564972View attachment 2564977
Vipi kuhusu bharath beedies?
 
Vipi kuhusu bharath beedies?
Hizi sijawahi tumia wala kuziona popote mpaka hivi ninapoona comment yako! Nimeacha kuvuta sigara mda kidogo

Nimeona Tangazo la TMDA kuhusu hiyo kitu pia kuna mwamba anaruka nazo huko fesibuku
Screenshot_20230430-185631.jpg
 
Hiyo activity mtaiita kwa majina ya kizungu ionekane inavutia ila huo ni ushirikina wa kuvaa nguvu za giza (majini ambayo yatakuongoza uone ulimwengu utakavyo wewe au yatakuongoza wapendavyo wao)
Narudia tena huo ni ushirikina ambao upo hata ukikaa vizuri na wazee wetu watakusimulia na kukuonyesha maeneo unayoweza pata hiyo huduma huko vijijini...
Kumbe ni huduma hata vijijini ipo, sasa mbona unaidis
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom