SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Ndio Demokrasia yenyewe hiyo. Piga Ua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio Demokrasia yenyewe hiyo. Piga Ua.
Kukujibu tu na siasa zakonza Uhasama uhasama, ni HiviSwali la kujiuliza ni je, mama analikimbia kundi lililompigania? Kwann?
Mbinu inayotumika siyo nzuri. Kwasabb kama lengo ni kuyaua makundi basi kuzodoana na kukashifiana kulipaswa kuepukwa.Naamini nyuma ya mama kuna watu wazito hasa wa kimkakati walioamua kuyaua haya makundi mawili msoga na sukuma gang.
Mama anaenda kuyazika haya makundi rasmi. Namaanisha hivi haya makundi yanaenda kufa.Mbinu inayotumika pamoja na akili ni za hali ya juu mno! Naona kuna ujasusi humu!
Mbinu inayotumika ni kuwagombanisha kisha wapotee, ukiangalia tayari dalili zimeanza kujionyesha! Nahisi deep state imeamua taifa kwanza makundi baadae!Anachokifanya Makonda ni kuibomoq ule upande wa Samia gang na kuutukuza upande wa sukuma gang.
Sote tuzikumbuka tetesi na minong'ono iliyokuwa imezagaa mara tu baada ya kifo cha Magufuli. Tetesi zilidai kundi la watu watiifu kwa Magufuli hawakutaka mama akikalie kiti hicho. Walifanya kila liwezekanalo ili waweke mtu wao.
Ikatokea kundi la "wenye nchi" likawa na akili kubwa na ushawishi mkubwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama wakakakomaa na kuhakikisha mama anakalia kiti.
Kufuatia kadhia hiyo, tuziona watu wengi waliokuwa watiifu kwa Magufuli wakionja joto ya jiwe baada ya mama kukikalia kiti. Akina Bashiru, Polepole, Ndugai, Lukuvi, Kabudi, Hapi, Sabaya, n.k waliondolewa kwenye nyadhifa zao ili wasiwe karibu na sinia la mema ya nchi.
Lkn sasa tunaona mwelekeo wa mama ni kulisogeza kundi la mwendazake taratibu kwenye sinia la mema ya nchi. Uteuzi wa Makonda, Biteko na Mnyeti unathibitisha haya.
Swali la kujiuliza ni je, mama analikimbia kundi lililompigania? Kwann?
Amegundua wale wanamtumia kama chambo..wanataka kupiga dili tu.Sote tuzikumbuka tetesi na minong'ono iliyokuwa imezagaa mara tu baada ya kifo cha Magufuli. Tetesi zilidai kundi la watu watiifu kwa Magufuli hawakutaka mama akikalie kiti hicho. Walifanya kila liwezekanalo ili waweke mtu wao.
Ikatokea kundi la "wenye nchi" likawa na akili kubwa na ushawishi mkubwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama wakakakomaa na kuhakikisha mama anakalia kiti.
Kufuatia kadhia hiyo, tuziona watu wengi waliokuwa watiifu kwa Magufuli wakionja joto ya jiwe baada ya mama kukikalia kiti. Akina Bashiru, Polepole, Ndugai, Lukuvi, Kabudi, Hapi, Sabaya, n.k waliondolewa kwenye nyadhifa zao ili wasiwe karibu na sinia la mema ya nchi.
Lkn sasa tunaona mwelekeo wa mama ni kulisogeza kundi la mwendazake taratibu kwenye sinia la mema ya nchi. Uteuzi wa Makonda, Biteko na Mnyeti unathibitisha haya.
Swali la kujiuliza ni je, mama analikimbia kundi lililompigania? Kwann?
Hakuna kilichompigania zaidi ya katiba ya Tanzania.Sote tuzikumbuka tetesi na minong'ono iliyokuwa imezagaa mara tu baada ya kifo cha Magufuli. Tetesi zilidai kundi la watu watiifu kwa Magufuli hawakutaka mama akikalie kiti hicho. Walifanya kila liwezekanalo ili waweke mtu wao.
Ikatokea kundi la "wenye nchi" likawa na akili kubwa na ushawishi mkubwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama wakakakomaa na kuhakikisha mama anakalia kiti.
Kufuatia kadhia hiyo, tuziona watu wengi waliokuwa watiifu kwa Magufuli wakionja joto ya jiwe baada ya mama kukikalia kiti. Akina Bashiru, Polepole, Ndugai, Lukuvi, Kabudi, Hapi, Sabaya, n.k waliondolewa kwenye nyadhifa zao ili wasiwe karibu na sinia la mema ya nchi.
Lkn sasa tunaona mwelekeo wa mama ni kulisogeza kundi la mwendazake taratibu kwenye sinia la mema ya nchi. Uteuzi wa Makonda, Biteko na Mnyeti unathibitisha haya.
Swali la kujiuliza ni je, mama analikimbia kundi lililompigania? Kwann?
Namuogopa sana huyu mzee akitulia. Akiwa mafichoni ndiyo huwa yanatokea makubwaWe humuoni yule mzee wa.... ametulia unafikili kapenda kutulia
Ametulizwa akatulia yeye pamoja na vijana wake! Ukijua hili wenzio wanajua hili! Taifa lina wazee wake a.k.a deep state!Namuogopa sana huyu mzee akitulia
Hili ni jina halina kiswahili wa kiingereza. Kwani Hilo jina lako FaizaFoxy kiswahili chake kikije?Hivi unafahamu "@Sexless" kwa Kiswahili?
Hakuna kitu deep state ipo nchi za watu, siyo hawa walevi wa mnazi wa hapa kwetu. Huyu mzee mm namuaminia mno.Ametulizwa akatulia yeye pamoja na vijana wake! Ukijua hili wenzio wanajua hili! Taifa lina wazee wake a.k.a deep state!
Hapa cdm wanabaki njia panda, jiwe alikuwa anawadunda, wakalalamika, mama akawapa mkono wa amani, wakamwita dhaifu, amerudisha wanaowadunda, wanalia tena.
Wakati mama anahubiri Siasa za kistaarabu, Lissu na genge lake walikuwa wanamtupia matusi ya nguoni, haya Sasa, mmeletewa miksa pilipili kichaa na ndimu
Starring wako ana nafasi yake magereza. Time will tell!Watu mavi debe, starring kaingia na farasi:
No problem, sheria ichukuwe mkondo wake, kesi ya kuendesha farasi bila kuwa na leseni yake, au siyo?Starring wako ana nafasi yake magereza. Time will tell!
Hivi hawa watu wote (hao wenye makundi unaowaongelea), wote akili zao ni kama za kukutu, au siyo?Swali la kujiuliza ni je, mama analikimbia kundi lililompigania? Kwann?
Umejipa mamlaka makubwa sana usiyo kuwa na uwezo nayo. Huu "ukweli" unao ushikilia wewe, ni mungu ndiye kakukabidhi ukweli huo ili uje huku kuusambaza kwa waliomo JF?CCM kama ilivyo hahitaji hizo siasa za Kikanda. Kama ilivyo, SSH ni mgombea, kama ilivyo keshapita na kwa matokeo ya 2020 hakuna wa kubadilisha matokeo 2025 na huo ndio Ukweli.