Je, mama analikimbia kundi lililompigania kuhakikisha anakikalia kiti? Kwann?

Je, mama analikimbia kundi lililompigania kuhakikisha anakikalia kiti? Kwann?

Sote tuzikumbuka tetesi na minong'ono iliyokuwa imezagaa mara tu baada ya kifo cha Magufuli. Tetesi zilidai kundi la watu watiifu kwa Magufuli hawakutaka mama akikalie kiti hicho. Walifanya kila liwezekanalo ili waweke mtu wao.

Ikatokea kundi la "wenye nchi" likawa na akili kubwa na ushawishi mkubwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama wakakakomaa na kuhakikisha mama anakalia kiti.
Kufuatia kadhia hiyo, tuziona watu wengi waliokuwa watiifu kwa Magufuli wakionja joto ya jiwe baada ya mama kukikalia kiti. Akina Bashiru, Polepole, Ndugai, Lukuvi, Kabudi, Hapi, Sabaya, n.k waliondolewa kwenye nyadhifa zao ili wasiwe karibu na sinia la mema ya nchi.

Lkn sasa tunaona mwelekeo wa mama ni kulisogeza kundi la mwendazake taratibu kwenye sinia la mema ya nchi. Uteuzi wa Makonda, Biteko na Mnyeti unathibitisha haya.

Swali la kujiuliza ni je, mama analikimbia kundi lililompigania? Kwann?
Kazi imeanza
 
Sote tuzikumbuka tetesi na minong'ono iliyokuwa imezagaa mara tu baada ya kifo cha Magufuli. Tetesi zilidai kundi la watu watiifu kwa Magufuli hawakutaka mama akikalie kiti hicho. Walifanya kila liwezekanalo ili waweke mtu wao.

Ikatokea kundi la "wenye nchi" likawa na akili kubwa na ushawishi mkubwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama wakakakomaa na kuhakikisha mama anakalia kiti.
Kufuatia kadhia hiyo, tuziona watu wengi waliokuwa watiifu kwa Magufuli wakionja joto ya jiwe baada ya mama kukikalia kiti. Akina Bashiru, Polepole, Ndugai, Lukuvi, Kabudi, Hapi, Sabaya, n.k waliondolewa kwenye nyadhifa zao ili wasiwe karibu na sinia la mema ya nchi.

Lkn sasa tunaona mwelekeo wa mama ni kulisogeza kundi la mwendazake taratibu kwenye sinia la mema ya nchi. Uteuzi wa Makonda, Biteko na Mnyeti unathibitisha haya.

Swali la kujiuliza ni je, mama analikimbia kundi lililompigania? Kwann?
Something is cooking 🍳 !
Ngoja Tusubiri tuone !
Nadhani aliyoyasema RC Chalamila alipokuwa Kagera yalikuwa na ukweli !
Lakini pia inawezekana imeonekana Chaguzi zinazokuja ni lazima watembelee nyota ya Mwendazake !!
Time will tell !
 
Kukujibu tu na siasa zakonza Uhasama uhasama, ni Hivi

SSH kama Amri Jeshi, hahitaji kukimbilia au kujificha kwenye kundi lelote lile and especially lililojaa mawakala na vibaraka wa Nje, haswa hilo unalodai, lilimpigania.

Anahitaji kuwepo nyuma ya Watanzania wanaohitaji ulinzi wakati wanapohitaji ulinzi wa Rasilimali zao.

Wacha kuendekeza Ukoloni mamboleo.
Na huo ndio ukweli !
 
Na hilo kundi la pili, pamoja na kwamba hutaja ni la akina nani hasa (akina Kikwete na genge lake zima, akina Roast?); wakati huu wakiwekwa pembeni, ili kundi la mahasimu wao lipambane kumrudisha mtu wao. Kwa hiyo wanajua wamepewa likizo tu, mambo yatakapokuwa sawa, mama akirudishwa madarakani wanarudi kwa kasi mpya zaidi?
Kikwete & Co wametumia akili kubwa
 
Binafsis
Naamini nyuma ya mama kuna watu wazito hasa wa kimkakati walioamua kuyaua haya makundi mawili msoga na sukuma gang.

Mama anaenda kuyazika haya makundi rasmi. Namaanisha hivi haya makundi yanaenda kufa.Mbinu inayotumika pamoja na akili ni za hali ya juu mno! Naona kuna ujasusi humu!
Binafsi CCM ilianza kunitoka moyoni baada ya kifo Cha magufuli na yale matamshi ya Nape kuwa CCM inawenyewe.
 
Ok. Huyu Bashite bila shaka ni miongoni japo publicly anajifanya yuko kwa jiwe

..pale kaburini kaenda kumtafutia Maza kura.

..sasa hivi Bashite ataenda kuwapiga kampeni Nape na January watu ambao alikuwa akiwadukua kipindi Jiwe yuko madarakani.
 
Sote tunazikumbuka tetesi na minong'ono iliyokuwa imezagaa mara tu baada ya kifo cha Magufuli. Tetesi zilidai kundi la watu watiifu kwa Magufuli hawakutaka mama akikalie kiti hicho. Walifanya kila liwezekanalo ili waweke mtu wao.

Ikatokea kundi la "wenye nchi" likawa na akili kubwa na ushawishi mkubwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama wakakakomaa na kuhakikisha mama anakalia kiti.
Kufuatia kadhia hiyo, tuliona watu wengi waliokuwa watiifu kwa Magufuli wakionja joto ya jiwe baada ya mama kukikalia kiti. Akina Bashiru, Polepole, Ndugai, Lukuvi, Kabudi, Hapi, Sabaya, n.k waliondolewa kwenye nyadhifa zao ili wasiwe karibu na sinia la mema ya nchi.

Lkn sasa tunaona mwelekeo wa mama ni kulisogeza kundi la mwendazake taratibu kwenye sinia la mema ya nchi. Uteuzi wa Makonda, Biteko na Mnyeti unathibitisha haya.

Swali la kujiuliza ni je, mama analikimbia kundi lililompigania? Kwann?
Hakuna aliyemuweka Samia pale zaidi ya Katiba acha kupoteza muda….
 
Naamini nyuma ya mama kuna watu wazito hasa wa kimkakati walioamua kuyaua haya makundi mawili msoga na sukuma gang.

Mama anaenda kuyazika haya makundi rasmi. Namaanisha hivi haya makundi yanaenda kufa.Mbinu inayotumika pamoja na akili ni za hali ya juu mno! Naona kuna ujasusi humu!
Mkuu, nina mawazo tofauti kidogo na haya.

Wapo watu walioonekana ni miamba sana kwenye kudhibiti kundi la wezi, wabadhirifu na mafisadi, ambalo kundi hilo lina uenyekiti wa Msoga clan. Inaonekana Msoga clan ili-mobilize potentials wote wa michezo michafu kisiasa na kwenye mali za umma.

Sasa, kudhibiti moves zao na kuhakikisha M/kiti wao anaendelea kuwa na nguvu hata kama hana dola tena, kumbuka haya;
  • Kuondolewa kwa Mkapa kwenye shughuli za kichama na kitaifa(baraza la wazee likaundwa)
  • Kuondolewa kwa akina Mangula, ikasaidia kupitishwa kwa mgombea wao enzi zile.

Uchaguzi wa pili wa chama, watu walishajipanga kumpiga chini mwenyekiti, mbinu ya kura za wazi ikatumika ukumbini...Ahmada akiwa chakari siku hio
  • Mangula akarudishwa kumdhibiti Mzee wa Loliondo, hii ni baada ya kuona Msoga clan haitaweza, kwanza ni wa kwao, anawajua vizuri, pili hawana usafi huo na tatu, walishammwaga kwenye UTENDAJI MKUU.
  • Mangula akarudishwa, azuie mwana clan huyo aliyeonekana msaliti, na hasa baada ya kuwa na Jasusi aliyesaidia kuchora ramani ya M/kiti kuingia magogoni sio?

Stori ijajirudia katika kuwadhibiti akina Membe, mambo yalipoonekana kugonga mwamba, Ben akatumia sauti ya mamlaka kuwadhibiti wote(Msoga clan na waasi wao), na usukani akapatiwa Jiwe.

Jiwe akarudisha timu against Msoga kwenye wheel, kisha akaanza kukata mizizi iliyoshindikana kwenye chama na kuhakikisha ile CHAMA KINA WENYEWE, inakufilia mbali. Kelele zikawa nyingi, akaanza kupewa majina mabaya ILI lile neno litimie, UKITAKA KUMUUA PAKA, MPE JINA BAYA(Paka shume, Jizi la mboga n.k)

Bi Tozo, akdhani atapendwa kurudisha Msoga clan usukanini, lakini sasa amegundua, ndani ya Msoga hakuna u-loyal, ni USULTANI, kama hujawahi kuwa na jina, huwezi kutoboa; zaidi ni ubinafsi mkubwa ambao haumpi nafasi ya kutoboa ila kupingwa zaidi.

Unadhani ni timu gani ilionesha utii kwa kiongozi wao bila unafiki?
- Kiongozi hayupo, wao bado wapo upande ule ule.

Haudhani kuwa kinachofanyika sasa ni kutaka kutumia mbinu ile ile ya kudhibiti Msoga clan kwa kutumia Sukuma gang?
- Hauhisi kuwa ni ubinafsi wa bi tozo kutaka kuwatumia na kuwamwaga baada tu ya kuapishwa tena?


Mwisho, mtu mmoja, kwa mujibu wa katiba, anaruhusiwa kushika vipindi viwili vya miaka mitano mitano kama raisi wa nchi.
  • Mgombea na Mgombea mwenza, wote ni wagombea na wanabanwa na sheria hiyo?
  • Makamu wa raisi akijiuzulu, raisi atabaki madarakani?

Kama raisi na makamu wake wanachaguliwa kwa pamoja, wote wana serve term mbili tu.
  • Bi tozo keshamaliza term moja akiwa makamu
  • Bi tozo anamalizia term ya pili kwa capacity ya uraisi kamili.

Bi tozo anaruhusiwa kugombea term ya tatu tena?

Katiba inasemaje kuhusu hilo?
 
Ok. Huyu Bashite bila shaka ni miongoni japo publicly anajifanya yuko kwa jiwe
Hawa Vijana wanaangalia upepo unavuma wapi , ukielekea kusini na wenyewe wanaelekea kusini. Hawa bado wachanga kisiasa, battle za makundi zitazima ndoto zao kisiasa. So inabidi kubadilika tu Kama kinyonga.
 
Back
Top Bottom