Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awamu hii ya tano "B" tutamaliza tukiwa tumechoka sanaHon. Hakainde Hichilema tungempata huku kwetu na hizi rasmali zote tulizo nazo tungekuwa mbali, achana na huyu anayewasogeza na kuwakumbatia mafisadi na kuwasahau wananchi wa hali ya chini.
Juzi naona Hon. Paul Kagame kaenda kumtembelea na watasaini mikataba zaidi ya nane kwa manufaa ya nchi zao.
Yaani mpaka Hon. Paul Kagame ameenda kumtembelea jua ya kwamba Hon. Hakainde ni level nyingine kwenye kutumia akili yake aliyojaliwa na Mungu, huyu wetu kutwa nzima kushinda kwenye vioo kupaka picco.
Magufuli angeweza ila huyu msaidizi wa JK sidhani na hana hiyo daliliRais wa Zambia Mheshimiwa Hakainde Hichilema hajapokea Mshahara wake kutokana na hali Ngumu ya Kiuchumi kwa Miezi Nane iliyopita tokea aingie Madarakani.
Chanzo: Radio One Taarifa ya Habari Asubuhi hii.
Je, unadhani na Marais wengine unaowajua Weww hapa Barani Afrika wangekuwa na Uthubutu huu wa Kizalendo kabisa kama alionao huyu Rais wa Zambia?
Kuna Mmoja tu ninamjua asingekubali.
Hivi unashangaa posho kuzidi mshara kwa mwezi?Au ndio hutumii vema akili zako ulizopewa bure na Mwenyezi Mungu?Kulipwa Posho nyingi ni Ufisadi? Kwani hizo Posho anazolipwa hazipo Kisheria? Na je, amejitungia Yeye? Posho huwa zinazidi Mishahara?
Jamani sometimes tujaribu kutumia vyema Akili zetu tulizopewa bure na Mwenyezi Mungu kwa Kufikiri vyema tuwapo hapa Jamiiforums sawa?
Mwendazake vipiRais wa Zambia Mheshimiwa Hakainde Hichilema hajapokea Mshahara wake kutokana na hali Ngumu ya Kiuchumi kwa Miezi Nane iliyopita tokea aingie Madarakani.
Chanzo: Radio One Taarifa ya Habari Asubuhi hii.
Je, unadhani na Marais wengine unaowajua Weww hapa Barani Afrika wangekuwa na Uthubutu huu wa Kizalendo kabisa kama alionao huyu Rais wa Zambia?
Kuna Mmoja tu ninamjua asingekubali.
Ninasikia yupo ila anajinadi kwa jinsia dhaifu. Ngoja nami niulize kama yupoHivi nchini Kwenu sasa hivi kuna Rais?
Huyu Rais wa Zambia alikwisha tengeneza fedha nyingi hivyo hakuwa masikini alipoingia Ikulu ; ndio maana haja chukua mshahara toka aingie Ikulu!Kwa Posho au hili ulikuwa hulijui Mkuu?
Huyu ni mfanyabiashara mkubwa sana Zambia pia na Ukwasi wakutosha... Miaka yote anagombea Urais lengo lake kubwa kuja kuwaletea wananchi maendeleo na sio kuiba.. Msabato ayeiva na Mzalendo kwelikweli.......Rais wa Zambia Mheshimiwa Hakainde Hichilema hajapokea Mshahara wake kutokana na hali Ngumu ya Kiuchumi kwa Miezi Nane iliyopita tokea aingie Madarakani.
Chanzo: Radio One Taarifa ya Habari Asubuhi hii.
Je, unadhani na Marais wengine unaowajua Weww hapa Barani Afrika wangekuwa na Uthubutu huu wa Kizalendo kabisa kama alionao huyu Rais wa Zambia?
Kuna Mmoja tu ninamjua asingekubali.
Tufanye nao mazungumzo watupe sisi nasi tuwape huyuHon. Hakainde Hichilema tungempata huku kwetu na hizi rasmali zote tulizo nazo tungekuwa mbali, achana na huyu anayewasogeza na kuwakumbatia mafisadi na kuwasahau wananchi wa hali ya chini.
Juzi naona Hon. Paul Kagame kaenda kumtembelea na watasaini mikataba zaidi ya nane kwa manufaa ya nchi zao.
Yaani mpaka Hon. Paul Kagame ameenda kumtembelea jua ya kwamba Hon. Hakainde ni level nyingine kwenye kutumia akili yake aliyojaliwa na Mungu, huyu wetu kutwa nzima kushinda kwenye vioo kupaka picco.
Ni mfanyabiashara,, ye Trump ali saini kabisa kuwa hatachukua mshaharaInabidi achunguzwe na aondolewe madarakani. Anaishije?
I hate Kagam, coz n miongoni mwa waizi wa Mali za DrcHon. Hakainde Hichilema tungempata huku kwetu na hizi rasmali zote tulizo nazo tungekuwa mbali, achana na huyu anayewasogeza na kuwakumbatia mafisadi na kuwasahau wananchi wa hali ya chini.
Juzi naona Hon. Paul Kagame kaenda kumtembelea na watasaini mikataba zaidi ya nane kwa manufaa ya nchi zao.
Yaani mpaka Hon. Paul Kagame ameenda kumtembelea jua ya kwamba Hon. Hakainde ni level nyingine kwenye kutumia akili yake aliyojaliwa na Mungu, huyu wetu kutwa nzima kushinda kwenye vioo kupaka picco.
Ni kama Hayati Dr Magufuli alivyomtumbua mkurugenzi wa TIC, yule mwanadada/mama ambaye alikataa pay kuwa ni ndogo na kuendelea kufanya kazi na kuishi vizuri!!Inabidi achunguzwe na aondolewe madarakani. Anaishije?
Lakini labda malupulupu yake yana mtosha kabisa, hivyo anaishi kwa malupulupu.Inabidi achunguzwe na aondolewe madarakani. Anaishije?
Hata hapa kwetu wanaweza tu kwani marupurupu na posho zinathamani kubwa kuliko hata huo mshahara wenyewe. Kwa hali ya sasa basically mtu mzima mmoja anaweza kutumia kati ya laki na nusu mpaka laki mbili kwa mwezi mzima kutimiza milo ya siku.Rais wa Zambia Mheshimiwa Hakainde Hichilema hajapokea Mshahara wake kutokana na hali Ngumu ya Kiuchumi kwa Miezi Nane iliyopita tokea aingie Madarakani.
Chanzo: Radio One Taarifa ya Habari Asubuhi hii.
Je, unadhani na Marais wengine unaowajua Weww hapa Barani Afrika wangekuwa na Uthubutu huu wa Kizalendo kabisa kama alionao huyu Rais wa Zambia?
Kuna Mmoja tu ninamjua asingekubali.
Muda huo huo hapa nyumbani
Serikali yetu ipo busy kuhakikisha kuwa maisha ya Mtanzania yanakua magumu kila siku.
Kwanza walibadili bei ya kuunganishwa umeme toka elfu 27 mpaka laki tatu. Zanzibar imebakia ile ile.
Pili wakawafukuza kila mahali wamachinga. Zanzibar wameboreshewa vitambulisho vyao ili wakopesheke.
Tatu wakaondoa kiasi cha shs mia kwenye mafuta na kuirejesha tena kipindi ambacho bei ya mafuta imepanda. Hapa ukali wa bei umeongezeka mara mbili.
Nne hakuna mradi hata mmoja wa kimkakati uliokamilika wala hakuna jitihada za wazi na za dhati kuhakikisha inakamilika.
Tano ongezeko la mikopo isiyokuwa na tija inayopelekwa katika miradi ambayo haileti faida.
Sita kuanzishwa kwa tozo juu ya kodi jambo linalofanya mwananchi alipe kodi mara mbili kwa huduma moja.
Unabaki kujiuliza nia halisi ya serikali hii ni nini??
Je kuna jambo sisi wananchi tumeikosea serikali hii??
Mshahara wake ni asilimia ngapi ya matumizi ya serikali kwa mwaka?Rais wa Zambia Mheshimiwa Hakainde Hichilema hajapokea Mshahara wake kutokana na hali Ngumu ya Kiuchumi kwa Miezi Nane iliyopita tokea aingie Madarakani.
Chanzo: Radio One Taarifa ya Habari Asubuhi hii.
Je, unadhani na Marais wengine unaowajua Weww hapa Barani Afrika wangekuwa na Uthubutu huu wa Kizalendo kabisa kama alionao huyu Rais wa Zambia?
Kuna Mmoja tu ninamjua asingekubali.