Je, Marais wengine wa Afrika Wana aina hii ya 'Uzalendo' aliyonayo Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema?

Hiv mishahara ni nini Kwa Rais Ndugu, hta asipolipwa anaweza kujichotea pesa atakavyo tena Kwa nchi za kiafrika, ambapo Htuna mifumo Thabiti. Bora achukue hpo Ndo analeta maswali mengi.
 
Najua, ila tafsiri yake analipwa posho nyingi kuliko mshahara na huo ni ufisadi.
Mkuu haujui!
Raisi hatumii mshahara ama posho zake kujigharamia kwa chochote ukijuacho wewe hapa duniani.

Maneno ya Rais yanaumba kama ya mwenyezi Mungu, akitaka hichi kiwe na kinakuwa atakavyo!

Makazi, usafiri, kula na kuvaa ambayo ndiyo mahitaji muhimu binadamu anasotea, kwake ni bure.

Rais hanuniwi, kila akutananaye naye kila siku na muda wote ni tabasamu la upendo ama la bandia!

Rais hakurupushwi ama kupigiwa hodi,mpaka ajiamkie mwenyewe kwa muda wake atakao.

Mema yote hayo hupungua kidogo sana anapostaafu na mengi takribani yote hubakia kama yalivyo, yaani mishahara, posho, ulinzi, usafiri, makazi pamoja na mambo mengine ya muhimu!

Unadhani kwa nini maRais wengi hawapendi kutoka madarakani?
 
Usiwaamini marais wa africa ,hawana uwezo wa kuwa na moyo huo
 
Huyu si ndiye mfanya biashara?
 
Siasa ni game of mind, namna ya kucontrol wafuasi wako kisaikolojia.
Rais toka siku ameapishwa hajui makali ya mfumuko wa bei, watu wanavyopata shida ya usalama wa maisha yao, namna ya kujibana kuendana na kipato etc etc. Hapo mpaka kijijini kwake kama amejenga atawekewa ulinzi.
Kipimo chake ni unafuu wa maisha ya wazambia na namna nchi ilivyosogea katika nyanja zote toka kuapishwa, hizo sarakasi asizitumie kama mwenzake yule.
 
Kwa Posho au hili ulikuwa hulijui Mkuu?
Posho zinatoka wapi, kama sio kodi? Ndio kusema kaamua kuwapunguzia mzigo raia wake? Sioni kama ni uzalendo, ni uamuzi tu.
 
Hakuna mwingine ni yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…