Je, marehemu Dr. Malecela alikuwa na mahusiano gani na Mange Kimambi?

Kwa hiyo mwele hakuwahi kuolewa ama aliolewa akaachika akawa mchepuko wa huyo mzee kimambi?
 
Wakati Kimambi darasa la saba….maisha haya😂
 
Vipi Dr mwele ameacha watoto??
 
Eleza kinagaubaga. Acha kututisha
 
One, these are minor issues to occupy my time and mind; and lastly I can say for sure naweza hata kumzaa baba yako/mama yako! Sitanii! na wala siyo nimekutukana, hapana, nasema ukweli wa umri wangi. 1961 NILIKUWA NA AKILI ZANGU TUNAPATA UHURU IN STD 6!. WASEMAJE? FUTA NENO DOGO BASI!
 
Nimesoma mahali flan kuwa Dr.Mwele aliolewa na Mzee Kimambi ambaye ni Baba yake Mange kwahiyo alikuwa ni Step Mom wake.


Mhhh hakuolewa alikua girlfriend wa muda mfupi na Alimpenda na kumlea Mange jinsi alivyo naamisha ukorofi
 
Pia Mange anapenda watu wenye majina makubwa, ilikuwa fahari kwake kuwa mtoto wa Mwele.


Upo sahii kabisa Mange alimkana Mama yake Mzazi anakaa Tandika maswekeni akajipenyeza kwa Mwele Kua ndio mama Yake wakati Mwele alikua ni Mchepuko wa baba yake


Mange Hakutaka watu wamjue Mama yake mzazi alikua anamficha Ficha Yule mama kwa sababu ya umaskini japo alishaanza Kua na kipato mama yake akiwa bado hajafariki.

Naona alikuja kugundua Kua mama ni Mama when it was too late akakosa Baraka za mama yake
 
Mbona Mange alishawahi kusema mama yake ni Mmakonde? Hata picha aliionyesha nafikiri Anne Kilango ni Mparea ama?
Anna kilango ni mke wa pili baada ya mama Yao dr mwele kufariki
 
Kama ni mama ake au sio .nyinyi inawahusu vipi acheni umbea Fanyeni kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…