Je, marehemu Dr. Malecela alikuwa na mahusiano gani na Mange Kimambi?

Kheeeeh kumbe duuuuh.
 
Mangereza ni mtoto wa mke wa kwanza wa kimambi, huyu mama aliitwa Asha Hamisi, mmakonde, bi Asha alimzaa Mange akiwa anafanya kazi chuo cha usafirishaji kama Katibu muktasi
Sasa ndo alikua maskini kweli, kias cha Mange kumficha? Mmmmmh
 
Kama ni hivyo mbona alishindwa kesi ya mirathi na mke wa mzee.
Na angekua wa halali asingeacha kuandika historia yake hii mnayoipamba mitandaoni.
Check source yako ya habari tena vizuri,Mange hakuwahi kushindwa kesi ya mirathi,unless unamwongelea mtu mwingine.Mbona aliweka wazi tu enzi za u turn matokeo ya ile kesi na akamshukuru sana yule wakili maarufu wa kesi za mirathi Mama Tenga kama sijakosea na akawashauri watu wenye shida za mirathi kumtumia yule Advocate 😂
 
Hiyo ni miaka gani mkuu?
 
Ila wapare wana roho ngumu jamani eeh Mungu niepushie[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kama ni hivyo mbona alishindwa kesi ya mirathi na mke wa mzee.
Na angekua wa halali asingeacha kuandika historia yake hii mnayoipamba mitandaoni.
[emoji2936][emoji2936][emoji2936][emoji2936]

Asee kweli[emoji848]
 
Ndio maana marehem jpm alikuwa na hasira na Dr sna anajuwa kbsa kuwa anampa mange data za serekali
 
It seem u know much VIP Ni kweli mzee kimambe alifumuliwa marinda yake au Ni uzushi tu na Ni kwann wamfumue marinda yake tell us the story
 
Duuh umenikumbusha enzi za U-turn
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…