Je, Maria Sarungi atathubutu kuingia Tanzania kumzika Baba yake?

Je, Maria Sarungi atathubutu kuingia Tanzania kumzika Baba yake?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Maria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.

Je, kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?

Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii.

Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.

Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.
 
Maria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.

Je kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?

Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii. Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.

Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.
Yaani mnamkomesha Mzee kwa mambo ya mwanawe?
 
Maria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.

Je kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?

Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii. Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.

Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.
Kama ukosoaji wake haukuwa unavunja katiba kama dada wa taifa, atakuja
 
Watampa vikesi vya kishenzi kama walivyomtesa Dr Slaa.
Baada ya kumtesa miezi 2 anaachiwa kwa "nolle prosequi"
1741209867628.png
 
Kwa wakristo mazishi sio jambo la maana. So kama anahofia usalama wake akitua bongo asiende tu.

Yesu alimwambia Mwanafunzi wake acha wafu wazike wafu wenzao.

Mtu akishakufa ndo imeisha iyo. Mengine mbwembwe tu!
Hata Mchengerwa bila shaka hajamzika babaye
 
Back
Top Bottom