HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kwani zikisikika unadhani zinaweza badili maamuzi ya wajinga?Anaweza kuingia, wakimgusa tu jumuiya za kimataifa zitasikika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani zikisikika unadhani zinaweza badili maamuzi ya wajinga?Anaweza kuingia, wakimgusa tu jumuiya za kimataifa zitasikika
aliwahi kuandika X kama sikosei kuwa account zake za TZ zilikuwa suspended zikiwa na zaidi ya 100m pia kuna hotel ya familia nadhani mbezi beach ilizuiwa ikidaiwa kuwa haijalipa kodi mda mrefu (nadhani kitu kama hicho maana nilisoma mda kidogo)Mali gani za Kimambi zimeny’a ng’anywa? Mbona mama yake wa kambo Mange na ndugu zake wapo bongo wanadunda !
aliwahi kuandika X kama sikosei kuwa account zake za TZ zilikuwa suspended zikiwa na zaidi ya 100m pia kuna hotel ya familia nadhani mbezi beach ilizuiwa ikidaiwa kuwa haijalipa kodi mda mrefu (nadhani kitu kama hicho maana nilisoma mda kidogo)Mali gani za Kimambi zimeny’a ng’anywa? Mbona mama yake wa kambo Mange na ndugu zake wapo bongo wanadunda !
Sijui Habari za bank account zake lakini Tiger Motel bado ipo na watu wanafanya biashara!aliwahi kuandika X kama sikosei kuwa account zake za TZ zilikuwa suspended zikiwa na zaidi ya 100m pia kuna hotel ya familia nadhani mbezi beach ilizuiwa ikidaiwa kuwa haijalipa kodi mda mrefu (nadhani kitu kama hicho maana nilisoma mda kidogo)
sawa nimekupata early this year aliweka article moja ndefu kule X akizungumzia hilo hadi kukutana na abdul us.Sijui Habari za bank account zake lakini Tiger Motel bado ipo na watu wanafanya biashara!
Wa kufanya nini mkuuWala hakuna ulazima wowote
Mkuu upo kijiji gani?Kama ana uhalifu alifanya Sheria lazima ichukue mkondo.
Kwani Kuna wakosoaji wangapi na tunawaona uraiani tu
Maria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.
Je, kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?
Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii.
Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.
Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.
Nimepitia kidogo account za wakubwa wa sirikali ya CCM sijaona pole hata moja. Halafu eti tunadai tupo mwezi mtukufu/Kwaresma. Binafsi nilitambuaga kitambo tu , haya mambo ya imani sisi waafrika tunafanya kama maigizo ya Mhogomchungu.Maria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.
Je, kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?
Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii.
Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.
Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.
Yaani mnamkomesha Mzee kwa mambo ya mwanawe?
Makonda ni RC wa ARUSHA, MUSIBA yupo uraiyan na Sabaya yupo nje na baba yake ni mkiti wa ccm ArushaMange aliwahi kulalamika kuwa hadi mali za familia zimenyang'anywa kwa sababu ya yeye kutofautiana na serikali
Nini Maria ata Mange anaweza kuja kuzikaMaria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.
Je, kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?
Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii.
Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.
Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.
Wewe ndiye mpotoshaji mkubwa na kama unajua hayo yaache na unafiki wake.hakuna haja kupotosha mambo bayana gentleman,
hakuna ufahari msibani![]()
upotoshaji ni muhimu kurekebishwa kabla ya kuaminika gentleman 🐒Wewe ndiye mpotoshaji mkubwa na kama unajua hayo yaache na unafiki wake.