Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena baba yake Mchengerwa ; mzazi mwenzie Samia kafia Mecca!!Hata Mchengerwa bila shaka hajamzika babaye
Kwamba Maria ni mkimbizi? Familia ya Sarungi wamewahi kulalamika kuwa wamekosa fedha?Maria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.
Je kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?
Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii. Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.
Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.
CCM ni mashetani tupu mkuuWote tutakifa tu,tusijivunie vyeo vitapita ,lakini hili la kutokutoa pole kwa familia ukimya wao si afya kwa kada wao ccm huyu Mzee du hatari
Yaani mnamkomesha Mzee kwa mambo ya mwanawe?
acha upotoshaji gentleman,Maria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.
Je kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?
Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii. Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.
Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.
UKiwa kaburini jumuia ya kimataifa itarudisha uhai wako?Anaweza kuingia, wakimgusa tu jumuiya za kimataifa zitasikika
Maria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.
Je kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?
Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii. Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.
Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.
Hapana usiseme hivyo atkuja kumzika live baba yakeAtamzikia Twitter
Mtu akisha kufariki kinachotakiwa kufanywa ni azikwe tu kwa taratibu za dini yake au mila yake !Wala hakuna ulazima wowote
kwani kaburi haliwezi kuchimbika bila yeye,na mzee akazikwa hayo ni mambo ya familia,maria aendelee kumtwanga chura kiziwiMaria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.
Je kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?
Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii. Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.
Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.
atakuja na hamtamfanya chochote. kwani amefanya kosa gani?Maria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.
Je kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?
Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii. Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.
Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.
Hakuna mtu anaemtafuta Maria labda kama aligombana na majirani zake sawa, ila kwa upande wa serekali kama wangekua wanamtafuta hata hapo Nairobi anapoishi siyo sehemu salama kwake wangeshampata tu
Kila kitu kwako ni upotoshaji ila yakwako yaupotoshaji huyaoni.acha upotoshaji gentleman,
mzee ameumaliza mwendo na atazikwa kwa heshima kwasababu nae alikua na heshima kwa watu wote alofanya nao kazi kwa nyakati tofauti tofauti nchini,
hakuna haja ya kujieleza sana mitandaoni hali ya kua kwake panafikika kirahisi hapo masaki na viongozi mbalimbali wamekuako hapo na wataendelea kuako mpaka atakapopumzishwa kwenye nyumba yake ya milele kulingana na ratiba ya familia.
huyo mwanae akija Tz au hata asipokuja kumzika babayake ni uhuru na uamuzi wake binafsi, hakuna wa kubabaika nae kwasababu si muhimu pia
R.I.P Phillemon
Maria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.
Je kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?
Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii. Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.
Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.
Maria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.
Je kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?
Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii. Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.
Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.
Swali la kisnitch
hakuna haja kupotosha mambo bayana gentleman,Kila kitu kwako ni upotoshaji ila yakwako yaupotoshaji huyaoni.

Ana kesi gani mahakamani, jinai murder au madai. Au ni mkimbizi wa kisiasa.Maria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.
Je kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?
Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii. Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.
Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.