Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Wanamsubiri kwa hamu,maria ni mganga njaaHapana usiseme hivyo atkuja kumzika live baba yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamsubiri kwa hamu,maria ni mganga njaaHapana usiseme hivyo atkuja kumzika live baba yake
Akija TZ lazima waruke naye ni bora ashiriki online tu.Maria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.
Je, kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?
Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii.
Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.
Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.
Basi uache upotoshaji unaoufanya kama unayajua hayo kuwafanyia wengine.upotoshaji ni muhimu kurekebishwa kabla ya kuaminika gentleman 🐒
Kama hawakumpa support kwa sababu ya ukosoaji wa binti yake basi viongozi hatuna. Utamhukumuje baba kwa kuwa na mawazo tofauti na mtoto wake?Maria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.
Je, kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?
Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii.
Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.
Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.
Sio Chadema itakayopiga kelele bali jumuiya za kimataifa! Ahahahahaha!!!Anaweza kuingia, wakimgusa tu jumuiya za kimataifa zitasikika
Si walienda juzi na wakamshindwa?Hakuna mtu anaemtafuta Maria labda kama aligombana na majirani zake sawa, ila kwa upande wa serekali kama wangekua wanamtafuta hata hapo Nairobi anapoishi siyo sehemu salama kwake wangeshampata tu
gentleman,Basi uache upotoshaji unaoufanya kama unayajua hayo kuwafanyia wengine.
Kama sehemu ya elimu ya uraia ungesaidia kuelimisha namna ya kuikosoa serikali kwa laughs oligosacharydy na stara, tofauti na anavyofanya MariaMaria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.
Je, kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?
Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii.
Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.
Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.
Maria Sarungi ni mkosoaji wa muda mrefu wa juhudi za chama na serikali iliyopo madarakani. Ni mwasisi wa mijadala mikali ya X toka kipindi cha JPM.
Je, kwa ukosoaji huo anaoufanya akiwa nje ataweza kuingia Tanzania kuja kushiriki mazishi ya baba yake aliyefariki leo?
Nauliza kwa sababu hadi muda huu hakuna kiongozi wa Serikali aliyetoa pole kwa familia hii adharani au kuandika kwenye mitandao ya kijamii.
Tukumbuke Prof Sarungi ni kiongozi mahiri na mwana CCM ila miaka ya hivi karibuni amekosa support kutokana na namna binti yake anavyoikosoa Serikali tena akitumia lugha isiyo na stara.
Pole familia ya Prof Sarungi kwa msiba huu mkubwa.
Lakini mnatakiwa kujiuliza kwanini watu wanaogopa wakati hawana hata kesi!. Kama hamuoni hilo ni tatizo basi matatizo yako kwenu. Nyani haoni kundulegentleman,
hayati Mzee Philemon pamoja na mdogo wake alieaga dunia huko kanda ya ziwa watazikwa kwa salama na amani bila mbambamba za kibaraka yeyeyote wa mabwenyenye ya magharibi kuleta umbea wake msibani 🐒
Mali zipi, wakati mzee wao kaacha wameshafirisiwaMange aliwahi kulalamika kuwa hadi mali za familia zimenyang'anywa kwa sababu ya yeye kutofautiana na serikali
Gentleman,Lakini mnatakiwa kujiuliza kwanini watu wanaogopa wakati hawana hata kesi!. Kama hamuoni hilo ni tatizo basi matatizo yako kwenu. Nyani haoni kundule
Gentleman,
kila mtu inafaa aubebe msalaba aliojitengenezea mwenyewe, kujistukia sio tatizo la wengine ni lako mwenyewe,
hakuna haja ya kubabaika na umbea wa mwingine msibani. Mtu amefariki, anazikwa na maisha mengine yanaendelea, hakunaga mbambamba ya matazito binafsi ya mtu mwingine kujadiliwa msibani kwa mwingine 🐒
vyovyote itakavyo kua but hakuna wa kubabaika na na mabingwa wa maisha msibani 🐒Mwenzangu upo kazini. Kazi ya uchawa