Je, Maria Sarungi atathubutu kuingia Tanzania kumzika Baba yake?

Mali gani za Kimambi zimeny’a ng’anywa? Mbona mama yake wa kambo Mange na ndugu zake wapo bongo wanadunda !
aliwahi kuandika X kama sikosei kuwa account zake za TZ zilikuwa suspended zikiwa na zaidi ya 100m pia kuna hotel ya familia nadhani mbezi beach ilizuiwa ikidaiwa kuwa haijalipa kodi mda mrefu (nadhani kitu kama hicho maana nilisoma mda kidogo)
 
Mali gani za Kimambi zimeny’a ng’anywa? Mbona mama yake wa kambo Mange na ndugu zake wapo bongo wanadunda !
aliwahi kuandika X kama sikosei kuwa account zake za TZ zilikuwa suspended zikiwa na zaidi ya 100m pia kuna hotel ya familia nadhani mbezi beach ilizuiwa ikidaiwa kuwa haijalipa kodi mda mrefu (nadhani kitu kama hicho maana nilisoma mda kidogo)
 
Kama ana uhalifu alifanya Sheria lazima ichukue mkondo.
Kwani Kuna wakosoaji wangapi na tunawaona uraiani tu
 
aliwahi kuandika X kama sikosei kuwa account zake za TZ zilikuwa suspended zikiwa na zaidi ya 100m pia kuna hotel ya familia nadhani mbezi beach ilizuiwa ikidaiwa kuwa haijalipa kodi mda mrefu (nadhani kitu kama hicho maana nilisoma mda kidogo)
Sijui Habari za bank account zake lakini Tiger Motel bado ipo na watu wanafanya biashara!
 
Sijui Habari za bank account zake lakini Tiger Motel bado ipo na watu wanafanya biashara!
sawa nimekupata early this year aliweka article moja ndefu kule X akizungumzia hilo hadi kukutana na abdul us.
 
Tofauti za Maria na baba yake zinawezaje kuzuia baba yake hasipewe mazishi ya kitaifa kama waziri mstaafu wa serikali ya awamu ya 3 na 4
Ccm hacheni chuki mnaharibu hii nchi ya Amani
 

Kuikosoa Serikali siyo uhalifu, kuikosoa Serikali siyo uhaini. Maria Sarungi siyo mhalifu na kamwe hawezi kuwa mhalifu kwa Kitendo cha yeye kuikosoa Serikali iliyopo madarakani. Maria Sarungi ni mzalendo kwa Nchi yake, ndio maana unaona kwamba amekuwa akitoa maoni yake kinzani pale anapoona Watawala waliopo hawafanyi Kama vile inavyopaaswa.
 
Nimepitia kidogo account za wakubwa wa sirikali ya CCM sijaona pole hata moja. Halafu eti tunadai tupo mwezi mtukufu/Kwaresma. Binafsi nilitambuaga kitambo tu , haya mambo ya imani sisi waafrika tunafanya kama maigizo ya Mhogomchungu.
 
Atakuna akimaliza anakimbilia ubarozini ubarozi unamsindikiza mpaka airport anayeya

Hamna la kumfanya
 
Mange aliwahi kulalamika kuwa hadi mali za familia zimenyang'anywa kwa sababu ya yeye kutofautiana na serikali
Makonda ni RC wa ARUSHA, MUSIBA yupo uraiyan na Sabaya yupo nje na baba yake ni mkiti wa ccm Arusha
 
Nini Maria ata Mange anaweza kuja kuzika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…