Bro acha tu.halafu nataka kutoka nipate kupoa kachukua funguo ana yell like "nipige kama unataka kunipiga" and trust you me sijawahi mtupia hata kofi.sijui anaongea na nani upuuz au anataka kujaribu kitu gani.Anaanza kunikwaza sana aiseeUlitaka kumpa kerbu😅
Its possible ila tukumbuke Master J anatoka na huyu binti tangu akiwa 18yrs.
Uwe unafanya haya kwa wanaume wenu wa dar. Yaani ukinifanyia hivo hadi unajisifu naweza kukuacha mlemavu.[emoji3][emoji3] umenikumbushan, nilikuwaga najiambia na mdomo wangu huu nikiona nakaribia kupigwa nitakuwa naondoka eneo la tukio, siku 1 mpuuzi mmoja akajaribu kunisukuma ananitishia kunipiga, kwanza nikampa warning usiniguse! Akanifanya maneno ya kero yaendelee kumwagika mara mbili ya mwanzo,..heee akanifata kunisukuma tena, sijui nguvu zilitoka wapi nilimnasa kibao cha usoni straight kwenye macho akaona giza nikakimbia. Maana kama si kuona giza ningevunjwa miguu.
Tunazibuana ManMkuu huyo wife ungempa nyongeza ya konzi moja hatari sanaa...
Wameshazaa tayari?Its possible ila tukumbuke Master J anatoka na huyu binti tangu akiwa 18yrs.
Thubutu.....hv konzi unalijua kweliTunazibuana Man
Mfano ungekuwa na plan b ukampa ulichokifuata ukaondoka Zako... kumpiga mwanamke ni weaknessJuzi Tu hapo jmosi nimetoka mjini kuna kitu nilienda kumnunulia bila kumuaga naenda wapi,nikachelewa kurudi kidogo.
Akaniandikia meseji ya ajabu Hadi sn "yaani wewe mwanaume Hadi mshahara uishe ndy utatulia nyumbani,sasa hivi ushaenda Kwa michepuko yako". Isivyo bahati meseji inaingia nami ndy nafika nyumbani,nikaweka mzigo wake mezani akachezea vibao kadhaa kisha akaniomba msamaha kwamba hakujua km nimeenda huko
Kwa wale wenye kukaa na wanawake wanaelewa kbs jinsi wanawake wanavyozingua,Mimi simlaumu kbs master J km anampiga mkewe,maana kauli umetoka upande mmoja wa mwanamke,ingawa naye hayupo direct
Hahahahahah huwa inatokea tu mke anazingua bange unampashaKuna muda mwanamke ndani anakuchokonoa Hadi unakosa plan b ya kumuepuka,unajikuta kibao kimeshakutoka
Mwanzo nilikuwa nalaumu sn mwanaume anayepiga mkewe ndani,Ila kuna siku nilijibiwa jibu la kishenzi sikuwa na namna ikanitoka kerbu
😅😅😅😅😅😅 watoto wa kike wana majibu ya kiboya sanaKweli mkuu, kunasiku wife yaani anakataa kumnyonyesha dogo, namuuliza kwanini hataki akanijibu mnyonyeshe na wewe kama unaona raha, alikula banzi ambalo hatakuja sahau
Hii haifanyiki makusudi bali inatokea tuYou can not rationalize the action of a man hitting a woman, blood.
Uzuri wenu wanawake always mwanaume ndio huonekana ana matatizo kwenu. You never feel the impact of your reactions🤣Una Matatizo pia kama hamuaminia ndio mambo kama hayo hutokea , pia kwanini uumie wakati sio kweli
Usirudie tena 😅😅😅[emoji3][emoji3] umenikumbushan, nilikuwaga najiambia na mdomo wangu huu nikiona nakaribia kupigwa nitakuwa naondoka eneo la tukio, siku 1 mpuuzi mmoja akajaribu kunisukuma ananitishia kunipiga, kwanza nikampa warning usiniguse! Akanifanya maneno ya kero yaendelee kumwagika mara mbili ya mwanzo,..heee akanifata kunisukuma tena, sijui nguvu zilitoka wapi nilimnasa kibao cha usoni straight kwenye macho akaona giza nikakimbia. Maana kama si kuona giza ningevunjwa miguu.
Wanawake wana vineno vya kejeli 😅 yani anajua hapo lazma ukerekwe tu na ndio starehe yakeNiombe radhi hapo kwenye depression cariha 😁
tatizo ana wivu sn Hadi amepitiliza..Huyu mwanamke wa kunitumia meseji naona umeshapata hela basi utaangaika Na hao Malaya zako Hadi iishe ndy utatulia nyumbani wakati sina mchepuko hata mmoja..cariha Hadi hapa unamtetea Tu?.Kwa nn asiniulize kistaarabu upo wapi nami ningemjibu tu
Wewe kupigwa ni kumkosea Mungu! Unaonesha unajielewa sana kwenye mahusiano na how to deal with a man!Ukinipiga lazima nikupopoe mawe tu...kama hamna mawe basi kilichopo mbele yangu halali yako
Sema demu kashaharibika kichwa mpaka hapo. Kuvumilia vipigo kila siku wanashauriana hadharani waikate hio hali ila wakiwa faragha huko wanakung’utwa na wametulia tuli😅Read btn the line,unatoka out,na ndugu na jamaa,Tena nje ya mkoa,mnafikia lodge,ghafla unashambuliwa,ndugu na jamaa wanaingilia,na kumzuia anaempiga!
Then unampigia dada yako,na unajiuliza kwa nini amefanya hivi hadharani?maana umezoea huwa anafanya hivyo mkiwa faragha!!!
Mpaka hapo lazima ni mtu wake wa karibu,mume,mchumba!!!
Ulikuwa unamfanyeje hadi anakupiga?Kuna mmoja alikuwa piga piga tena kaboy friend tu weeeee nilimng'ata kidole wakati ananibamizaaa mpaka Leo sidhani kama kinakunja