Bro acha tu.halafu nataka kutoka nipate kupoa kachukua funguo ana yell like "nipige kama unataka kunipiga" and trust you me sijawahi mtupia hata kofi.sijui anaongea na nani upuuz au anataka kujaribu kitu gani.Anaanza kunikwaza sana aiseeUlitaka kumpa kerbu😅