Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
SantePole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SantePole sana
Msajili anaendeleza uvunjifu wa katiba ya nchi.Ni lini Msajili wa vyama alikaa na IGP wakapanga kuwepo kwa kikao Cha IGP na vyama vya siasa?
Nani aliyeandaa agenda za kikao hicho?
Ni vyama vipi vilifika kwa msajili kuomba kuwepo kikao Kati ya IGP na vyama hivyo?
Hiki kikao kipo chini ya sheria gani? Maamuzi ya kikao hicho yatatekelezwa kwa sheria gani na yasipotekelezwa na upande mmoja yatakuwa na athari gani?
Je, ipo sheria yakuzuia shughuli za kisiasa kusubiri IGP akae kikao na vyama vya siasa?
Ops! He is trying to fit a round nut in a square bolt.Kwa umri wa msajili na elimu yake anapaswa kuchambua na kutafakari kila hoja kabla hajaitoa kwa umma.Laa sivyo atakuwa hana tofauti na mbumbumbu mzungu wa reli.
Eti mama anaendaNi lini Msajili wa vyama alikaa na IGP wakapanga kuwepo kwa kikao Cha IGP na vyama vya siasa?
Nani aliyeandaa agenda za kikao hicho?
Ni vyama vipi vilifika kwa msajili kuomba kuwepo kikao Kati ya IGP na vyama hivyo?
Hiki kikao kipo chini ya sheria gani? Maamuzi ya kikao hicho yatatekelezwa kwa sheria gani na yasipotekelezwa na upande mmoja yatakuwa na athari gani?
Je, ipo sheria yakuzuia shughuli za kisiasa kusubiri IGP akae kikao na vyama vya siasa?
Eti mama anaenda marekani kuzindua royal tour. Sasa Ili asibanwe na maswali ya ukandamizaji wa demokrasia ndo anajaribu kumtuma mutungi na siro Ili ionekane demokrasia imerejea,Ni lini Msajili wa vyama alikaa na IGP wakapanga kuwepo kwa kikao Cha IGP na vyama vya siasa?
Nani aliyeandaa agenda za kikao hicho?
Ni vyama vipi vilifika kwa msajili kuomba kuwepo kikao Kati ya IGP na vyama hivyo?
Hiki kikao kipo chini ya sheria gani? Maamuzi ya kikao hicho yatatekelezwa kwa sheria gani na yasipotekelezwa na upande mmoja yatakuwa na athari gani?
Je, ipo sheria yakuzuia shughuli za kisiasa kusubiri IGP akae kikao na vyama vya siasa?
Utangamano pasipo na haki ?Kuna wakati unafika, suala la makubaliano kama nchi ni la muhimu kuliko uweledi wa kuongozwa kama nchi. Nnaloliona kinachotafutwa ni utengamano wa kisiasa ndio kinachotafutwa.
Je wakiambiwa mnatakiwa muache kufanya mikutano mama yenu ajenge uchumi itakuwa sahihi pia ?Ni kitu kizuri sn hicho
Mikutano inazuia vipi uchumi?Je wakiambiwa mnatakiwa muache kufanya mikutano mama yenu ajenge uchumi itakuwa sahihi pia ?
Hajui hata anafanya nini hapa dunianiEti mama anaenda
Eti mama anaenda marekani kuzindua royal tour. Sasa Ili asibanwe na maswali ya ukandamizaji wa demokrasia ndo anajaribu kumtuma mutungi na siro Ili ionekane demokrasia imerejea,
Pia ni ku buy time akiwa kea mabeberu kusionekane kuna ghasia za kisiasa zinaendelea
Ili akirudi mambo yaendelee kama zamani
Hi ndo akili za think tanks wa ccm
Sio tu haziaminiki but zinadharauliwa na hao polisi pia. Mahakama inaweza kuamua na polisi wakazuia. Sababu tayari walishaacha mbwa ameingia hadi altareniTatizo ni kuwa mahakama nazo haziaminiki.
Ziko upande wa ccm/watawala, na zinatumika wazi wazi kukandamiza haki za watawaliwa
Ndiyo hilo ambalo linaendelea sasa hivi kwenye hicho kikao wanaenda kujadili nini wakati polisi wanavunja sheria ?Mikutano inazuia vipi uchumi?
Nchi inaongozwa na SHERIA ambazo tayari zipo. Sio VIKAO kama hivyoKwa upande wangu nakiona ni kikao muhimu sn sababu watakaoendelea kuumia ni vyama vya upinzani, Sirro ana mabomu, risasi, mahabusu na mahakama ndiyo kinachompa kiburi, vita yoyote ile humalizwa kwa mazungumzo.
Mambo ya hovyo kabisaNdiyo hilo ambalo linaendelea sasa hivi kwenye hicho kikao wanaenda kujadili nini wakati polisi wanavunja sheria ?
Hapa tayari kuna mgogoro ujueNchi inaongozwa na SHERIA ambazo tayari zipo. Sio VIKAO kama hivyo
Kinachofuata kwenye hicho kikao ni vyama vya upinzani kupewa terms na jeshi la polisi kinyume cha sheria.Mambo ya hovyo kabisa
Nchi inaendeshwa na Mwigulu akisaidiwa na MpangoKinachofuata kwenye hicho kikao ni vyama vya upinzani kupewa terms na jeshi la polisi kinyume cha sheria.
Inamaana nchi sasa hivi inaendeshwa kwa utashi binafsi wa IGP na Mutungi badala ya sheria ?
Hao wanasauti gani ?Nchi inaendeshwa na Mwigulu akisaidiwa na Mpango
Huyu bibi ana waamini vibayaHao wanasauti gani ?
HAKUNA SABABU ZA KUKAA KIKAO MIKUTANO YA VYAMA IPO KISHERIA NA KIKATIBA KILA MTU AHESHIMU KATIBANi lini Msajili wa vyama alikaa na IGP wakapanga kuwepo kwa kikao Cha IGP na vyama vya siasa?
Nani aliyeandaa agenda za kikao hicho?
Ni vyama vipi vilifika kwa msajili kuomba kuwepo kikao Kati ya IGP na vyama hivyo?
Hiki kikao kipo chini ya sheria gani? Maamuzi ya kikao hicho yatatekelezwa kwa sheria gani na yasipotekelezwa na upande mmoja yatakuwa na athari gani?
Je, ipo sheria yakuzuia shughuli za kisiasa kusubiri IGP akae kikao na vyama vya siasa?
Basi, hali ya nchi yoyote inapofikia hatua ya namna hiyo, ya wananchi kukosa sehemu yoyote ya kutafuta haki zao, hapo ndipo panapopelekea mambo yanayotokea kwenye nchi nyingine kama Guinea kuwa jambo la kusubiriwa kwa hamu.Tatizo ni kuwa mahakama nazo haziaminiki.
Ziko upande wa ccm/watawala, na zinatumika wazi wazi kukandamiza haki za watawaliwa