Standards and Speed - Samweli Sitta.Wanajamii,
Uchaguzi mkuu wa Tanzania ndo umekaribia.
Hebu tupeane changamoto kidogo hapa.
Ni nani
- unadhani,
- au ungependelea,
- au unatabiri,
- au una uhakika
atakuwa RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA?
Huna ulazima wa kutoa sababu kwanini umemtaja fulani.
Jakaya Mrisho Kikwete..na amini atakuwa rais tena...Lakini naomba kuwa sikio la kufa sasa lisikie dawa...alete mabadiliko ya kweli
kwa jinsi ambavyo maisha ya mwananchi yako hohe hahe mtu atakayekuwa raisi 2010 ni yule atakaye sambaza kanga, t shirt, kofia tanzania nzima. Na vile vile kugawa wali na pilau kwa wananchi ambao wakipata vitu hivi hawatavipata tena mpaka 2015. Kwa wananchi wengi uchaguzi kwao maana yake ni nguo mpya zenye rangi ya njano na kijani, pilau kwa sana na shilingi elfu tano. Na wala sio kiongozi bora anayejali maisha ya mpiga kura au nchi yake.Anayebisha aseme na alete proof.
Nguzo kuu ya ushindi wa CCM kwenye chaguzi zetu ni UMASIKINI wa Watanzania......! Ndio maana CCM haiwezi kupambana na umasikini kwa kuwa wanajua Wataongeza uwezekano wa kung'olewa madarakani. UMASIKINI wa Watanzania ni "MTAJI" wa uchaguzi kwa CCM
Standards and Speed - Samweli Sitta.
wanajamii,
uchaguzi mkuu wa tanzania ndo umekaribia.
Hebu tupeane changamoto kidogo hapa.
ni nani
- unadhani,
- au ungependelea,
- au unatabiri,
- au una uhakika
atakuwa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania?
huna ulazima wa kutoa sababu kwanini umemtaja fulani.
nilikuwa nampa tano sana mgombea ambaye angetoka chadema hasa ktk vita ya mafisadi na ufisadi ila kwa yaliyotokea sasa huko chadema mmmmhhh......ccm (kikwete) atashinda tu
Ni kweli mwanafalsafa.
Nakubali.
Bulesi anasemaje hapo?
Wanajamii,
Uchaguzi mkuu wa Tanzania ndo umekaribia.
Hebu tupeane changamoto kidogo hapa.
Ni nani
- unadhani,
- au ungependelea,
- au unatabiri,
- [COLOR="Red"]au una uhakika[/COLOR][/COLOR]
atakuwa RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA?
Huna ulazima wa kutoa sababu kwanini umemtaja fulani.
Nikweli kuwa sio kila mkuu wa nchi anawekwa na Mungu, bali mwenyezi Mungu ndiye mwenye mamlaka juu ya UHAI wa hao wanaoongoza nchi!! Bila kuwa na uhai hawawezi kuwa viongozi.