Bob1
Member
- Mar 25, 2008
- 46
- 0
Tutake tusitake Kama wapigakura ni watanzania hawa waliolala Mkuu jibu ni Jakaya kikwete hata akitaka kubadili katiba aenbdele kipindi cha 3 atashida tuu.status quo will always win.
Na haleti mabadiliko yoyote atazidi kusari na kuwachi mafisadi wenzake waendele kufanya wanachotaka.Histori inatueleza hana kasumba ya kuleta maendeleo so tusitegemee chochote
Na lawama wanabeba vijana wa Tanzania hakuna mwengine
Na haleti mabadiliko yoyote atazidi kusari na kuwachi mafisadi wenzake waendele kufanya wanachotaka.Histori inatueleza hana kasumba ya kuleta maendeleo so tusitegemee chochote
Na lawama wanabeba vijana wa Tanzania hakuna mwengine